Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Sasa kwani kuna kitu special na kiingereza? Si ni lugha tu kama Kimaasai, Kikikiyu au Kimeru? Sema mnajishuku kwasababu mmekomalia tu kwenye lugha moja ya kiswahili na hamtaki kabisa kujifunza lugha zingine. Ama labda uwezo wenu wa kung'amua vitu unawakwaza. Nyinyi wenyewe mashuleni mnafunza mkitumia kiingereza kutoka kidato cha kwanza hadi chuo kikuu.
Neno common kama WiFi hawajui alafu wanajisifu kujua lugha, so funny.Kenya siyo ,,an english speaking country”, hata kama hawataki kulikubali lkn ndo ukweli wenyewe.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja.Kiukweli English ni very important language @ Tanzania can't move without English @ China ni tofauti sana na Tanzania nchi iliyojaa wazembe
Wachina wanazungumza kichina lakini wanawa sainisha mikataba ya ajabu kinoma 😂😂😂Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja.
sema munatamani kuipata hio mikataba ila mbali na lugha, hata hio pesa yenyewe ya kulipia mkopo pia hamna. shithole country kabisa. LDC!Wachina wanazungumza kichina lakini wanawa sainisha mikataba ya ajabu kinoma 😂😂😂
Pole sana.Nilikuwa Nairobi mwezi March 2019 kwa shughuri za kikazi. Niliambiwa Wakenya wamekuja NIDA kujifunza kuhusu utoaji wa National ID. Inashangaza unataka NIDA wakajifunze kwa watu ambao hawajaanza kutoa ID
Karibu tena Kenya.Nimeishi Kenya, Najua ninachokosema.
Wanatumia national ID kwa miaka mingi Sana sio zoezi lilionza juzi Kama sisi tunavyoliendeleza.
Ndo Maana hata East Africa community Kenya, Rwanda na Uganda unaweza kuvuka na national ID, Tanzania hatukuingia kwenye makubaliano hayo sababu hatukuwa na National ID.
Hao waliokwambia wakenya wameenda kujifunza NIDA walikudanganya.
Sent using Jamii Forums mobile app
sema munatamani kuipata hio mikataba ila mbali na lugha, hata hio pesa yenyewe ya kulipia mkopo pia hamna. shithole country kabisa. LDC!
Wewe endelea na story za vijiweni, sisi tunasonga mbele huku nyie mlichobakiwa nacho ni chuki na wivu tu.sema munatamani kuipata hio mikataba ila mbali na lugha, hata hio pesa yenyewe ya kulipia mkopo pia hamna. shithole country kabisa. LDC!
mkenya atakayeidharau Tanzania ya leo, atakuwa anafanya makosa makubwa...especially baada ya Magu kuingia mamlakani...Tanzania hii si ile ya zamani...ona tu treni mnazoletewa...ona tu zile bridges....na cha kushangaza ni kwamba, bei ya SGR yetu ya zamani na iliyojaa moshi ni ghali kuliko yenu ya stima...duh itakua kama ulaya vile...mimi sijui wakenya watatokomea wapi itakapokamilika...itakua aibu kubwa sana kwetu especially tunavopenda kuwakandamiza wengine wakati mwingine...SGR TZ nimeipa tick...sasa mjaribu na station pia ziwe zina match hizi picha..
Yes they are complaining.Maelfu ya Watanzania wapo nje ya Africa wakifanya Maisha huko, Wachina na Wazungu na Wahindi maelfu kwa maelfu wanafika Tanzania na Kutoka kila siku,
Hawa wakija Tanzania wanahudumiwa kwa Kiluhya?
Are they complaining that they experience communication Challenges in Tanzania?
you know what 'Sarcasm' means?Wewe endelea na story za vijiweni, sisi tunasonga mbele huku nyie mlichobakiwa nacho ni chuki na wivu tu.
wewe mwenyewe umechoka.Kwenye hiyo video hapo juu umewaona mid income wa kenya walivyochoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Show us those who complained.Yes they are complaining.
Ona mkenya mwenzako alivyoandika kitu cha maana,you know what 'Sarcasm' means?
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira. yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu... kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Hao mid income wa kimungiki wamezidi aisee,usa wamefanya kitu cha maana sana kwa kuwapa msaada kile chakula cha nguruwe,si kwa hoe hae hiyo aisee!halafu hapo ndio nairobbery huko turkana mid income sijui wako kwenye hali gani 🤣wewe mwenyewe umechoka.