Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Here are 7 African countries to tour without security fears
Here are 7 African countries to tour without security fears.
Africa is a beautiful continent of 54 countries. Countries within this continent are known to be one of the safest places to be.
However, tourists harbour conflicting...
5 Corruption Scandals That Rocked The Nation 2019
Kenya takes to corruption as fish to water. Ranked 144 out of 180 countries on Transparency International’s 2018 Corruption Perception Index, it is no wonder the country is perceived as one of the world’s most corrupt countries.
The Jubilee...
Katiba ya Tanzania, Ibara ya 41 (6) inasema Mgombea yeyote wa Kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata Kura Nyingi Zaidi kuliko Mgombea mwingine yeyote
Katiba ya Kenya, Ibara ya 165 (4) inasema Mgombea atatangazwa kuwa Rais Mteule ikiwa atakuwa amepata zaidi ya...
Rais Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika hotuba yake ya kwanza katika mwaka wa 2020 aliyoitoa kwenye Ikulu ya Rais Mombasa amemteua Monica Juma kama Waziri wa Ulinzi huku Raychelle Omamo akiwa Waziri wa Mambo ya Nje.
Ukur Yatani ameteuliwa kama Waziri wa Fedha...
Mama na binti yake wamelazimishwa kuuza damu yao ili kuongeza ada ya shule ya kidato cha kwanza kwa msichana huyo. Agnes Akoth na mama yake Rose Odhiambo walikaa kwa muda katika Hospitali ya Rufaa ya Kata ya Siaya Jumatatu, Januari 13, ambapo walikuwa wamekwenda kumtafuta mnunuzi.
Kulingana na...
Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda.
Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na...
Rais Mstaafu wa Kenya Daniel Arap Moi (miaka 95) yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) Hospitali ya Nairobi. Amekuwa akilazwa na kuruhusiwa hospitalini hapo mara nne toka Oktoba 2019, ambapo mwanzo alitibiwa kwa tatizo la maji kujaa kwenye mapafu.
AG Kihara Kariuki has been ordered to appear in court on Monday to explain why orders allowing lawyer Miguna Miguna's return to Kenya have not been obeyed.
Judge John Mativo on Friday said the government was stifling democracy by going against the court orders.
The state had no representation...
Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable
Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable
Kenya has built its first solar-powered farm that turns ocean water into potable water. A non-governmental organization called Give Power, the project...
Mvulana wa miaka 10 mkazi wa kijiji ya Itare nchini Kenya amejitahiri kwa kutumia kisu cha jikoni baada ya wazazi wake kushindwa kulipia gharama ya Ksh 1000/- ya kupewa huduma hiyo hospitali.
Mtoto huyo wa darasa la pili ameeleza chombo cha habari kimoja nchini humo kuwa alilazimika kufanya...
Kuna jina la kipande cha ardhi cha Africa mashariki kinaitwa "Kenya". Wakati huo huo kiongozi aliyekiletea Uhuru kipande hicho cha ardhi kutoka kwa wakoloni waingereza anaitwa " Kenyatta". Nini maana ya "Kenya" na "Kenyatta", kwa kiswahili?
Wanajeshi wa Kenya Alhamisi wamewaua washukiwa wanne wa wapiganaji wa kikundi cha Al-Shabaab na kumkamata mmoja wao baada ya tukio la kushambuliwa basi katika Kaunti ya Lamu.
Mratibu wa Mkoa wa Pwani John Elungata ametoa ripoti hiyo masaa kadhaa baada ya shambulio la kushitukiza katika eneo la...
Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili..
Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo...
Kenya ni Capitalistic state tangia day 1, lkn kwa nini imeshindwa kuwaondoa hapo? Je, tatizo ni IQ au ni nini? BTW nchi zote ambazo zimekuwa zikifwata capitalistic economic system ziko mbali sana Kiuchumi, lakini Kenya bado wana matatizo yale yale yanayozisumbua (former) socialistic states, kama...
Miaka ya 70's Serekali ya Kenya iliamua kuuza baadhi ya hisa za kampuni za kiserekali ambazo zilikua hazifanyi vizuri kama KQ ambapo ilifanyikiwa kuleta faida kwa Serekali kwa karibia miaka 20 kabla KQ kuanza kupata hasara kuanzia 2015 hadi sasa, jambo ambalo limefanya GoK kuamua kununua hisa...
Kenya has seen marked improvement in this 2019 ranking. In spite of the spate of natural disasters brought about by climate change.
====
An estimated 55.4 percent of Tanzanian population or around 31,778,000 people are in multidimensional poverty while an additional 24.2 percent or 13,872,000...
Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa.
Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.