Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 2,464
- 7,043
Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu.
Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa.
Sasa ni hivi mnapotaja mahari za watoto wenu muwe mna uhakika zinaendana na thamani ya binti yako, usitaje mahari ili hali binti yako sio bikra ( yani mtu ashatumika, anajua kila aina ya staili mbaya zaidi wengine hata marinda hakuna)
Wazazi wanajiamulis tu eti "mimi bila mahari ya 3,000,000/= mwanangu haolewi.
Binti asiye bikra hapaswi kutolewa mahari.
Over.
Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa.
Sasa ni hivi mnapotaja mahari za watoto wenu muwe mna uhakika zinaendana na thamani ya binti yako, usitaje mahari ili hali binti yako sio bikra ( yani mtu ashatumika, anajua kila aina ya staili mbaya zaidi wengine hata marinda hakuna)
Wazazi wanajiamulis tu eti "mimi bila mahari ya 3,000,000/= mwanangu haolewi.
Binti asiye bikra hapaswi kutolewa mahari.
Over.