kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake

    Jana serikali ilitangaza hatua za kudhibiti Corona katika vyombo vya usafiri na kuwataka wenye mabasi wote kupakia "level seat" Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12...
  2. Tz boy 4tino

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya aomba deni la China liondolewe kufidia madhara yaliyotokana na virusi vya Corona

  3. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

    Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Wabunge wamtoa mwenzao bungeni kwa kuwa ametokea London hivi karibuni

    Wabunge wa bunge la Kenya wamemtaka mbunge wa Eldas, Adan Keynan aondoke bungeni kwa madai kuwa alikuwa ametoka London Mbunge wa Endebes, Robert Pukose alimuomba Spika wa bunge, Justin Muturi kumuamuru mbunge huyo atoke ili kulinda afya za wabunge wengine Spika akawaamuru wabunge ambao...
  5. displayname

    JamiiForums Tanzania Ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways (KQ) yatua kwa dharura uwanja wa ndege wa Arusha

    Pana tetesi kwamba ndege ya shirika la ndege ya kenya ikiwa inatokea Lusaka Zambia, imeshindwa kutua uwanja wa ndege Jomokenyatta na hatimae kutua kwa dharura Arusha airport. Wenye kufahamu zaidi hili sakata watujueze isijekuwa kuna namna. Kama ni dharura kwa nini asingetua Mombosa au KIA...
  6. Bishop Hiluka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Coronavirus: Wauguzi wa wagonjwa wa corona Kenya waanza mgomo baridi

    Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha. Hospitali ya Mbagathi katika mji mkuu wa Nairobi, ni moja ya hospitali zilizo na...
  7. Dr Mathew Togolani Mndeme

    JamiiForums Tanzania Kenya na Mlipuko wa Covid-19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua?

    Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020 Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho. Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya confirms first case of Corona Virus

    Hii ni habari mpasuko inayotangazwa muda huu na Waziri wa afya wa Kenya. Kwa kuanzia anapiga marufuku mikusanyiko yote. Shule hazitafungwa kwa sasa Mipaka yote kudhibitiwa. ------ The Kenyan Government has confirmed the first case of coronavirus in the country. Health CS Mutahi Kagwe...
  9. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Meru Kenya kunawaka moto saa hii

  10. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya:Kshs 10 billion Konza University,Kenya Advanced Institute of Science and Technology (Kaist Kenya) To be ready in 24 months

    South Korea has provided a Sh9.6 billion loan for construction of a postgraduate studies university at Konza Technopolis. The Kenya Advanced Institute of Science and Technology (Kaist Kenya) to sit on 22 acres is modelled on the Korean Advanced Institute of Science and Technology whose emphasis...
  11. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Twiga weupe wa kipekee wauawa na majangili nchini Kenya

    Watunzaji wanyamapori nchini Kenya wameeleza kuwa Twiga wawili weupe jike na ndama wake wameuawa na Majangili siku ya Jumanne maeneo ya Gerrisa yaliyopo Mashariki mwa Kenya. Inaelezwa kuwa kutokana na twiga hao wa kipekee kuuawa imepelekea kubakia kwa twiga mweupe mmoja tu aliye hai duniani...
  12. Sinister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Garden City housing project in Kenya approved.

    Nairobi County Government in Kenya has approved the US $65m Garden City housing project eight months after it was mooted. Mi Vida chief executive Chris Coulson confirmed the report and said construction of the first 208 units starts immediately. “We finally got our approval from the county...
  13. Cicero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

    MWEEEH! Kama uongo vile. Mbona siiamini hii ripoti. Ngoja niwashushie data ntarudi baadae. ====== Inakadiriwa kuwa Mamilionea 499 kwa kiwango cha dola wamepungua nchini Kenya kutoka mwaka jana. Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2020 shirika linalofuatilia kiwango cha utajiri binafsi wa watu...
  14. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Kenyatta atoa onyo kwa Somalia, ataka nchi hiyo kuacha kuichokoza Kenya

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameionya serikali ya Somalia kuacha uchokozi wa mara kwa mara dhidi ya Kenya. Onyo lake linajiri siku moja baada ya wakazi wa Mandera kulazimishwa kutoroka makazi yao baada ya ghasia zilizozuka kati ya wanajeshi wa Somalia dhidi ya wanajeshi wa eneo la Jubaland...
  15. Cicero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waziri mwanamama wa Kenya ashutumiwa kwa kupenda kuangalia video za ngono ofisini

    Wakenya mko wapi mtuambie ni nani huyu!
  16. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mauaji ya kimafia huko Kenya

    Ati nini? Nakala iwafikie pingli-nywee na nyang'au wengineo.
  17. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama Jijini Nairobi yafuta uamuzi wa Kenya Airways kumsimamisha kazi Mfanyakazi aliyerekodi Ndege ya Wachina ikitua JKIA

    Kenya Airways’ decision to suspend employee Gire Ali has been voided by a Nairobi court after he moved to court to challenge the move. At the same time, the court also stopped the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) from arresting and charging Mr. Gire. Gire, an Assistant...
  18. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya airways (KQ) suspends staffer who shared video of Chinese arrival at JKIA

    Kenya airways has suspended a staff indefinitely for sharing a video clip of 239 passengers aboard a Chinese flight that arrived in Kenya. "Following a report of video of China Southern flights arrival at JKIA and circulation of the video clip widely on social media and your alleged involvement...
  19. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alshabaab waaamuru watu wote ambao si wazawa kuondoka katika eneo lote la Kaskazini mashariki mwa Kenya

    https://www.operanewsapp.com/tz/en/share/detail?news_id=70f928da842b6242fda46a9898eb65fd&news_entry_id=32bb7f30200227en_tz&open_type=transcoded&request_id=RELATED_NEWS_6702ca75-024e-495d-91ba-90db839a964e&from=news Hii amri inafuatia baada ya Wizara ya elimu ya Kenya kuwaondoa waalimu wote ambao...
  20. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania A China Southern airlines with 239 passengers on board lands at the Jomo Kenyatta International airport in Nairobi

    February 27, 2020 Nairobi, Kenya A China Southern airlines with 239 passengers on board lands at the Jomo Kenyatta International airport in Nairobi, Kenya bringing with it a fresh concern about coronavirus. A whistleblower who took a video of this aeroplane from China said that there are no...
Back
Top Bottom