Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Maaskofu wa KKKT waliokutana jijini Arusha wamewaomba maaskofu kutoka Kenya kuishauri serikali yao iige mbinu za Tanzania ili iweze kudhibiti Corona na hatimaye kuitokomeza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
Hali ya Tz kwa sasa, Ukaguzi wa gari unafanyika hapa hapa Tanzania na sio kufanyikia kwenye nchi unayoagizia gari kama japan.
sheria mpya ni kwamba gari halikaguliwi kwenye nchi linapotoka, linakaguliwa likifika hapa tz.
Sasa mimi nataka gari ikaguliwe huko huko japan, sitaki gari niliyoagiza...
Mambo yamepamba moto kweli kweli ufanisi umeongezeka. Baada ya South Africa kuanza pitisha mizigo ya TZ sasa itafuatia Kenya, Msumbiji, Somalia n.k tuendelee kufanya kazi kwa style hii hii.
President Uhuru Kenyatta on Friday, January 22, unveiled a Ksh 3 trillion United Nations Industrial Development Organization (UNIDO) mechanism to help stimulate Kenya’s manufacturing sector.
The initiative dubbed Programme for Country Partnership (PCP) Starter Pack, is a model for accelerating...
Kenya recorded the highest internet penetration rate in Africa in the year 2020. This is according to a ranking by Internet World Stats (IWS), showing that 87.2 percent of the country’s population was connected to the internet.
Figures from the Communication Authority (CA) indicate that in...
Kenya beat Nigeria, South Africa, Egypt and Ghana in 2020 in attracting investment for its startups. This is according to a report by Startuplist Africa, a data-driven platform that provides insights to the African Startup Ecosystem. The report based its findings on publicly disclosed funding...
Iran has joined the list of foreign nations trying to tap into the abundance of opportunities in Africa’s tech space.
The Middle East country has built a rare tech hub named ‘Iran House of Innovation and Technology (IHIT)’ in Nairobi, Kenya’s capital. The hub has been described as the “first of...
The government of Kenya through the Kenya Urban Roads Authority (KURA) has begun the process of constructing two overpasses and a series of road interchanges linking Upper Hill to the Nairobi Central Business District (CBD).
PS. I am Tanzanian
Tanzanians may be the most racially insecure and racially ignorant black people on this planet.
a few days ago a prominent Tanzanian celebrity posted a picture a a black Kenyan lady.
The amount of disgusting colourist (racially) charged comment simply shameful.
Even...
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza "Ni nini kinafanya Kenya kukusanya mapato zaidi ya Tanzania?" Kwa muda nimekuwa mfuatiliaji wa Budget wa nchi za Jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI. Katika ufuatiliaji huo nimekutana na maswali ambayo nimekuwa siyapatii majibu. Kwa kutumia nchi mbili KENYA na...
Wamekubali kusubiri kwanza tudundulize hela za kutosha
Kenyan President Uhuru Kenyatta (Left) and Chinese President Xi Jinping prior to a bilateral meeting in Beijing, China in 2018.
PSCU
China has revealed that it is ready to suspend Kenya's debt nearly a week after the country received the...
Nchi chache za Afrika zina wanasayansi wanaoweza kusoma vinasaba (RNA) vya virusi vya corona. South Africa, Nigeria na Kenya ni baadhi ya nchi chache Africa ambazo zina maabara ya kisasa na wanasayansi waliobobea wanaoweza kudecode RNA ya virusi vya corona. Wanasayansi wa Kenya wamegundua kuwa...
Mchungaji mmoja wa kanisa la Akorino, kwa jina Gichina, kutoka Ndiaa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miaka 140, baada ya kukiri kuwabaka binti zake wawili na kila mmoja akashika mimba.
Akitoa hukumu hiyo Hakimu Anthony Mwicigi amesema hukumu dhidi ya mshukiwa...
Mwanamitindo bingwa duniani Naomi Campbell sasa ndiye balozi wa ‘Magical Kenya International’, Wizara ya Utalii imethibitisha.
Makubaliano ya kuwa balozi yamefanikishwa na Mhe. Waziri wa Utalii Najib Balala leo jijini Mombasa.
Kenya inatazamia kujinadi kama sehemu na nchi bora zaidi ya kutalii...
Hivi inawezekana vipi Rais na Makamu hamuelewani lakini mpo wote tu madarakani?
Mimi sio Mtaalamu wa siasa lakini sioni kama kuna mwisho mwema hapa kwenye hili vuguvugu la Uhuru vs Ruto. Vijembe vinazidi kushika kasi kuelekea uchaguzi 2020. Uhuru anaulizwa ni nini kinamshinda kumtimua Ruto...
Jamani sven kasema lini kwenye interview haya maneno? Nimeamini utopolo wako vizuri kwenye propaganda ila uongozi wa sasa kama mazezeta hivi ..Chukueni hatua kwa huyu blogger haraka sana
First ilkuw a page ya kikenya inaitwa african sports today wao walisema tu remarks zake hazikuupendeza...
Electric taxis — a welcome drop in Nairobi's pool of emissions
An electric taxi can travel 150 kilometers on full charge. As the Kenyan capital struggles with air pollution, electric taxis are an opportunity for cleaner transport and also a way to make money.
Launched in Kenya in August 2018...
The World Bank predicts that Kenya’s economy will expand by 6.9% in 2021, the fastest growth rate in Africa, and a more ambitious prediction than the government’s estimate of 6.4% economic growth in 2021. Continued support from the international lender in terms of public health interventions and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.