Maarufu kama The March of the 10,000.
Mwaka 401 kabla ya Yesu Kuzaliwa, Uajemi(Iran) ilikuwa ndiyo Dola kubwa zaidi duniani. Ikitawala kuanzia mto Indus Mashariki hadi bahari ya Mediteranea, Misri, na Uturuki yote. Mtawala wake alikuwa Xerxes, na alikuwa na mdogo anayeitwa Cyrus aliyetaka...