Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,752
- 218,340
Mh Saashisha, ambaye alijulikana kama Team Sabaya, kutokana na kuwa bega kwa bega na Sabaya kwenye mambo yote, leo amedai hadharani kwamba amemtumia salamu Freeman Mbowe siku ile ile aliyotoka gerezani, huku akifunguka kwamba Wao wamekwishatubu kwa Mungu ili awasamehe.
Ikiwa kama kulikuwa na matatizo yoyote ama kama walimuumiza yoyote wakati wa Uchaguzi, ameendelea kufunguka kwamba anaamini Mungu amewasamehe.
Ameyasema hayo na kunukuliwa na vyombo vya habari katika ziara ya kusikiliza kero za wananchi kwenye jimbo la Hai.
Bali bado hatujajua kama Msamaha huu unamhusu pia aliyekuwa OCD wa Hai kamanda Mpina au la.
Ikiwa kama kulikuwa na matatizo yoyote ama kama walimuumiza yoyote wakati wa Uchaguzi, ameendelea kufunguka kwamba anaamini Mungu amewasamehe.
Ameyasema hayo na kunukuliwa na vyombo vya habari katika ziara ya kusikiliza kero za wananchi kwenye jimbo la Hai.
Bali bado hatujajua kama Msamaha huu unamhusu pia aliyekuwa OCD wa Hai kamanda Mpina au la.