kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Alipambana Kuilinda Katiba Mtu Awe Madarakani Kama Isemavyo, Lakini Aliyepiganiwa Anasema ni Kitabu tu. Nani Tumlaumu?

    Nimekuta mjadala mkali sana na mwisho ni kutuhumiana. Kwa maelezo yake, kulikuwa na mizengwe lakini alitumia power yake KATIBA iheshimiwe na aliyetajwa na katiba aingie madarakani. Tukampongeza. Lakini baada ya muda aliyepiganiwa akaanza dharau ya hiyo katiba na kuiita kuwa ni KITABU tuu kwa...
  2. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania PCB Hii Si Ya Watoto, Ila Naweza Kukubadilisha Uwe Beast! Njoo Nikulazie Kitabu!

    Kama wewe ni msee wa PCB (Physics, Chemistry, Biology) au unayo mtoto anakamua advance na anazidiwa na hizi topics ngumu– basi stop struggling alone, coz I'm the plug you’ve been looking for! Mimi si mwalimu wa kawaida – niko street smart na book smart all in one. Najua hizi topics hazicheki na...
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mtu anahangaisha kichwa chake kuhakikisha kuwa Yesu sio Mwana wa Mungu lakini mtu huyo huyo anaamini kitabu chao cha dini kilipokelea kutoka mbiguni😁

    Sawa, wala sijali unaamini nini, naheshimu unacho kiamini. Ila kama unaamini vitu ambavyo wewe mwenyewe haukuwahi kushuhudia sasa kwanini unakataa kuamini vitu vingine vinavyoaminiwa na watu wengine walio kama wewe ingawa wana itikadi tofauti. Sasa nani mshamba? wewe unaepata maelekezo ya mtu...
  4. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Kwani Mungu ni kitabu?

    Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Kila kitu nikiuliza kwa Masheikh na mapadri na wachungaji na hata katika forum mbalimbali mnanifungulia KITABU, Ina maana Mungu alikosa njia zote za kujieleza katika dunia na watu wake bila ya KITABU tu? Ndugu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma...
  5. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Technofeudalism: What killed capitalism.

    Kitabu hiki kimeandikwa na mwanazuoni Yanis Varoufakis, ambaye amewahi kuwa waziri wa fedha wa Ugiriki na pia ni mwalimu wa chuo kikuu. Kwenye hiki kitabu anaelezea jinsi ambavyo ubepari umegeuka kuwa Ukabaila-Teknolojia(Technofeudalism). Kabla ya ubepari kulikuwa na ukabaila. Kabaila ni mtu...
  6. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Masimulizi juu ya Wazaramo.

    Na R. Mwaruka. Unaweza kukisoma free ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore. SURA YA 1 PAZI KILAMA KATIKA UZARAMO WAZARAMO ni jumla ya mchanganyiko wa makabila ya Kibantu. Sehemu kubwa ya mchanganyiko huo ni Wakutu na watu wengine wenye asili ya Mwambao. Neno hili 'Uzaramo' linatokana...
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche afika Ubalozi wa Vatican kutoa pole kufuatia kifo cha Papa Francisko

    Makamu Mwenyekiti Bara John Heche leo tarehe 23/4/2025 amefika Ubalozi wa Vatican nchini kusaini kitabu cha maombolezo kufuatilia kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Heche amepokelewa na, Askofu Mkuu Angelo Accattino, Balozi wa Vatican nchini.
  8. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Vatican TZ upo wapi? Nahitaji kusaini kitabu cha maombolezo

    Mwenye kujua Ubalozi wa Vatican ulipo ili nikasaini kitabu cha maombolezo hapo ubalozini. Regards, Mlei, Kigango cha Mtakatifu Kizito, Majimatitu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitabu cha uhuru wa mahakama

    Samahani sana. Mwenye kitabu cha UHURU WA MAHAKAMA kilichoandikwa na Jaji mstaafu Samatta naomba anisaidie.
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Mfanyabiashara wa Venice.

    Tafsiri ya kitabu The Merchant of Venice. 1939. SHYLOCK (SHAILOKI) NA ANTONIO SHYLOCK, Myahudi, alikaa Venice (mji mmoja wa Uitalia). Alikuwa mkopeshaji fedha wa namna mbaya kabisa. Yaani yeye hungoja hadi mchuuzi awe katika hali ya dhiki kubwa ya kuhitaji fedha; ndipo Shylock humkopesha fedha...
  11. K

    JamiiForums Tanzania CHEO BILA KITABU

    WATU HAWAITAKI KABISA ELIMU YA VITABU ILA WANATAKA VYEO KWA SABABU GANI !?!? KWA SABABU NI WEZI WALIOVAA NGOZI YA MWANAKONDOO HUKU WAKIWA NI MBWA MWITU. Nilisikika katika Ulimwengu wa kiroho huko Usingizini nikibwata kuwakemea wezi wenye sura za kiutu huku wakiwa Mashetani yaliyovaa miili...
  12. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Quran inakubali kuwa Injili ni kitabu cha Mungu na hapo ndio nakuwa na mashaka na Quran pia

    Ndugu waislam naamini humu wote mumesoma injili na mnayajua maisha ya issa yule mtoto wa mariamu, Kuzaliwa kwake kuishi kwake na kufa kwake,. Sasa huyu kijana ukimsoma maisha yake hakuna sehemu yeyote ile anakuwa kalibu na Mungu (allah), Labda injili ingekuwa kitabu cha ADAMU sawa, maana...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ndg zetu katika Imani hii kucheza namna hii nayo imeandikwa kwenye kitabu kitukufu Quran?

    Sina mengi video inajionyesha japo zipo nyingine sijapenda kuziweka hapa.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Katika kitabu cha " Ninety minutes at Entebe.

    Baada ya Rais Idd Amin wa Uganda kuiteka ndege iliyokuwa imewabeba waisraeli na kuilazimisha kutua katika uwanja wa Entebe, kuna uokoaji uliandaliwa na askari wa kikosi kazi huko Israel. Haya yamo kwenye kile kitabu kiitwacho " ninety minutes at Entebe. Moja ya simulizi ya kuvutia ni sehemu...
  15. Sayari1

    JamiiForums Tanzania Kuna kitabu unatafuta?

    Endapo umehangaika kutafuta vitabu bila mafanikio, tafadhali wasiliana nami kwa barua pepe hii jambojambo633@gmail.com au WhatsApp 0737317870. Kujiunga na group gusa link. https://chat.whatsapp.com/GeMQxtUquSY6VEEejW7FwO
  16. Heritage123

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuandika Kitabu

    Jinsi ya Kuandika Kitabu: Mwongozo Kamili Kwa Waandishi wa Kila Kiwango Kuandika kitabu ni ndoto ya wengi, lakini mara nyingi inaweza kuonekana kuwa kazi ngumu. Hata hivyo, kwa mwongozo sahihi na nidhamu, mtu yeyote anaweza kuandika kitabu chenye mafanikio. Katika blogu hii, tutaangazia hatua...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania JamiiForum pitieni kitabu cha Erick kabendera mje na majibu kuhusu ID ya ben saanane

    Hakuna binadamu anaye chukua masaa,siku,mwezi na miaka bado tukaweza kusema majibu rahisi. Na hii imeshakuwa desturi ambayo majibu mepesi utolewa wakati wapendwa wao mpaka leo wajawahi kupata hatma yao. Kuna kawaida hapa JF ikitokea mtu kafariki au kupandisha hadhi inajulika. Swali la kwanza...
  18. VITABU DHAHABU

    JamiiForums Tanzania Kitabu Gani kimebadilisha maisha yako ungependa wengine wakisome

    Kama mada inavyojieleza, karibu sana katika kurasa huu wa wapenzi wa kusoma vitabu utushirikishe ni kitabu gani kimebadirisha maisha yako ungependa wengine wakisome
  19. Setfree

    JamiiForums Tanzania Biblia ni nini? Maelezo ya kina kuhusu kitabu hiki ambacho shetani anakichukia kuliko vitabu vyote!

    Biblia ni mkusanyiko wa vitabu 66 vilivyoandikwa na waandishi mbalimbali kwa muda wa takriban miaka 1,500, lakini vyote vina ujumbe mmoja unaotuelekeza kwa Mungu na jinsi ya kupata wokovu kwa njia ya Yesu Kristo. Biblia imegawanyika katika sehemu kuu mbili: Agano la Kale – Linaeleza uumbaji wa...
  20. apostleonesmodeus

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Nabii Amosi

    Je kitabu Cha nabii Amosi kimejikita hasa kwenye Nini na uhusiano wake na maisha ya jamii na kanisa la leo. Tunaweza tukashare idea kwa yeyote anayejua na kufahamu.
Back
Top Bottom