kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Hai (CCM) Saasisha Mafuwe adai kumtumia salamu Mbowe, asema wao wamemuomba Mungu ili awasamehe

    Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe. Ikiwa kama kulikuwa na...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Mama adaiwa kumchoma moto mwanawe mdomo, pua

    MKAZI wa Newland Kijiji cha Mvuleni, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Grace Pima, anadaiwa kumchoma moto mtoto wake wa miaka mitano mdomo pamoja na pua. Mama huyo anadaiwa kutekeleza kitendo hicho kwa kutumia banio linalotumiwa kuunganisha njia ya reli, pia inadaiwa alimfungia ndani mtoto...
  3. KIMAROO

    JamiiForums Tanzania Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

    Kabila la Wachaga linafahamika kwa wengi kuwa linapatikana mkoani Kilimanjaro.Kwa asili, Wachaga ni mchanganyiko wa Wamasai, Wasambaa, Wataita, Wakamba na Wakahe. Wachaga walianza kuhamia kwenye miteremko ya Mlima Kilimanjaro kwenye karne ya 17. Walipofika wakiwa katika vikundi vidogovidogo...
  4. Melubo Letema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Emanuel Giniki ashinda Kilimanjaro Marathon 21K

    Mwanariadha wa kimataifa Emanuel Giniki ashinda Mbio za Kilimanjaro Marathon kwa Nusu Marathon (21K) kwa kutumia Muda wake mzuri Sana (Personal Best) wa 1:00:34 , akifuatiwa na Gabriel Gerald Geay na Inyasi Sulley mashindano yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro na kuhudhuriwa na Waziri mkuu. Japo...
  5. peno hasegawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

    Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon . Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja. Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote. Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha...
  6. Melubo Letema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wa RT Acheni kuendekeza Njaa, Kwa Kilimanjaro Marathon - Wilhelm Gidabuday

    Unajua, Kilimanjaro Marathon ni mbio kama ilivyo mbio ingine. RT bado ni baba wa Mbio zote nchini Tanzania. Bahati mbaya sana viongozi wengi wa RT kwa njaa zao wamekua wakiwatukuza sana wandaaji wa Kili Marathon mpaka kujishushia heshima zao. Sas hvi baadhi ya viongozi waliopo Kilimanjaro haswa...
  7. dubu

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro adaiwa kuingilia Uhuru wa Mahakama, aamrisha watu kuwekwa Korokoroni hata siku tano bila kusikilizwa

    Salaam Wakuu, Nimeshangaa na sikuamini Kusikikia Stephen Kagaigai kabadilika kawa mbabe kiasi kwamba sasa hivi anawekwa kundi moja na Wakina Sabaya, Mnyeti. Huyu Mzee kabla ya kuwa Mkuu wa Mkoa, alikuwa Katibu wa Bunge akifanya kazi na Ndugai. Au ni Msongo wa Mawazo baada ya Kutolewa Kwenye...
  8. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Wananchi wabadili aina ya kilimo cha mseto kwa kuondoa zao la kahawa

    Ukifika mkoani Kilimanjaro utaona ni jinsi gani kizazi hiki kinavyoenda kubadili kabisa aina ya kilimo cha kahawa kilichozoeleka tangu enzi ya mkoloni. Vijiji vichache nilivyotembelea katika wilaya ya Hai na wilaya ya moshi vijijini nimejionea wanavijiji wengi wakiwa wameondosha kabisa zao la...
  9. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Semina ya Mwalimu Christopher na Diana Mwakasege - huduma ya Mana - Moshi, Kilimanjaro tarehe 16 mpaka tarehe 20 Februari 2022

    MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022. Bwana Yesu Asifiwe! HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu Christopher & Diana Mwakasege Karibu sana watu wa Moshi na Mitaa ya Karibu, kwa walio mbali unaweza...
  10. Kiturilo

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro waachwa mbali kwa utajiri na Mkoa wa Shinyanga

    Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP) 1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion 2. Mwanza - sh 10.95 Trillion 3. Mbeya - sh 8.3 Trillion 4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion 5. Morogoro - sh 7.1 Trillion 6. Tanga - sh 6.9 Trillion 7. Arusha - sh 6.9 Trillion...
  11. Suley2019

    JamiiForums Tanzania TANESCO Kilimanjaro yatoa ratiba ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

    Salaam Wakuu, TANESCO kilimanjaro imetoa ratiba ya matengenezo ya miundo mbinu na namna ambavyo mgao utafanyika kuanzia Februari 1 mpaka Februari 10. Tazama ratiba hii katika picha hizi hapa chini. PIA SOMA: TANESCO yatangaza rasmi mgao wa umeme nchi nzima (28/01/2022)
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania RC Kagaigai: Ukame Kilimanjaro umeua Ng’ombe 841, Kondoo 406 na Punda 10

    Salaam Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amepata 40% ya bajeti ya Maendeleo. Mkoa bado umeathiriwa na Ukame. ==== TAARIFA FUPI YA MKOA WA KILIMANJARO KWA MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 22 JANUARI, 2022 1. UKARIBISHO: Mheshimiwa Rais...
  13. beth

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Serikali itashirikiana na Machifu, Viongozi wa Kimila

    Akishiriki Tamasha la Utamaduni lililofanyika leo Januari 22, 2022 Mkoani Kilimanjaro Rais Salia Suluhu Hassan ameeleza, "Kumekuwa na maneno mengi ndani ya Tanzania kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Mila na...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aalikwa kama mgeni rasmi Tamasha la Utamaduni la Mkoa wa Kilimanjaro

    Watu ni wengi sana wakiongozwa na machifu/ watemi wa maeneo yao. Vikundi vya ngoma na sanaa nyingine za Wachagga na Wapare ni vingi sana na bila kusahau vinywaji kikiwemo kinywaji pendwa cha mkoa wa Kilimanjaro. Tukio liko mubashara Clouds tv, TBC na Channel ten. Karibuni nyote Updates;
  15. F

    JamiiForums Tanzania Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

    Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji. Mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji ili kuweza kule maendeleo Kwa mkoa na Taifa Kwa ujumla Hi dhana Kwamba wachaga watakuja kuitawala TZ , ni mawazo ya kijamaa ambayo ni ujinga mtupu. Huu ujinga umesababisha...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Arusha na Kilimanjaro hawajawahi kunyenyekea mwanasiasa wala kiongozi: Miaka yote wamekataa kutawaliwa wanaongozwa

    Nawapongeza wachaga, waarusha, wairaq, wambulu, waMeru na Wamasai kwa kukataa kutawaliwa. Hawa watu toka enzi ya mkoloni walimkataa mkoloni kwa vitendo, mkoloni alipobaini ni vigumu kuwatumikisha akaamua atumie wamishenari kwa ajili ya kutangaza injili kurahisisha njia ya kuwatala lakini...
  17. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Mbunge Saashisha Mafue amteua Katibu Mwenzi (Mpya) wa CCM Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro

    Mada tajwa hapo juu yahusika. Pamoja na CCM kuwa inatumia demokrasia kwenye changuzi zake, huko Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro hali ni tofauti kidogo. Aliyekuwa Katibu mwenzi wa CCM wa Jimbo la Hai ameajiriwa na serikali bila kujua Elimu yake na bila kufanya mitihani kupitia jitihada Za...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Finance and Administration (HFA) at Kilimanjaro Co-operative Bank Limited (KCBL)

    Overview Kilimanjaro Co-operative Bank Limited (KCBL) is the only Co-operative Bank in the country, Headquartered in Moshi - Kilimanjaro, is fully fledged Bank owned by Co-operatives and private business entities. The Bank is ambitiously reorganizing its business model and implementing...
  19. M

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro itupie jicho ofisi ya RPC Kilimanjaro

    Mkoa wa Kilimanjaro kwa sasa unasimamiwa na Simon Maigwa akiwa ndo Kamanda wa Polisi wa Mkoa. Mkoa wa Kilimanjaro umekuwa na tabia kwa baadhi ya Wafanyabiashara na watu maarufu pindi anapoingia RPC mpya kufika ofisini kwake na kuanza kutengeneza mazingira ya mahusiano naye kwa kutoa rushwa ili...
  20. Jay Milionea

    JamiiForums Tanzania TRA yafafanua kuhusu suala la Mwekezaji wa Kilimanjaro

Back
Top Bottom