johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,776
Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dr. John Simbachawene amewataka Watanzania wanaosafiri kwenda nchini humo kuhakikisha wanafuata masharti ya nchi hiyo kwa wageni.
Masharti hayo ni pamoja na kupima Corona katika muda usiozidi saa 72 na kuwa na vyeti vya uthibitisho.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Masharti hayo ni pamoja na kupima Corona katika muda usiozidi saa 72 na kuwa na vyeti vya uthibitisho.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!