Chad: Rais Idriss Déby afariki dunia saa chache baada ya kutangazwa mshindi wa Urais kwa muhula wa sita

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
CHAD.jpg

Jeshi la Chad limetangaza kuwa Rais wa nchi hiyo Idriss Deby amefariki baada ya kupata majeraha kwenye mapambano dhidi ya waasi.

Deby alienda mwishoni mwa wiki kuvitembelea vikosi vya nchi hiyo ambavyo vinapambana na waasi kaskazini mwa nchi hiyo. Waasi hao wamevuka mpaka wakitokea Libya.

Kifo chake kimetokea ikiwa ni saa chache tu tangu matokeo ya awali ya uchaguzi uliofanyika Aprili 11 kuonesha kuwa anaongoza kwa asilimia 80. Kwa ushindi huo, Deby angeiongoza nchi hiyo kwa awamu ya sita mfululizo.

Serikali na bunge vimevunjwa na sasa baraza la kijeshi ndilo litakaloiongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miezi 18 ijayo. Bw. Déby aliingia madarakani mwaka 1990 baada ya mapinduzi ya kijeshi.

Kundi cha waasi chenye makao yake nchini Libya, Front for Alternation and Concord in Chad (FACT), ambacho kimekuwa kikisonga kuelekea kusini mwa nchi baada ya kushambulia vikosi mpakani siku ya uchaguzi wa urais, wakitaka kumalizika kwa utawala waIdriss Déby, ambaye yuko madarakani kwa muda wa miaka 30.

===

1618919475669.png

According to a confirmation from the national army of Chad read on national radio, the newly re-elected President Idriss Déby has died of wounds he received while commanding his army in battles against rebels in the north.

In a swift change of fate, after news had come in that Chad’s veteran president, Idriss Déby had won a sixth term in the latest provisional results in on Monday by 79.3%, an announcement broadcast on national radio today has announced his death.

According to the army spokesperson, Général Azem Bemrandoua Agouna, the military had been pushed back by a column of insurgents who were advancing on the capital, N’Djamena.

Déby, was expected to give a victory speech after receiving the provisional results, but opted instead to visit Chadian solidears on the front lines, said his campaign director Mahamat Zen Bada.
 
Unatangazwa mshindi halafu unakufa fasta. Hii kitu naona Mungu kaamua kumtuma malaika mtoa roho kuwasaidia Waafrika kwa mikono yake.

Huyu mwamba yeye hii ni awamu ya 6 na hataki kuondoka sasa Mungu kalala naye mbele. Kuna wakati msimtanie Mungu kuwa mnamtanguliza wakati mnawatesa wengine sasa anaamua kugawa dozi mwenyewe bila uwepo wa jeshi na polisi wenu.
 
N’DJAMENA (Reuters) - Chad’s President Idriss Deby has died while visiting troops on the front line of a fight against northern rebels, an army spokesman said on Tuesday, the day after Deby was declared the winner of a sixth term in office. Deby’s campaign said on Monday that he was headed to the front lines to join troops battling “terrorists”.

Rebels based across the northern frontier in Libya attacked a border post on election day and then advanced hundreds of kilometres south across the desert.

Deby, 68, came to power in a rebellion in 1990 and is one of Africa’s longest-serving leaders.

Reporting by Madjiasra Nako; Writing by Aaron Ross; Editing by Edward McAllister
 
Back
Top Bottom