Hii ni kwa mujibu wa mahojiano na Mkuu wa kikosi kazi cha kupambana na covid yaliyofanyiika leo na Citizen Tv jioni hii.
Priority ya kwanza ni health workers.
Priority ya pili ni wafanyakazi wanashughulika na makundi ya watu kama polisi, walimu etc.
Na Priority ya tatu ni watu wenye pre disposing conditions.
Sisi vipi? Mzee Magu anasemaje au bado msimamo ni huo huo
Priority ya kwanza ni health workers.
Priority ya pili ni wafanyakazi wanashughulika na makundi ya watu kama polisi, walimu etc.
Na Priority ya tatu ni watu wenye pre disposing conditions.
Sisi vipi? Mzee Magu anasemaje au bado msimamo ni huo huo