Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Kutokana na mkipuko nchini Lebanon, raia wengi wa Kikenya ambao wengi wao ni watumishi hohehahe kwenye mataifa mengi duniani hasa uarabuni na hivyo kutuma remittances nyingi kwao, watelekezwa na maboss wao kutokana na mlipuko Lebanon
Kenyan women and children abandoned on the street outside...
Gharama zako za matumizi kwa siku zimekaaje katika kipindi hiki? Mfano chakula, usafiri, matumizi ya simu, vinywaji na kadhalika. Tuchangie mada hii wana jf..
Could this ever happen in Kenya? The Tanzanian government has banned Local Media from broadcasting 'foreign made content', wait for it... without permission from the government and the relevant authorities.
Content and direct broadcasts from international media like BBC, VOA, DW etc will now be...
Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limepanga kupunguza marubani, ikiwa ni mpango wa Shirika hilo kupunguza asilimia 40 ya wafanyakazi wake kufuatia janga la CoronaVirus
Katika barua yake kwa Chama cha Marubani (Kapla) Mkurugenzi Mtendaji wa KQ, Allan Kilavuka amesema kufuatia ukaguzi waliofanya Mei...
University of Nairobi imeishinda university of Ghana kimasomo, (tukizingatia ranking) lakini university of Ghana ina miundo mbinu (infrastructure) ya ajabu. Imejengwa ikajengeka. Ina majengo mengi na yenye hadhi ya juu. Hakuna university hapa A.M imeikaribia kwa majengo.
Hii ndio taarifa mpya inayozagaa mitandaoni kwa sasa.
wote mnakaribishwa
===
Mgombea wa Urais, kupitia Chama cha Upinzania CHADEMA Tundu Lissu, alivyohojiwa na Citizen Online Radio Station, kutoka Nairobi Kenyan Tundu Lissu aongea mengi kuhusu mustakabali wa Tanzania, ambae anagombania...
After south korea confirmed the commencement of construction of Kaist (Kenya Advanced Institute Of Science & Technology) in Konza city, modelled after Kaist in Daedeok Innopolis, Daejeon, South Korea .
Today GOK has revealed that a final contractor has been identified and tender awarded for the...
Covid-19: US raises travel alert levels for Kenya
The US State Department on Friday raised the levels of its advisories on travel to Kenya and other East African countries partly due to concerns about the spread of the coronavirus.
The new alerts urge prospective visitors to the region to...
Ijumaa Karim ndugu zangu Watanzania.
Tanzania kupitia bandari ya Dar kwa sasa imevutia kupitisha mizigo mingi hasa toka Burundi kwa ku-charge bei ambayo wateja wanaweza kumudu. Kwa mujibu wa gazetu la the East African ninanukuu "On average it costs $1.80 per kilometre per container to transport...
Bodi ya mishahara nchini Kenya imepinga mpango wa kuongeza pensheni kwa wabunge 375 wa zamani.
Mkuu wa bodi hiyo, Lyn Mengich, amesema iwapo wabunge wataongezewa pensheni wafanyakazi wengine wa ofisi za Umma watataka mishahara yao iongezwe pia.
Wiki hii wabunge nchini humo walipitisha muswada...
Mchango wetu kwa ukuaji wa Africa ni jambo la kufurahisha kwa kweli, tulibuni MPESA na sasa inazidi kuwa tegemeo la Afrika.
===
Mobile money platform M-Pesa is now processing transactions of Sh1.6 trillion per month in Kenya and other African countries, making it the largest payment platform on...
=======
Works on the first floating footbridge across the Likoni Ferry channel have started.
The Sh1.7 billion bridge contracted to the China Road and Bridge Corporation is being erected at Liwatoni on the island side and is a composite structure designed for pedestrians only.
It starts at...
Muda mfupi mh Tundu Lissu atakuwa mbashara kuanzia saa 8: 00 mchana,Vituo vitakavyokuwa live Ni @standardKenya na @KTNNews, hii Ni kwamjibu wa Tumaini Makene
======
Mwandishi: Mchakato wa kupona ulikuwaje?
Lissu: Asante kwa kushiriki kwenye kipindi chenu na kuongea na wananchi wa Kenya kuhusu...
Kenya kujenga kituo cha umeme wa nyuklia chenye kugharimu dola bilioni 5 kinu hicho kinatarajiwa kuwa kitazalisha umeme wa Megawati 4000
Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya (NuPEA) limewasilisha ripoti kuhusu mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa nyuklia ambacho ujenzi wake...
Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza maambukizi mapya 671, yaliyotoka kwenye sampuli 62,00 zilizopimwa saa 24 zilizopita. Idadi hiyo imefanya jumla ya ya maambukizi kufikia 23,873
Katika watu hao waliothibitika kuwa na CoronaVirus 633 ni wakenya na 38 ni wageni. Pia idadi ya waliofariki imefikia...
Joyce Wairimu Kariuki (62) amhukumiwa kwenda jela miaka 35 baada ya kukuta na hatia ya ujambazi. Amekutwa na hatia ya kuhusika kupora vyombo vya moto kwa mwaka 2018 na 2019
Rekodi za Upelelezi wa Makosa ya jinai zinamtambua mama huyo kuwa ni mwanamke aliyewahi kutumikia kifungo cha miaka 15...
Earnings from horticulture exports grew by Sh. 7 billion in the first five months of the year.
This was helped by high demand for vegetables and fruits, defying the Covid-19 scourge that disrupted the global market, where Kenya sells the bulk of its produce.
Data from the Directorate of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.