kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza kitabu Cha KISWAHILI Poor Dad, Rich Dad Cha Robert Kiyosaki - 10,000 Tsh

    Kama unatafuta kitabu Cha Robert Kiyosaki kwa lugha ya kiswahili Cha Rich Dad, Poor Dad kipo Bei 10,000 Tsh natuma WhatsApp au kwa email, Karibu nicheki 0756704145
  2. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
  3. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa kwenda M-PESA 0756704145 nakutumia kitabu chako WhatsApp au kwenye email
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
  5. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu Cha enoko kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh

    Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
  6. proton pump

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kusoma kitabu kipi kizuri hadi hivi ukikikuta unatamani ukinunue?

    Kuna kitabu ukikisoma kutokana na utamu au maudhi yake unavutiwa kukiazima au kukinunua. Yaani huwezi poteza kumbukumbu kwa haraka. Iwe ni hadithi (riwaya, tamthilia,) ushairi. Mf. Hiki kitabu cha Ng'ugi wa Thiong'o "I WILL MARRY WHEN I WANT" Kuna vitabu vingi vizuri kweli kweli Wenye nakala...
  7. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Anabasis of Cyrus, by Xenophon

    Maarufu kama The March of the 10,000. Mwaka 401 kabla ya Yesu Kuzaliwa, Uajemi(Iran) ilikuwa ndiyo Dola kubwa zaidi duniani. Ikitawala kuanzia mto Indus Mashariki hadi bahari ya Mediteranea, Misri, na Uturuki yote. Mtawala wake alikuwa Xerxes, na alikuwa na mdogo anayeitwa Cyrus aliyetaka...
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: First they killed my father

    Spoiler Alert. Mwaka 1975-1979 dunia ilishuhudia ukichaa wa ajabu kabisa. Wakomunisti wa Cambodia(Khmer Rouge) walishika nchi. Kwanza wakapiga marufuku matumizi ya pesa kisha wakafurusha wakazi wote kutoka mjini, wakazi wa mji mkuu Phnom Penh, kama 2.5m walifukuzwa wote na kuambiwa waelekee...
  9. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Mussa Membar Aliyeteka Ndege ya ATC HADI London 1982

    KITABU KINACHOMUELEZA MUSSA MEMBAR ALIYETEKA NDEGE YA ATC HADI LONDON 1982 Kuna vitabu na vitabu. Kuna kitabu na kitabu. Kitabu hiki kinaitwa "The Activist A Story of Hijacking and Struggle for Justice.'' Mwandishi wa kitabu hiki ni Abbas Membar mdogo wake Mussa Member (Pichani chini). Mussa...
  10. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Nina shida ya softcopy ya kitabu Cha kiswahili na hisabati darasa la kwanza

    Mwenye uwezo wa kunisaidia nakala tajwa hapo juu anisaidie
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko ( The book of Enoch)

    Kwa wale ambao inakuwa ngumu kusoma maandishi wanaweza kusikiliza audio ya kitabu cha Henoko hapa: The Book of Enoch | LibriVox
  12. GoLC

    JamiiForums Tanzania Nataka kuweka uzi wa kitabu changu cha hadithi hapa. Zipi faida zake kwa upande wangu?

    Za leo wakuu Nauliza hili, maana pia naona simulizi nyingi humu na za kuvutia zikiwa ndefu vya kutosha. Nitafaidika vipi na utaratibu ni upi wa kuanza kuweka? Natanguliza shukrani zangu
  13. hamis77

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Quran ni rahisi kukikariri

    KWANINI NI RAHISI KUIKARIRI QURAN? Watu wengi wanaweza kuhifadhi nyimbo za Bongo Fleva, hadithi au mashairi ya Kiarabu, lakini hiyo haimaanishi kuwa ni Neno la Mungu. Kuweza kukariri kitu hakuthibitishi kuwa ni cha kiungu. Vivyo hivyo, hoja kwamba Qur’an ni rahisi kukaririka haithibitishi...
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya kitabu cha Quran kisayansi

    Quran ni kitabu chenye muongozo na mafundisho ya dini ya kiislam ni ufunuo kutoka Kwa Mungu muumba Mbingu na aridhi kupitia Kwa mtume wake Muhammad (s,a,w) Kadiri binaadamu wanavyopata ufuhamu wa kugundua mambo mbali mbali wanaikuta Quran ipo mbele Yao Kwa hatua nyingi sana 1) Mwaname na...
  15. Setfree

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Mungu alishusha Kitabu kingine ili kusahihisha Maandiko yake ya awali yaliyopotoshwa?

    Kuna watu wanaosema kwamba Mungu alishusha Torati, Zaburi na Injili lakini wanadamu wakavichezea na kuvipotosha vitabu hivyo. Kwa sababu hiyo ikabidi Mungu ashushe kitabu kingine baadaye, ili kusahihisha maandiko yaliyovurugwa! Kama ni hivyo, Covax na wenzako, naomba mnisaidie kujibu maswali...
  16. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Tequila wars.

    Leo hii brand ya Tequila ya Jose Cuervo ndiyo inayoongoza kwa mauzo duniani. Kitabu hiking cha 2025 kinaelezea struggle alizopitia muazilishi wake, siasa za Mexico, figisu za uchaguzi, vita na machafuko wakati huo, mapambano ya ardhi na jinsi Marekani ilivyoingilia siasa za Mexico. Kitabu kizuri.
  17. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Neno langu la Imani kutoka kitabu Cha wanabii

    Kama ilvyoandikwa 1👉 Kama vile inzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato, ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima. 2 👉 Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto. 3👉 Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha...
  18. Think2

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kitabu au notes za veta ufundi simu ziwe pdf

    Naomba kitabu chochote cha ufundi simu haswa smartphone kiwe kwenye mfumo wa pdf
  19. T

    JamiiForums Tanzania Historia na maadili kitabu cha kidato cha tano

    Kitabu hiki ni muhimu.... a compulsory subject kwa kidato cha Tano Historia ya Tanzania na Maadili Academic Communication
  20. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kitabu: House of Huawei

    Kitabu hiking kimetoka mwaka huu. Kinazungumzia historia ya Huawei na maanzilishi wake. Jinsi Huawei ilivyoanza hadi kuja kuwa kampuni kubwa kabisa ya Telecom duniani. Ikizipita Ericcson, Nokia na kuziacha zingine zikifika. Ikaja kuwa muuzaji mkubwa kabisa wa simu za mkononi ikizipita Apple na...
Back
Top Bottom