Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,573
- 18,599
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.
Code:
Chanzo:
https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
"Kukamatwa kwangu kulikuwa kilele cha Uonevu" - Freeman Mbowe
===
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
"nimetoka gerezani kwa sababu imethibitika sala za binadamu kwa Mungu zina nguvu kuliko majeshi ya Polisi." - Mh. Freeman Mbowe
===
Day2: LIVE: MHE FREEMAN MBOWE AKIWA KWENYE IBADA YA SHUKRANI KATIKA KANISA LA KKKT NSHARA
Post #242: Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022
===