News Alert: Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,219
79,507


Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Kazungu amezungumza na vyombo vya habari ili kuweka mambo sawa. Balozi kazungu amesema...

Rais Kenyatta amenituma hapa, anasema Kenya haiiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu, sisi sio maadui, adui yetu ni corona, ndio maana alikuwa Rais wa kwanza kuingia Chato kumsalimia rais Magufuli, akachukua dhahabu akasema mpelekeeni Magufuli.

Bila hii corona April 26 mwaka huu Kenyatta alipanga aje asherehekee na Watanzania Muungano, alipanga awe na ziara ya muda mrefu hapa TZ kuliko Rais yeyote, uamuzi ambao Kenya imechukua kuhusu safari za mipakani sio kwasababu ya Tanzania bali adui yetu ni kirusi.

Hakuna Mkenya anayemuombea mabaya Mtanzania, Wakenya tunawaombea Watanzania mpigane na janga hili, na sisi pia mtuombee, tusianze kukorogwa na kirusi hiki, tusianze kugongana kisa corona, Watu watulie, Viongozi wetu watakutana na tutalimaliza.


MY TAKE
I mentioned of special emissary/envoy from Kenya will be sent to Tanzania with immediate effect after a border closure by Tanzania...:D:D:D:D

Fungueni border

Kabudi promised to get back after a week! :D :D :D




Sasa katibu kata amjibu huyu balozi! :D :D :D


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Balozi wa Kenya nchi Tanzania amesema Tanzania na Kenya ni ndugu hivyo hakuna haja ya kuvurugana kisa Corona ambayo haijatoka Tanzania wala Kenya ila wote imetukuta.

Hata hivyo amesema asubuhi ameongea na Waziri wa Mambo ya nje Prof Kabudi kuhusu Changamoto hii.

Kabudi amemjibu kwa sasa yuko bize na maswala Chama Dodoma, hivyo wataongea mwishoni mwa wiki.
 
kama anasepa na asepe.
mwenye hadhi ya kutubembeleza na tukamsikia labda ni uhuru tu.tena aende mwenyewe chato akapige magoti.asipige cm akuna muda wa kuongea na cm MK254

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipoangalia ile stimulus package yao toka IMF Rapid credit facility itaishia kuagiza dona Mexico! The West wabaya aisee! :D :D :D :D :D
 
CHA KUSHANGAZA.

Dereva wa Kenya akija kuchukua mzigo Tanzania anaweza kukaa Hadi wiki lakini akifika mpakani kwao anaonekana ni Negative lakini wa Tanzania ni positive. Madereva wa Kenya na raia wa Kenya wanaorudi Kenya toka Tanzania hawaonekani wakiwa na Corona kwa maana hiyo Corona inabagua Nationality.
Mnajifurahisha, hyo ndio kazi yake..
Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe..
Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajifurahisha, hyo ndio kazi yake..
Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe..
Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ng'weng'we za nini sasa hata siku haijapita! Si mnaenda Ethiopia kuchukua chakula na mmepewa fedha na IMF? Balozi Kazungu kasema Uhuru kasema "haiiangalii Tanzania kama jirani bali ndugu na dada"!
 
Mlipokosea ni police wenu kuingia hadi ndani ya tz kupiga watu Wetu.
Hatuna tatzo na nyie kufunga mpaka shida yetu ni y muingie ndani ya tz na kupiga watu wetu?? Huo ndio ustarabu wenu ulipoishia au sio
Mnajifurahisha, hyo ndio kazi yake..
Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe..
Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom