kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Sinister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya crowned world's leading tourism destination

    The award comes barely three weeks after Kenya scooped top continental awards. In Summary •This is the 7th time in the past 8 years and 6th time in a row that Kenya has won the prestigious award at the annual global awards. •This is after having won the award in 2013, 2015, 2016, 2017, 2018...
  2. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Somalia maritime dispute

  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapunguza idadi ya wageni wanaohudhuria harusi kutokana na corona

    Chakula kitatolewa tu kwa wazazi na ndugu wa maharusiImage caption: Chakula kitatolewa tu kwa wazazi na ndugu wa maharusi Idadi ya wageni watakaoruhusiwa kuhudhuria harusi nchini Kenya imepunguzwa hadi kufikia watu 50 pekee kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona nchini humo...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Kenyatta aacha kutumia Twitter kutokana na matusi ya wachangiaji

    Rais Uhuru Kenyatta ambaye anatajwa kuwa mkenya mwenye ‘followers’ wengi katika mtandao wa twitter ameifunga akaunti yake ya twitter kwa zaidi ya mwaka Amesema taarifa za nchi zitashughulikiwa na Akaunti Rasmi za Ikulu. Amesema amechana na mitandao kutokana na matusi ya wachangiaji Amesema ‘ni...
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya wazuiwa kuingia Falme za Kiarabu (UAE)

    Wakuu nimekutana na hii kitu, majirani zenu na watani wa jadi wamezuiwa kuingia Dubai (UAE) Africa pia zimo Libya, Tunisia na Somalia. ===== The United Arab Emirates has stopped issuing new visas to citizens of 13 mostly Muslim-majority countries, including Iran, Syria and Somalia...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya to leverage on alternative building technology to bridge housing deficit

    Kenya plans to leverage on alternative building technology in order to bridge the housing deficit, a government official said on Monday. Gordon Kihalangwa, principal secretary, State Department of Public Works told journalists in Nairobi that use of technology such as expanded polystyrene (EPS)...
  7. Bowie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya is in financial distress, government admits

    Low revenue collection, a ballooning debt and the economic challenges of Covid-19 have plunged Kenya into a cash crunch, with all indications clear that the government is struggling. On Monday, Interior CS Fred Matiang'a hinted at a looming pay cut for civil servants in a desperate move to...
  8. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

    Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS. Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga...
  9. Naton Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapeleka maombi IMF ya msaada wa $2.3B kusaidia kuendesha nchi

    Nchi imefilisika ===== Kenya Seeks $2.3 Billion Loan From IMF to Boost Recovery By David Malingha November 22, 2020, 8:59 PM EST Updated on November 23, 2020, 5:47 AM EST State also seeks $1 billion to $1.5 billion from World Bank Finance chief says Kenya yet to decide on G-20 debt...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

    Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi. Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa...
  11. Midimay

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SAP za 1980s zaja Kenya. Ni masharti ya IMF

    Hali ya jirani yetu wa Kaskazini ni mbaya sana. Wanaona aibu kusema lakini hali ni mbaya. Wanapenda kutumia propaganda na kupika takwimu kuwa wako vizuri. Kuthibitisha hilo, gazeti lao wenyewe la Daily Nation limeandika article ifuatayo: ====== The government is in urgent need of cash for its...
  12. Bowie

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Somalia Yapiga Marufukuu Miruungi Kutoka Kenya

    Hali ya wakulima Miraa nchini Kenya imekuwa ngumu sana baada serikali ya Somalia kupiga marufuku miraa kutoka Kenya. Kwasasa Somalia imeruhusu miraa kutoka Ethiopia kuingia nchini humo. Zao la miraa hupatia Kenya mamilioni fedha za kigeni. Marufuku hii imefuata baada ya serikali ya Kenya kupiga...
  13. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Is Turkana part of Kenya!?

    Maisha ya huko Turkana ni zaidi ya maisha ya kuzimu. Katika karne hii ya sayansi na technolojia watu wanasafirisha watoto kwa kutumia punda. Turkana ni nchi ndani ya nchi, wapo na jeshi lao. Kila mtu anamilki bunduki. Tangu Kenyatta aingie madarakani sijamsikia akitembelea maeneo yale. Yesu...
  14. May Day

    JamiiForums Tanzania Wachekeshaji wa Kenya, not to that extent

    Kwa wenye changamoto ya bando na muda mwaweza kuanzia 2:48.
  15. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How rich is Kenya?

  16. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DMU za zamani Kenya kutoza nauli mara 4 ya Modern BRT ya Tanzania

    Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
  17. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Anayejua biashara ya kununua simu used toka Kenya?

    Habari wadau. Mtu anayejua wapi unaweza nunua simu used kwa bei nafuu nje ya nchi katika huu ukanda wetu wa SADC na kuzi import hapa Tz. Asanteni.
  18. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania tulikosea wapi na Kenya walipatia wapi?

    Tanzania na Kenya zilipata uhuru mapema miaka ya 1960s. Leo zinakaribia miaka 60 tangu zipate uhuru. Nchi hizi mbili ni kama makaka wawili waliozaliwa tumbo moja ila kila mmoja kachukuwa njia tafauti katika kutafuta maisha. Na kwa mtazamo wa haraka Tanzania imefeli vibaya sana katika miaka...
  19. Cannabis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hali yazidi kuwa ngumu Kenya dhidi ya Corona, Wabunge watatu watoa machozi baada ya kusikia shida madaktari wanazopitia

    Wabunge watatu leo nchini Kenya walibubujikwa na machozi baada ya Mtendaji Mkuu wa chama cha Madaktari Chibanzi Mwachonda kusimulia madhila yaliyowakuta baadhi ya madaktari waliopoteza uhai wao wakipambana na ugonjwa wa COVID-19. Chama hicho cha madaktari kimelalamika kuwa ukosefu wa posho na...
  20. Cicero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Tanzania is NOT catching up to Kenya

    That is the bitter truth. Here is the most recent data from the IMF and extrapolation shows Kenya itazidi kuwa mbele ya Tanzania for the foreseeable future. This is by both GDP nominal and GDP Purchasing Power Parity terms. Can any level-headed person explain this trend. MATAGA and the like...
Back
Top Bottom