Kiukweli binadamu tumetofautiana sana.
Rais Magufuli Magufuli alisema hajasaini hukumu yoyote ya kifo kwa wafungwa waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa sababu akifanya hivyo na yeye atakuwa anauwa. Rais Magufuli alisisitiza kuwa hana mpango wa kusaini hukumu yoyote ya kifo hadi anatoka...
Watu watatu wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kumkashifu mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii. Kitendo hicho ni kufuru kwa mujibu wa Katiba ya Pakistan na adhabu take ni kifo.
========
Pakistan court sentences three to death for blasphemy
Fourth accused, a college teacher, sentenced to...
Tizama mwenywe dakika ya 32 - 37 na 47- 49:30 ama kama unaweza tazama yote.
Katabiri mengi yatakayojiri 2021, lkn mm nimechukua ya kisiasa tu.
1. Wakuu wa mihimili 3 mmojawapo atapata shida kubwa ya kiafya na kupelekea ku-rest in peace.
2. Mmojawapo wa viongozi wakubwa wa ccm ataingia kwenye...
Ewe mama/ baba unaempakia mwanao au wanao wawili kwenye boda boda kupelekwa shule acha ufala, upumbavu na uvivu. Boda boda ni kifo!
Ewe mdada wa chuo unaependa urembo wako na uzuri wako, boda boda ni kifo.
Ewe boda boda tafuta kazi ya nyingine ya kufanya achana na huo upumbavu wa boda boda!
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiJorums.
Waziri Kabudi alikosea sana kuikana kauli yake juu ya kifo cha Azory Gwanda. Alipaswa kukubali kwamba ni kweli alikufa ndani ya mawazo, akili pamoja na mioyo ya wanaharakati.
Ninajua fika baada ya kuandika thread hii kuna watu...
Ni wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona...
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa Mabilionea wachache nchini Tanzania na mfanyabiashara, Subhash Patel inadaiwa amefariki leo.
UPDATES:
MFANYABIASHARA maarufu wa Tanzania ambae ni Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group, Subhash Patel...
Umoja wa Mataifa (UN) umesema unachagiza kuondolewa kwa adhabu ya kifo ili kuepuka hatari ya kuwaua watu wasio na hatia lakini pia kila mwanadamu ana haki ya kuishi.
Pia wamesema hakuna ushahidi wa dhahiri kwamba adhabu ya kifo inapunguza uhalifu. Hivyo wanachagiza kwa sentensi kuwa ‘Adhabu ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo anaapisha jumla wa Mawaziri 21 baada ya kuwa tayari ameshawaapisha Mawaziri Mawili ambao ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philipo Mpango na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi...
Wakulungwa naomba mnisaidie hivi kipi bora kuwa karibu na death bed ya mzazi wako anaeumwa au kuja wakati ameshakata kauli.
Binafsi nadhani nibora ningekuwepo kushuhudia the last moments of my beloved dady probably he would have something to tell me. Naumia sana kwamba mzee wangu alifariki...
Wengi wetu tulitegemea mawaziri wataapishwa kesho lakini kwa bahati mbaya Kamishna wa Tume ya Maadili Jaji Mstaafu Halord Nsekela amefariki dunia leo.
Kwa ratiba niliyonayo marehemu Nsekela aliyefia jijini Dodoma mwili wake utasafirishwa siku ya Jumanne kuelekea Tukuyu Mbeya ambako atazikwa...
Jumuiya ya Ulaya (EU) imetoa wito kwa serikali ya Marekani kusitisha utekelezaji wa hukumu ya kifo ya unyongaji iliyoanzishwa tena kufuatia uamuzi uliochukuliwa.
Peter Stano ambaye ni Msemaji wa Kamati ya EU, alitoa maelezo kuhusu suala hilo na kubainisha hofu waliyokuwa nayo dhidi ya serikali...
Mimii si mwandishi mzuri lakin nitafupisha kadri ujumbe ufike. tunakubaliana kuwa dini na imani yoyote ulenga kuweka sawa mahusiano kati ya Muumba na muumbwa/viumbwa.
Kwa vile imani ni nyingi na zipo zinaendana na mahitaj ya jamii flani, si mbaya busara zikijikusanya kama za vitabu...
Muwe mnasikia tu fulani karogwa, anasumbuliwa na wachawi usiku, n.k haya mambo yakiwakuta ndo mtaijua anaeisimulia mvua basi iliwahi kumnyeshea,
Nguvu za giza haziwezi kuonekana kwa macho yetu ya kawaida wala kupimwa na vifaa vya kisayansi, Aliedhuriwa na haya mambo kumbishia ni sawa na...
Hakuna jambo gumu kama kuchagua mwenza wa maisha yako ambaye utaishi naye maisha yako yote mpaka pale kifo kitakapowatengenisha. Kujitolea kuishi na mtu siyo jambo jepesi, ndiyo maana mimi Nafaka mpaka leo sijaamua nasubiri mpaka pale kiongozi wetu Le baharia Lemutuz atakapoanza yeye au...
Hakuna jambo gumu kama kuchagua mwenza wa maisha yako ambaye utaishi naye maisha yako yote mpaka pale kifo kitakapowatengenisha. Kujitolea kuishi na mtu siyo jambo jepesi, ndiyo maana mimi Nafaka mpaka leo sijaamua nasubiri mpaka pale kiongozi wetu Le baharia Lemutuz atakapoanza yeye au...
1.KABLA YA KIFO
Nlitumia muda mwingi kazini kuliko kwenye familia.
Sikuwaomba msamaha watu nliowakosea makosa maksudi.
2. BAADA YA KIFO
Binafsi ntamaindi sana jinsi ntavyopostiwa r.i.p hata na watu ambao walikuwa hawana msaada kwangu na hata hawakuwahi kunicheki kwa miaka zaidi ya minne. hizo...
Bobby Brown apoteza Mtoto Mwingine ndani ya Miaka 5
Kijana huyo Bobby Brown Jr amefariki akiwa na miaka 28
Dadake Bobby Kristin alifariki Miaka 5 iliyopita Kwenye ajali yenye utata
Taarifa zaidi za chanzo cha kifo cha Jr zitatolewa na Polisi
-----
LOS ANGELES — Bobby Brown Jr., the son...
Mkazi wa Mtaa wa Nyanza Kata ya Kalangalala, Butogwa Daudi (22), ambaye alinusurika kifo baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo na kuokolewa na askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita jana.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.