kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Kafrican

    CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Kwa mwezi mzima, USA ilikua na kesi 15 tu, walidhani wako salama na wameishinda corona! Siku 22 za kwanza, Italy walikua na kesi tatu tu!!, walidhani wako salama!!!! Siku 21 za kwanza, Egypt walikua na kesi 3 tu, walidhani hali iko sawa!!! siku 26 za kwanza, Spain walikua na kesi 7 tu...
  2. joto la jiwe

    Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

    Uganda Under Total Lockdown President Yoweri Kaguta Museveni, while addressing the Coronavirus status on Monday night, ordered for a total lockdown in Uganda for the next 14days. Museveni ordered for complete shutdown of operations by private cars, Tuk-tuk and boda bodas, saying that the...
  3. Suley2019

    9 more coronavirus cases reported in Kenya, total rises to 59

    The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59. According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59 patients is ongoing. “So far...
  4. Sinister

    Geothermal industrial park to be developed in Nakuru County Kenya

    The government of Kenya has announced plans to develop an industrial park powered by geothermal energy in Nakuru County Kenya. Geothermal Development Company (GDC) Board Chairman John Njiraini revealed the plans and said the company has entered into a joint venture with Nakuru County Government...
  5. Papaa Mobimba

    Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  6. M

    Wakenya: Tunawashangaa Watanzania, Polisi wa Tanzania wanafanya zaidi ya hiki cha Polisi wa Kenya lakini huwa hawasemi

    Nikiwa hapa katika viunga vya jiji la Nairobi nimejaribu kupata maoni kutoka wa watu mbalimbali ambao nilitaka kufahamu kuhusu sakata la Polisi kupiga watu siku za hivi karibuni na jinsi suala Hilo lilivyoleta mtafaruku ndani na nje ya Kenya. Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi...
  7. Trubarg

    Kenya wapo kwenye curfew au lockdown?

    Kama wapo kwenye LOCKDOWN vile vipimo hapana..wamevunja Sheria coz kwenye lock down police hawatakiwi kutumia miguvu Kama Ile. Kama wapo kwenye CURFEW then ninsawa kuwacharaza zile bakora wananchi
  8. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Kudhibiti Covid-19 hakuhitaji hatua za kukurupuka, taharuki wala kuiga: kilichotokea leo Kenya nilitahadharisha siku ya kwanza

    SEHEMU YA KWANZA Siku Kenya walipotangaza kwa mara ya kwanza kwamba wana mgonjwa wa Covid-19 na hatua walizochukua, niliandika hapa na kwingine kukosoa uharaka na ukubwa wa hatua walizozichukua. Nilisema huwezi kupambana na mlipuko uliofikia ngazi za Pandemic kwa kuchukua hatua kubwa (drastic...
  9. Luqman mohamedy

    Uganda: Wawili wapigwa risasi kwa kukiuka amri ya Rais ya kutotumia usafiri wa umma

    Mmoja wa waliopigwa risasi, Alex Olyem. Picha na Jessica Sabano/Daily Monitor Watu wawili wamelazwa hospitalini baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi waliopelekwa kusimamia amri ya Rais Museveni ya kuzuiwa kwa usafiri wa umma kwa nia ya kukinga kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19. Alex Olyem...
  10. The Sheriff

    Wagonjwa COVID-19 nchini Kenya wafikia 31, serikali yawafuatilia kwa karibu wengine 906

    Idadi ya kesi za coronavirus nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia watu 31 baada ya wagonjwa wengine watatu kupimwa na kukutwa wakiwa na COVID-19. Katika mkutano na waandishi wa habari leo, Katibu Mkuu wa Utawala, Wizara ya Afya, Dk. Mercy Mwangangi amesema wagonjwa hao wapya wote ni wanawake...
  11. Kafrican

    Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!

    MARCH 24, 2020 / 3:18 PM / UPDATED AN HOUR AGO BERLIN (Reuters) - German customs officials are attempting to track down about 6 million face masks ordered to protect health workers from the coronavirus which went missing at an airport in Kenya. “The authorities are trying to find out what...
  12. Influenza

    CoronaVirus: Shirika la Ndege la Kenya Airways limesimamisha safari zote za Kimataifa

    Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19 Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu...
  13. J

    Kenya: Naibu Gavana apata maambukizi ya Corona na kufanya wagonjwa kufikia 15

    Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi. Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo. ======= Kilifi deputy governor in quarantine after Germany trip Tension is brewing in Kilifi over a...
  14. J

    Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake

    Jana serikali ilitangaza hatua za kudhibiti Corona katika vyombo vya usafiri na kuwataka wenye mabasi wote kupakia "level seat" Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12...
  15. Influenza

    Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

    Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye...
  16. Analogia Malenga

    Kenya: Wabunge wamtoa mwenzao bungeni kwa kuwa ametokea London hivi karibuni

    Wabunge wa bunge la Kenya wamemtaka mbunge wa Eldas, Adan Keynan aondoke bungeni kwa madai kuwa alikuwa ametoka London Mbunge wa Endebes, Robert Pukose alimuomba Spika wa bunge, Justin Muturi kumuamuru mbunge huyo atoke ili kulinda afya za wabunge wengine Spika akawaamuru wabunge ambao...
  17. displayname

    Ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways (KQ) yatua kwa dharura uwanja wa ndege wa Arusha

    Pana tetesi kwamba ndege ya shirika la ndege ya kenya ikiwa inatokea Lusaka Zambia, imeshindwa kutua uwanja wa ndege Jomokenyatta na hatimae kutua kwa dharura Arusha airport. Wenye kufahamu zaidi hili sakata watujueze isijekuwa kuna namna. Kama ni dharura kwa nini asingetua Mombosa au KIA...
  18. Bishop Hiluka

    Coronavirus: Wauguzi wa wagonjwa wa corona Kenya waanza mgomo baridi

    Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha. Hospitali ya Mbagathi katika mji mkuu wa Nairobi, ni moja ya hospitali zilizo na...
  19. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Kenya na Mlipuko wa Covid-19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua?

    Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020 Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho. Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
Back
Top Bottom