kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. VITABU DHAHABU

    JamiiForums Tanzania Niambie kitabu chochote unachokihitaji nikutafutie

    Karibu VINIEBOOKS Tuna package tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako 1. Marriage 2. Finance 4. Marketing 5. Psychology & 7. OTHERS Enjoy a 25% discount. Each book 25,000/= Whatsapp & Calls: 0787728422/ Follow us instagram.com/kelvin_booksto…
  2. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Summary ya Kitabu Men are from Mars and Wemen are from Venus

    Kwa kiswahili na Kiingereza 🪐 Muhtasari wa Jumla Kitabu hiki, kilichochapishwa mwaka 1992, kinazungumzia tofauti za kisaikolojia na kihisia kati ya wanaume na wanawake katika mahusiano. John Gray anatumia mfano kwamba wanaume wametoka sayari ya Mars na wanawake wametoka sayari ya Venus...
  3. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Summary ya kitabu cha The Subtle Art of Not Giving a Fuc..

    Nakulete Summary kwa Kiswahili na Kiingereza Here’s a summary of The Subtle Art of Not Giving a F*ck: A Counterintuitive Approach to Living a Good Life by Mark Manson: --- Key Ideas Life involves pain, struggle and limitation. Avoiding these altogether isn’t realistic — embracing the right...
  4. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Biashara ya Vituo vya Mafuta Vijijini na Mjini

    Katika ulimwengu wa sasa, mahitaji ya nishati na mafuta yanaongezeka kila siku kutokana na ongezeko la idadi ya watu, ukuaji wa uchumi, na ongezeko la shughuli za usafirishaji mijini na vijijini. Biashara ya mafuta ni mojawapo ya sekta zenye mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa na katika...
  5. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Upi ni mstari wako pendwa katika kitabu cha biblia unaokupa nguvu, faraja, amani, tumaini, silaha/ushindi katika vita vya kiroho?

    1)Zab 68:20 Mungu kwetu sisi ni Mungu wa kuokoa; Na njia za kutoka mautini zina YEHOVA Bwana. 2)Yohane 14:13 Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. 3)Zab 46:1 Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso...
  6. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Kitabu kinauzwa: Gundua Siri za Ndani Yako: Nguvu, Mawazo na Maisha Mapya

    MJUE MWANADAMU NA NGUVU ZILIZOMO NDANI YAKE Kitabu hiki ni mwongozo wa kujitambua, kuelewa nguvu za mawazo, ndoto, mapenzi na nguvu ya tendo la ndoa, pamoja na mbinu za meditation. Kinaeleza jinsi mawazo yanavyogeuka hisia na vitendo, siri za maisha ya ndani na nguvu zilizojificha ndani ya...
  7. shonkoso

    JamiiForums Tanzania Nimeandika kitabu kuhusu upinzani Tanzania,naomba ushiriki kupendekeza angalau jina la kitabu

    Mchango wangu pekee ninaoweza kuutoa kwa nchi yangu Tanzania ni kuwaletea matukio kina juu siasa za Upinzani toka 1992.Nimeandika na bado naendelea ila nawaza jina la kitabu napata kigugumizi,japo nimewaza haya kwa kuanzia 1“Machozi na Damu za Ukombozi” 2. “Kilio cha Mashujaa: Historia...
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hamis77 Mtu wa Kitabu Anayefaa Kuenziwa

    Jamaa amakuwa akitoa madini sana humu na kutupa ilimu akhera kwa weledi mkubwa sana bila hata kututoza. Nashauri awe anatoza nyuzi zake angalau basi hata Tsh 50,000 kwa uzi mmoja. Najua atakuwa anapigwa vita na kuchukiwa na watu. Nikija Bongo nitamtafuta nimpatie mbinu za kijasusi nyingine za...
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mwitikio wa Kitabu cha Eric Kabendera umekuwa tofauti na Matarajio

    Kwa kweli hili jambo limewaumiza sana wafadhiri na mwandishi mwenyewe. Kimekuwa kama kitabu cha mchanganyiko wa stories za mtaani kuhusiana na Jambazi mmoja maarufu au mtu mmoja mashuhuri. Ni mkusanyiko wa nliambiwa, nlisikia na watu wanasema. Hakuna ushahidi uliowekwa wazi. Najiuliza ina...
  10. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, softcopy/ nakala laini
  11. Tech Max

    JamiiForums Tanzania kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh

    kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh, inategemea na ukubwa nicheki 0756704145
  12. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria, nicheki 0756704145
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Tujikumbeshi Kitabu Hiki: Barza ya Majestic...''

    TUJIKUMBUSHE KITABU HIKI BAADA YA MWAKA MMOJA KUPITA "BARAZA YA MAJESTIC..." Niliombwa kufanya pitio la kitabu hiki Zanzibar ndani ya ukumbi si mbali na Majestic. Hili halikufanyika kwa sababu waandaaji waliambiwa panahitajika kibali. Kabla ya kitabu hiki nilikuwa nimealikwa mara mbili...
  14. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh

    Kitabu (softcopy / nakala laini) cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh. nicheki +255 0756704145 , kitabu natuma whatsapp au kwa email.
  15. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh

    Kitabu (softcopy / nakala laini) cha kiswahili cha Henoko (biblia hakipo) na Mtu tajiri zaidi babeli kinauzwa 10,000 Tsh. nicheki +255 0756704145 , kitabu natuma whatsapp au kwa email.
  16. Tech Max

    JamiiForums Tanzania kitabu cha kiswahili cha Mtu tajiri zaidi katika Babeli (The richest man in babylon)

    kitabu cha kiswahili cha Mtu tajiri zaidi katika Babeli kitakusaidia kuwa tajiri (The richest man in babylon) kinauzwa kwa bei ya 10,000 Tsh. nicheki 0756704145. -> zijue kanuni fedha kiundani -> zijue siri za matajiri
  17. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nimeandika kitabu cha namna ya kuwa tajiri ila nimekosa pesa ya ku print

    Habari zenu wakuu. Nimetimiza ndoto yangu ya muda mrefu sana ya kuwa mwandishi wa vitabu. Katika vitabu vitatu nilivyoviandika nimeshawishika ku release kitabu kimoja cha “Namna bora ya kuwa tajiri kwa njia nyepesi”. Tatizo limekuja nimekosa hela ya kuki print na pia sina sponsors kwa ajili ya...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha The Animals Are Innocent: "The Search for Julie's Killers" kinaonyesha majibu rahisi ya viongozi afrika mfano tukio la Julie's kule kenya.

    Kitabu hiki ni hadithi ya kweli kuhusu Julie Ward, msichana wa Kiingereza aliyeuawa nchini Kenya mwaka 1988. Julie alikuwa mpenzi wa wanyama na alifanya kazi ya kupiga picha za wanyama katika Hifadhi ya Masai Mara. Siku moja, aliondoka Nairobi kwenda kufanya kazi yake, lakini hakurudi tena...
  19. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja

    Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja, kitabu natuma WhatsApp au kwa email Nicheki 0756704145
  20. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Mafunzo 10 ya kifedha kutoka kitabu cha Rich Dad, Poor Dad Cha Robert Kiyosaki (Toleo la kiswahili)

    Kitabu Rich Dad Poor Dad cha Robert Kiyosaki kinatoa masomo kadhaa ya msingi kuhusu pesa, uwekezaji, na mtazamo. Yafuatayo ni mambo makuu kumi tunayojifunza kutokana na kitabu hicho: --- 1. Matajiri Hawafanyi Kazi kwa Ajili ya Pesa Maelezo: Baba maskini anafundisha kufanya kazi kwa ajili ya...
Back
Top Bottom