kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Tech Max

    kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh

    kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh, inategemea na ukubwa nicheki 0756704145
  2. Tech Max

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria, nicheki 0756704145
  3. Mohamed Said

    Tujikumbeshi Kitabu Hiki: Barza ya Majestic...''

    TUJIKUMBUSHE KITABU HIKI BAADA YA MWAKA MMOJA KUPITA "BARAZA YA MAJESTIC..." Niliombwa kufanya pitio la kitabu hiki Zanzibar ndani ya ukumbi si mbali na Majestic. Hili halikufanyika kwa sababu waandaaji waliambiwa panahitajika kibali. Kabla ya kitabu hiki nilikuwa nimealikwa mara mbili...
  4. Tech Max

    Kitabu cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh

    Kitabu (softcopy / nakala laini) cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh. nicheki +255 0756704145 , kitabu natuma whatsapp au kwa email.
  5. Tech Max

    Kitabu cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh

    Kitabu (softcopy / nakala laini) cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh. nicheki +255 0756704145 , kitabu natuma whatsapp au kwa email.
  6. Tech Max

    kitabu cha kiswahili cha Mtu tajiri zaidi katika Babeli (The richest man in babylon)

    kitabu cha kiswahili cha Mtu tajiri zaidi katika Babeli kitakusaidia kuwa tajiri (The richest man in babylon) kinauzwa kwa bei ya 10,000 Tsh. nicheki 0756704145. -> zijue kanuni fedha kiundani -> zijue siri za matajiri
  7. Penguinelli Cactussini

    Nimeandika kitabu cha namna ya kuwa tajiri ila nimekosa pesa ya ku print

    Habari zenu wakuu. Nimetimiza ndoto yangu ya muda mrefu sana ya kuwa mwandishi wa vitabu. Katika vitabu vitatu nilivyoviandika nimeshawishika ku release kitabu kimoja cha “Namna bora ya kuwa tajiri kwa njia nyepesi”. Tatizo limekuja nimekosa hela ya kuki print na pia sina sponsors kwa ajili ya...
  8. Fbn

    Kitabu cha The Animals Are Innocent: "The Search for Julie's Killers" kinaonyesha majibu rahisi ya viongozi afrika mfano tukio la Julie's kule kenya.

    Kitabu hiki ni hadithi ya kweli kuhusu Julie Ward, msichana wa Kiingereza aliyeuawa nchini Kenya mwaka 1988. Julie alikuwa mpenzi wa wanyama na alifanya kazi ya kupiga picha za wanyama katika Hifadhi ya Masai Mara. Siku moja, aliondoka Nairobi kwenda kufanya kazi yake, lakini hakurudi tena...
  9. Tech Max

    Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja

    Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja, kitabu natuma WhatsApp au kwa email Nicheki 0756704145
  10. Tech Max

    Mafunzo 10 ya kifedha kutoka kitabu cha Rich Dad, Poor Dad Cha Robert Kiyosaki (Toleo la kiswahili)

    Kitabu Rich Dad Poor Dad cha Robert Kiyosaki kinatoa masomo kadhaa ya msingi kuhusu pesa, uwekezaji, na mtazamo. Yafuatayo ni mambo makuu kumi tunayojifunza kutokana na kitabu hicho: --- 1. Matajiri Hawafanyi Kazi kwa Ajili ya Pesa Maelezo: Baba maskini anafundisha kufanya kazi kwa ajili ya...
  11. Tech Max

    Nauza kitabu Cha KISWAHILI Poor Dad, Rich Dad Cha Robert Kiyosaki - 10,000 Tsh

    Kama unatafuta kitabu Cha Robert Kiyosaki kwa lugha ya kiswahili Cha Rich Dad, Poor Dad kipo Bei 10,000 Tsh natuma WhatsApp au kwa email, Karibu nicheki 0756704145
  12. Tech Max

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
  13. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa kwenda M-PESA 0756704145 nakutumia kitabu chako WhatsApp au kwenye email
  14. Tech Max

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
  15. Tech Max

    Kitabu Cha enoko kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh

    Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
  16. proton pump

    Uliwahi kusoma kitabu kipi kizuri hadi hivi ukikikuta unatamani ukinunue?

    Kuna kitabu ukikisoma kutokana na utamu au maudhi yake unavutiwa kukiazima au kukinunua. Yaani huwezi poteza kumbukumbu kwa haraka. Iwe ni hadithi (riwaya, tamthilia,) ushairi. Mf. Hiki kitabu cha Ng'ugi wa Thiong'o "I WILL MARRY WHEN I WANT" Kuna vitabu vingi vizuri kweli kweli Wenye nakala...
  17. Lycaon pictus

    Kitabu: Anabasis of Cyrus, by Xenophon

    Maarufu kama The March of the 10,000. Mwaka 401 kabla ya Yesu Kuzaliwa, Uajemi(Iran) ilikuwa ndiyo Dola kubwa zaidi duniani. Ikitawala kuanzia mto Indus Mashariki hadi bahari ya Mediteranea, Misri, na Uturuki yote. Mtawala wake alikuwa Xerxes, na alikuwa na mdogo anayeitwa Cyrus aliyetaka...
  18. Lycaon pictus

    Kitabu: First they killed my father

    Spoiler Alert. Mwaka 1975-1979 dunia ilishuhudia ukichaa wa ajabu kabisa. Wakomunisti wa Cambodia(Khmer Rouge) walishika nchi. Kwanza wakapiga marufuku matumizi ya pesa kisha wakafurusha wakazi wote kutoka mjini, wakazi wa mji mkuu Phnom Penh, kama 2.5m walifukuzwa wote na kuambiwa waelekee...
  19. Mohamed Said

    Kitabu cha Mussa Membar Aliyeteka Ndege ya ATC HADI London 1982

    KITABU KINACHOMUELEZA MUSSA MEMBAR ALIYETEKA NDEGE YA ATC HADI LONDON 1982 Kuna vitabu na vitabu. Kuna kitabu na kitabu. Kitabu hiki kinaitwa "The Activist A Story of Hijacking and Struggle for Justice.'' Mwandishi wa kitabu hiki ni Abbas Membar mdogo wake Mussa Member (Pichani chini). Mussa...
  20. Mathayo Christopher

    Nina shida ya softcopy ya kitabu Cha kiswahili na hisabati darasa la kwanza

    Mwenye uwezo wa kunisaidia nakala tajwa hapo juu anisaidie
Back
Top Bottom