Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
The execution of the Lanet/Nakuru International Airport project has begun following a groundbreaking ceremony held at the 81 Tank Battalion Barracks in Lanet. Speaking during the ceremony, Deputy Kenya Air Force Commander Brigadier John Omenda said that the military will provide necessary...
Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county.
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko...
Kenya ilikua imesitisha kukamilisha kipande kidogo kilichokua kimesalia cha kuunga hadi Uganda baada ya hao Waganda kutoonyesha "seriousness" kwenye hili la SGR, ila sasa wao wamesaka mkopo wenyewe na tayari wameanza mipango na mikakati ya ujenzi, kwa vile tulikua tumekamilisha asilimia kubwa...
Wanadodi,
Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu.
Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida...
Hali ya UMASIKINI nchini Kenya yatajwa kuzidi kuwa mbaya sana. Hiyo inapelekea kuwa ni miongoni mwa nchi 10 Afrika zenye kiwango kikubwa cha UMASIKINI uliyotopea. Mtu anaweza kujiuliza ni kwa nini hali UMASIKINI uliokita MIZIZI iko hivyo, ilhali nchi inajipambanua kuwa ni miongoni mwa nchi...
Jambo moja linalonipa shida kuliko hata kuibiwa kura ni hili la hawa wakenya jirani zetu, hela yao ipo na thamani kubwa sana sana kuliko za kwetu -- tatizo ni nini?
Na kila siku tunajilabu tuna utajiri uliotukuka, naikumbuka ile sentensi ya Mwalimu Nyerere. Watanzania Uchumi mnao...
Tufanye...
Lawyer Ahmednasir pays KSh 250,000 monthly for using electricity in his house
- The Grand Mullah, as he is famously known, clarified he does not own a factory at his home
He claimed he has not been able to understand why the electricity bill was so high
Ahmednasir said the cost of power in...
Ugandan dairy industry reels from Kenyan ban
SATURDAY DECEMBER 19 2020
Milk processing at a factory. The escalating trade dispute between Kenya and Uganda over milk exports, is just one of many facing all EAC partner states. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP
That Kenya is a lifeline for the...
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Gavana wa Nyamira, John Nyagarama(74) amefariki kwa #COVID19 Nairobi katika Hospital akipatiwa matibabu
Nyagarama alilazwa kwa wiki tatu ambapo baadae alihitaji Oksijeni na kuwekwa kwenye Uangalizi wa Hali ya Juu
=====
Nyamira Governor John Nyagarama has died at the Nairobi Hospital due to...
Kenya ranked top within the region in digital growth and demand, according to the latest Digital Intelligence Index payments firm Mastercard and the Fletcher School at Tufts University.
In the survey titled Digital Intelligence Index, Kenya is followed by Rwanda and Tanzania. Together, the...
Huku mtaani vijana wengi sana wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za bendera ya Kenya na Uganda kuliko za Tanzania.
Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ?
Wamekosa uzalendo au?
Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo...
Nimeangalia makala moja ya Africa Uncensored, inaonyesha deni la Kenya nimekua mara tatu zaidi ya Deni ambalo Mwai Kibaki aliacha.
Makala hiyo inaeleza kwamba Tangu mwaka 2013 mpaka 2020 Deni limekua kutoka KSH 1.8 Trillion Mpaka kufikia 6.7 Trillion mwaka 2020. huu ni ukuaji wa kasi ya mwendo...
Kenya imezungukwa na nchi nyingi
1. Somalia
2. South Sudan
3. Uganda
4. Tanzania
5. Rwanda
Kati ya nchi hizo ni nchi gani ambayo Wakenya wapo na Ujirani + Undugu mkubwa nayo?
Wakoloni hawajawahi kuondoka Kenya hata baada ya kupata Uhuru.
Wakoloni waliacha watu wao na mali zao Kenya kitu ambacho kinailazimisha Kenya kuvilinda kwa gharama yoyote wakati wote kwakutumia jeshi, sera, sheria na utamaduni.
Hii inawafanya viongozi wa Kenya wasiweze kukifanya kile...
Kila kunapokuwa na utata wa kidi[plomasia, Kenya always act like the bigger brother. Utapata wabongo humu wakiuona kuwa udhaifa ila Kenya inanikumbusha jinsi big brother mwenye busara anavyopuuza tantrums za ndugu zake wadogo. Yaani Kenya hatuoni haja ya kupigama na vinchi kama Tanzania...
Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani.
Nchi hiyo jirani wa Kenya, imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya na kuagiza wanadiplomasia wake wote walio Nairobi kurudi Mogadishu ndani ya siku...
Wiki iliyopita Somalia iliamua kufurusha Balozi wa Kenya nchini humo kwa madai kuwa Kenya ina interfere na siasa ya Somalia. Sasa kwa sababu Somalia ndio wamelianzisha basi sisi tunalipiza tu mapigo.
Sasa Kenya imealika President wa Somaliland kuja Kenya on a state visit. Hakuna nchi yoyote...
These are just some stereotypes, No hard Feelings, People talk what they think:):)
Sukuma
Better in Physical Works
Ushamba
Chaga
Big brains in business, school, Proffessions, etc
Alcoholics, Wazee wa bata sana
Pare
Ubahili
Kuria
Brave - Many are in millitary
Short Temper
Zaramo
Very...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.