kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. IAfrika

    Inside Kenya's Tiff With Somalia and Tanzania

    Kenya’s persistent trade tiffs with neighbours may be a result of dynamics beyond the region, which could require political solutions. Two of Kenya’s neighbours, Somalia and Tanzania, have recently stalled business ventures for Kenyans over alleged bad policy by Nairobi. Tanzania cancelled...
  2. MK254

    Mtakubali tu - Kenya only African country on Forbes list

    President Uhuru Kenyatta during a virtual meeting of the African Union (AU) Bureau on July 21, 2020 FACEBOOK Kenya is among nine countries worldwide that was endorsed in a list of places to travel to in an article on the American business magazine, Forbes. In an article on the magazine's...
  3. Geza Ulole

    As tourism counts losses, pressure keeps mounting on Uhuru to lift the ban on Tanzanians entering Kenya

    East African Tourism Stuck in Turbulent Skies Airspace tension between Kenya and Tanzania continues Tourism investors in the region are challenged by the ongoing airspace tension between Kenya and Tanzania, now damaging the East African tourism and travel sector in the region. Tension over...
  4. MK254

    Watanzania safari za Kenya zimewashinda licha ya kuachiwa uwanja wote

    Ndege za Tanzania zimeshindwa safari za Kenya/Tanzania baada ya kukosa abiria wa kutosha, uwanja wameachiwa wote maana hamna ndege za KQ zinazoruka hiyo ruti, dunia hii ukiendeshwa na chuki utaishia kuteseka mwenyewe badala ya wahanga wa chuki zako. ===== The Tanzania-based Air Precision has...
  5. M2WAWA2

    Mike Oliver, Mzungu mtalii aliyetembea na wanawake 300 nchini Kenya

    Mike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya. Ametoa uthibitisho huo kwa kutoa na kuchapisha picha za hao wanawake wakiwemo wake za watu, wachumba, watu wazima...
  6. IAfrika

    African Economies With the Highest External Chinese Debt in 2017

  7. politicians

    Natafuta dereva wa magari ya mzigo anayekwenda Kenya Nairobi

    Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
  8. Sinister

    Solar photovoltaic project for Nyeri, Kenya

    The financial close for a 1.5 MWp solar photovoltaic project at Kiamariga village in Nyeri County, the central region of Kenya has been attained following the release of US$ 355,000 equity investment by the Renewable Energy Performance Platform (REPP), a UK government-funded program dedicated to...
  9. Sinister

    Kenya: A waste-to-energy plant to be constructed at Dandora, Nairobi

    A waste-to-energy plant is to be constructed at Dandora, an eastern suburb in Nairobi, Kenya by the Kenya Electricity Generating Company PLC (KenGen), Kenya’s largest electricity generator in conjunction with the Nairobi Metropolitan Services (NMS). The two entities entered into an agreement...
  10. MK254

    Mbona Total wameishindwa Tanzania, ingekuwa kampuni ya Kenya mngechekelea ila sasa wanahama wote

    Kampuni ya mafuta ya Total, ambao ndio walikua tegemeo kwa ujenzi wa bomba la mafuta Tanzania, naona wametangaza zabuni ya kuuza kila kinachowahusu Tanzania, kawaida humu huwa tunaona Watanzania wakichekelea kila panapotokea taarifa za kampuni ya Kenya kwao huko inapofungasha, sasa kwa hawa...
  11. Sinister

    Kenya becomes first country to be awarded safer tourism seal

    Kenya has become the first country globally to be awarded the recommended status of the “Safer Tourism Seal” by rebuilding travel and position the country as a safe and preferred destination. Tourism Cabinet Secretary Najib Balala was presented with the award in a virtual event that was...
  12. MK254

    Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

    • The teachers recruited will serve on permanent and pensionable terms of service. • Interested and qualified candidates should submit their applications online through the commission’s website not later than September 14, 2020. The Teachers Service Commission has announced a massive...
  13. Ndombwindo

    Started in Wuhan as a virus, landed in Italy as a pandemic and now in Kenya as multi-billion Ksh corruption enterprise

    Ama hakika dunia hadaa ulimwengu shujaa, Asante sana Magufuli kwa kutuepusha na hii enterprises from Wuhan.
  14. Analogia Malenga

    Kenya: Mama wa miaka 42 ataka kuolewa na mtoto wa miaka 14

    Mwanamke mmoja mkazi wa Migoro Kenya amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa miaka 14 ambaye yuko darasa la nane Mama huyo ambaye alitaka kuolewa na kijana huyo amekutwa na mtoto huyo nyumbani kwake. Tendo hilo lilifahamika baada ya polisi kupata taarifa...
  15. President of China

    List of Political Parts in Kenya

    Agano Party (AP) Alliance for Real Change Alliance Party of Kenya (APK) Chama Cha Mwananchi (CCM) Chama Cha Uzalendo (CCU) Conservative Party (CP) Democratic Party of Kenya (DP) Farmers Party (FP) Federal Party of Kenya (MDM) Ford-People (FORD-P) Forum For Restoration of Democracy-Kenya...
  16. MK254

    Bamburi, Kampuni ya saruji Kenya yaongeza faida kwa asilimia 82%

    Mwendo ndio huu tu hamna kingine nchi hii. ======= Bamburi cement has posted a Ksh.83 per cent profit growth to Ksh.721 million through the first half of 2020. The near double earnings acceleration is highly attributable to costs containment efforts and gains marked in the period. The firm...
  17. MK254

    Kenya yazidi kupaa "Ease of doing business", hamjakoma bado

    Dah ila Rwanda wale watu wanajituma, wana rais asiye mzembe, bado wanaongoza kwenye hili, ndio tatizo haupewi vyote aidha upewe ubongo na kunyimwa raslimali au upewe raslimali unyimwe ubongo. Hata hivyo Kenya inazidi kuchana mbuga tena kwa kasi ya ajabu, majirani zetu wengine tumewapiga double...
  18. IAfrika

    Vita vya GDP Afrika Mashariki ni Kati ya Kenya, Ethiopia na Tanzania tangu 1980. Nafasi ya kwanza inaeza nyakuliwa na nchi hizi tatu

    Mabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.
  19. M-mbabe

    Mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, uchumi wa Tanzania ulikuwa ni mkubwa kuliko wa Kenya. Marais waliomfuatia walikwama wapi?

    Kuna shida mahali. Pamoja na watu kumnanga (very incorrectly and unfairly) Mwalimu Nyerere (RIP mzee wetu) kuhusu sera zake za uchumi, inaonekana dhahiri kuwa alikuwa akifanya vizuri zaidi kiuchumi kwa kuchukulia nchi ya Kenya kama benchmark. Nimeichukulia Kenya kama benchmark kwa vile ndiye...
  20. Replica

    COVID-19 yaendelea kuleta kizaazaa: Tanzania yazuia kampuni tatu nyingine za ndege kutoka Kenya kutua nchini

    Mgogoro wa majirani unazidi kupamba moto, Covid19 inaendelea kudhihirisha nyufa nyingi zilizokuwepo kwenye ukuta wetu. Leo mamlaka ya anga imeshusha rungu jingine Kenya kwa kuzuia kampuni tatu zaidi baada ya Kenya Airways ya awali. ======== Kampuni tatu zaidi za ndege kutoka Kenya zimezuiwa...
Back
Top Bottom