Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Jul 23, 2013
13,573
18,599
1647685591361.jpeg
===

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.
Code:
Chanzo:
https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
===

"Kukamatwa kwangu kulikuwa kilele cha Uonevu" - Freeman Mbowe
===
1647698254923.jpeg


1647698268195.jpeg


1647698285027.jpeg

===
1647685428022.jpeg

"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===

"nimetoka gerezani kwa sababu imethibitika sala za binadamu kwa Mungu zina nguvu kuliko majeshi ya Polisi." - Mh. Freeman Mbowe​
===
===
===
1647688974769.jpeg


1647685146866.jpeg
===
1647683128566.jpeg


1647683142553.jpeg

===
Day2: LIVE: MHE FREEMAN MBOWE AKIWA KWENYE IBADA YA SHUKRANI KATIKA KANISA LA KKKT NSHARA
Post #242: Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022
===
 
Back
Top Bottom