Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,895
- 940
MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022.
Bwana Yesu Asifiwe!
HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu Christopher & Diana Mwakasege
Karibu sana watu wa Moshi na Mitaa ya Karibu, kwa walio mbali unaweza kufuatilia kupitia YouTube Channel ya Christopher & Diana Mwakasege, UPENDO TV na Radio mbalimbali Nchini
"NJOO ULE UKUE KIROHO"
Tunawakaribisha kwenye semina ya neno la Mungu, Moshi Mjini katika uwanja wa Mashujaa. Semina inaanza tarehe 16 Februari hadi 20 Februari 2022, kwanzia saa 9 alasiri hadi saa 12 jioni. Semina itakuwa LIVE kupitia channel yetu ya Youtube, Upendo TV na redio mbali mbali. Mjulishe na Mwingine na Mungu awabariki.
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE