Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Gavana wa kaunti ya Mombasa Joho al-maarufu kama 001 ametangaza amri ya kupima korona nyumba kwa nyumba na wote wanaopatikana na maambukizi wanapelekwa karantini ambapo watajihudumia wenyewe malipo ya ksh2000 ambayo ni sawa na shilingi za kitanzania 42000 kwa siku.
Wakizungumza kwa nyakati...
Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo.
Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji .
“No...
Kenya imetangaza visa vuipya 30 vya #COVID19 na kufanya kuwa na jumla ya watu 365 waliothibitika kuwa na #CoronaVirus. Visa hivii vimepatikana kati ya sampuli 883 zilizopimwa saa 24 zilizopita
Wizara imetangaza vifo vya watu wawili zaidi na kufanya vifo kufikia 24. Watu 15 wakiripotiwa kupona...
Wizara ya Afya nchini Kenya imeripoti visa vipya 24, leo Mei 2, na kufanya idadi kuwa 435. Watu hao wamepatikana katika sampuli 1,195 zilizopimwa saa 24 zilizopita
Mmoja kati ya hao walioripotiwa ametokea Kuria Magharibi na ana historia ya kutembelea Tanzania. Pia Wizara imeripoti kifo cha mtu...
Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Augustine Mahiga leo atamaliza safari yake duniani kwa kuzikwa kijijini kwake Tosamaganga. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu watamsindikiza katika safari yake hii ya mwisho.
Aliyekuwa waziri wa Katiba na...
Waliokutwa na virusi hivyo ni watu wa umri wa miaka 2 hadi 79, wamepatikana katika sampuli 1434 zilizopimwa kwa masaa 24 yaliyopita
Pia idadi ya waliokufa yafikia 21 baada ya watu wengine 4 kufariki dunia. Hadi hivi sasa Kauti 14 kati ya 47 zimethibitisha kuwa na maambukizi huku asilimia 91 ya...
Mjane mmoja nchini Kenya amepikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva.
Mwanamke mmoja nchini kenya ameelezea vile ambavyo amekuwa akiwapikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva.
Penina Bahati, mama wa watoto wanane hajafanikiwa kupata kazi zisizohitaji ujuzi...
Many are not aware but the Kenya police has been undergoing a massive upgrade over of last two years. The Kenya police is getting rid of the G3 rifles and replacing them with CZ Scorpion airsoft rifles and FN scar rifles
The Belgian-made FN SCAR rifles will no longer be a preserve of the...
Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla.
Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida...
Visa vya #CoronaVirus nchini Kenya vyafikia 384 baada ya kutangaza visa vipya 10, leo Aprili 29, 2020. Watu 9 wamerekodiwa Mombasa na mmoja alirekodiwa mjini Nairobi
Idadi ya waliokufa kwa #COVID19 ni 14, huku wagonjwa 5, wamepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani na kufanya idadi ya waliopona kuwa...
Umoja wa mataifa umeonya kuwa hawa nzige na hili janga la corona vinaweza kuwasambaratisha majirani ifikapo juni mwaka huu.
=======
A second invasion by desert locusts has hit East Africa in just a few months, as younger and more aggressive swarms hatch and spread across a region already...
Kenya imetangaza visa vipya vya #CoronaVirus 8 na kufanya idadi ya jumla ya visa vilivyoripotiwa kufikia 363
Wagonjwa hao, wote hawana historia ya kusafiri kwenda nje ya nchi
Wizara ya afya imetangaza pia watu 8 waliopona na kufanya idadi ya waliopona #COVID19 kufikia 114
====
Kenya on...
The year is 1976, Kenya was an economically stable and growing country but militarily it was an underdog surrounded by neighbors armed to the teeth by the soviet union.The then Uganda leader Idi Amin Dada infuriated Kenyans when he claimed that a large part of Kenya belonged to Uganda.
A couple...
Toyota Kenya develops bridge mechanical ventilator
By Sylvania AmbaniApril 24th, 2020 1 min read
A pictorial view of the machine design and components. PHOTO | COURTESY
Toyota Kenya has developed a bridge mechanical ventilator prototype to help support patients with Covid-19 respiratory...
The kenyan government will increase maternity services allocation, due to the projected growth in pregnancies resulting from the covid19 crisis.
The president said this in interviews with radio station journalists at state house.
He said couples are spending more time together and this will...
There is a sharp contrast between how African nations and the rest of the World utilized traditional medicine in the fight against COVID-19 pandemic outbreak. In Africa, the African traditional medicine was hardly given a chance to fight the epidemic. In Asia, traditional medicine was central to...
Solar power in Kenya is set to be boosted when a new 40 MW solar photovoltaic power plant backed with a US $0.075 per kWh feed-in tariff (FiT) is set put up in Kisumu County in the western region of Kenya by Ergon Solair Africa Ltd, a subsidiary of the American company Ergon Solair PBC.
This is...
The government of Kenya has announced plans to develop an industrial park powered by geothermal energy in Nakuru County Kenya. Geothermal Development Company (GDC) Board Chairman John Njiraini revealed the plans and said the company has entered into a joint venture with Nakuru County Government...
Solar power in Kenya is set to be boosted when a new 40MWp solar photovoltaic power plant backed with a US $0.075 per kWh feed-in tariff (FiT) is set put up in Kisumu County in the western region of Kenya by Ergon Solair Africa Ltd, a subsidiary of the American company Ergon Solair PBC.
This is...
Kenya intends to embark on the construction of a state-of-the-art outpatient complex at the Naivasha Sub-County Referral Hospital.
Also Read: Reconstruction of houses in West Pokot Kenya commences
Nakuru County Executive Committee Member for Health Dr. Zachary Gichuki Kariuki said that they...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.