Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
Tanzania na Kenya zilipata uhuru mapema miaka ya 1960s. Leo zinakaribia miaka 60 tangu zipate uhuru.
Nchi hizi mbili ni kama makaka wawili waliozaliwa tumbo moja ila kila mmoja kachukuwa njia tafauti katika kutafuta maisha. Na kwa mtazamo wa haraka Tanzania imefeli vibaya sana katika miaka...
Wabunge watatu leo nchini Kenya walibubujikwa na machozi baada ya Mtendaji Mkuu wa chama cha Madaktari Chibanzi Mwachonda kusimulia madhila yaliyowakuta baadhi ya madaktari waliopoteza uhai wao wakipambana na ugonjwa wa COVID-19.
Chama hicho cha madaktari kimelalamika kuwa ukosefu wa posho na...
That is the bitter truth.
Here is the most recent data from the IMF and extrapolation shows Kenya itazidi kuwa mbele ya Tanzania for the foreseeable future. This is by both GDP nominal and GDP Purchasing Power Parity terms.
Can any level-headed person explain this trend. MATAGA and the like...
President Uhuru Kenyatta during a previous meeting
TWITTER
Kenya has been ranked among the most improved African countries in the 2020 Ibrahim Index of African Governance (IIAG).
The ranking done by the Mo Ibrahim Foundation measures and monitors governance performance in African countries...
Hongera kwa wadau wote waliohusika kutafuta masoko....
The sale and export of avocado is the main income stream for the agricultural company. FILE PHOTO | NMG
Kenya’s avocado exports jumped 15 percent to 68,000 tonnes over the 12 months to October, fetching the country Sh14 billion.
Kenya...
Bishop, Rev Stephen Ng'anga who hosted the Deputy President William Ruto in Kenol Muranga county in October has died. According to the church leadership the Bishop died from Pneumonia.
The conditioned was triggered and worsened after the bishop inhaled tear gas fumes when the police were...
Jameni kwa mwendo huu sijui tutaibukia wapi maana kila nikifumba na kufumbua macho nakumbana na bonge la muundo mbinu unazinduliwa, imekuwa vigumu kufuatilia kipi kinajengwa wapi, nchi yote mambo yanatamalaki, sema vyombo vyetu vya habari vinatuangusha sana, hawakai waandike mazuri ya nchi, kila...
According to the Financial Times, China has transferred nearly $150 billion to governments and state-owned firms in Africa alone to secure commodity supplies and fund its global network of infrastructure projects, President Xi Jinping’s signature Belt and Road Initiative. (Reuters image)...
Joash Onyango mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya leo muda mfupi kabla ya mechi ya kimataifa aneondolewa kikosi cha timu yake ya taifa baada ya kugundulika kuwa na COVID 19 baada ya vipimo akiwa ametokea Tanzania ambapo anaichezea timu ya soka ya Simba.
Let us take time to remember those who died protecting the world from the tyrannical regime of Adolf Hitler
=====
IN MEMORY OF FALLEN SOLDIERS
Kenyan soldiers who died in the second world war were earlier today commemorated at the commonwealth war graves in Nairobi. However, some of the...
Kwa mtazamo wangu, pamoja na Godbless Lema na familia yake kupewa hifadhi ya kisiasa nchini Kenya, Lema na familia yake watakuwa salama zaidi iwapo wataishi nje ya region hii ya Afrika Mashariki na zaidi wakiwa Ulaya,Marekani au kwingineko licha ya ukweli kuwa hadhi ya ukimbizi aliopewa nchini...
Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na...
Kenya has been ranked as Africa’s leading tourist destination in 2020 by the World Travel Awards (WTA).
The results were announced virtually from England on Monday during the 27th WTA finals in an event that coincided with the Africa Winners Day.
Kenya emerged top for its tantalising cocktail...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.