kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Kenya hotspot for British investors

    Kenya has been tipped among the next investment hotspot in Africa for profitable investments by British firms. New research by the Overseas Development Institute (ODI) funded by the UK Department for International Development released last week said UK firms should see Kenya and four other...
  2. Je, Lissu yupo nchini?

    Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm. Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habari Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Radi yaua wanafunzi watatu na kujeruhi wengine 53

    Wanafunzi watatu wa shule ya msingi Mkulima wamefariki dunia baada ya radi kupiga kwenye chumba cha darasa walichokuwa wanatumia. Tukio hilo limetokea katika mji wa Nakuru nchini Kenya siku ya Ijumaa jioni wakati wa kipindi cha michezo Shuleni hapo. Mbali na vifo vya watatu hao umedaiwa kuwa...
  4. Kenya Mungu anawaona

    Here are 7 African countries to tour without security fears Here are 7 African countries to tour without security fears. Africa is a beautiful continent of 54 countries. Countries within this continent are known to be one of the safest places to be. However, tourists harbour conflicting...
  5. 5 Corruption Scandals that rocketed in Kenya 2019

    5 Corruption Scandals That Rocked The Nation 2019 Kenya takes to corruption as fish to water. Ranked 144 out of 180 countries on Transparency International’s 2018 Corruption Perception Index, it is no wonder the country is perceived as one of the world’s most corrupt countries. The Jubilee...
  6. Tanzania vs Kenya vs Uganda: Zisemavyo Katiba kuhusu Ushindi wa Mgombea Urais na Msamaha unaotolewa na Rais wa Nchi

    Katiba ya Tanzania, Ibara ya 41 (6) inasema Mgombea yeyote wa Kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata Kura Nyingi Zaidi kuliko Mgombea mwingine yeyote Katiba ya Kenya, Ibara ya 165 (4) inasema Mgombea atatangazwa kuwa Rais Mteule ikiwa atakuwa amepata zaidi ya...
  7. Rais Kenyatta afanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

    Rais Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika hotuba yake ya kwanza katika mwaka wa 2020 aliyoitoa kwenye Ikulu ya Rais Mombasa amemteua Monica Juma kama Waziri wa Ulinzi huku Raychelle Omamo akiwa Waziri wa Mambo ya Nje. Ukur Yatani ameteuliwa kama Waziri wa Fedha...
  8. Kenya: Mama na mwana wajaribu kuuza damu ili kuongeza ada ya mtoto kujiunga kidato cha kwanza

    Mama na binti yake wamelazimishwa kuuza damu yao ili kuongeza ada ya shule ya kidato cha kwanza kwa msichana huyo. Agnes Akoth na mama yake Rose Odhiambo walikaa kwa muda katika Hospitali ya Rufaa ya Kata ya Siaya Jumatatu, Januari 13, ambapo walikuwa wamekwenda kumtafuta mnunuzi. Kulingana na...
  9. Imam asimamishwa kazi baada ya kuoa mwanaume mwenzake

    Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda. Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na...
  10. Rais Mstaafu wa Kenya Mtuku Daniel Arap Moi (95) ni mgonjwa mahututi

    Rais Mstaafu wa Kenya Daniel Arap Moi (miaka 95) yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) Hospitali ya Nairobi. Amekuwa akilazwa na kuruhusiwa hospitalini hapo mara nne toka Oktoba 2019, ambapo mwanzo alitibiwa kwa tatizo la maji kujaa kwenye mapafu.
  11. Kenya kufanya Uchaguzi Mkuu mwingine mwaka huu, Duh!

    Hawa jamaa wanajua kutupa pesa aisee, duh!
  12. AG has been ordered to appear in court to explain why orders allowing Miguna's return have not been obeyed

    AG Kihara Kariuki has been ordered to appear in court on Monday to explain why orders allowing lawyer Miguna Miguna's return to Kenya have not been obeyed. Judge John Mativo on Friday said the government was stifling democracy by going against the court orders. The state had no representation...
  13. Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable.

    Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable Kenya has built its first solar-powered farm that turns ocean water into potable water. A non-governmental organization called Give Power, the project...
  14. Kenya: Mtoto wa miaka 10 ajitahiri kwa kisu

    Mvulana wa miaka 10 mkazi wa kijiji ya Itare nchini Kenya amejitahiri kwa kutumia kisu cha jikoni baada ya wazazi wake kushindwa kulipia gharama ya Ksh 1000/- ya kupewa huduma hiyo hospitali. Mtoto huyo wa darasa la pili ameeleza chombo cha habari kimoja nchini humo kuwa alilazimika kufanya...
  15. Jina la "Kenya" na "Kenyatta" vina uhusiano gani?

    Kuna jina la kipande cha ardhi cha Africa mashariki kinaitwa "Kenya". Wakati huo huo kiongozi aliyekiletea Uhuru kipande hicho cha ardhi kutoka kwa wakoloni waingereza anaitwa " Kenyatta". Nini maana ya "Kenya" na "Kenyatta", kwa kiswahili?
  16. Washukiwa wanne wa Al-Shabaab wauawa na Jeshi la Kenya

    Wanajeshi wa Kenya Alhamisi wamewaua washukiwa wanne wa wapiganaji wa kikundi cha Al-Shabaab na kumkamata mmoja wao baada ya tukio la kushambuliwa basi katika Kaunti ya Lamu. Mratibu wa Mkoa wa Pwani John Elungata ametoa ripoti hiyo masaa kadhaa baada ya shambulio la kushitukiza katika eneo la...
  17. M

    Kenya na tanzania

    Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili.. Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo...
  18. Kwa nini Capitalism imeshindwa kuwatoa Kenya?

    Kenya ni Capitalistic state tangia day 1, lkn kwa nini imeshindwa kuwaondoa hapo? Je, tatizo ni IQ au ni nini? BTW nchi zote ambazo zimekuwa zikifwata capitalistic economic system ziko mbali sana Kiuchumi, lakini Kenya bado wana matatizo yale yale yanayozisumbua (former) socialistic states, kama...
  19. Serekali ya Kenya Iuze baadhi ya Kampuni inazo miliki ili Kushtua Uchumi au La?

    Miaka ya 70's Serekali ya Kenya iliamua kuuza baadhi ya hisa za kampuni za kiserekali ambazo zilikua hazifanyi vizuri kama KQ ambapo ilifanyikiwa kuleta faida kwa Serekali kwa karibia miaka 20 kabla KQ kuanza kupata hasara kuanzia 2015 hadi sasa, jambo ambalo limefanya GoK kuamua kununua hisa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…