kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. M

    Kwa hesabu za haraka kama Magufuli akiamua kuwabeba wageni, basi CCM asilia wajiandae kutafuta kazi zingine

    Ukijaribu kufanya simple caluculation kwa kuangalia idadi ya wapinzani ambao wamekimbilia CCM kwa imani kuwa wanaweza kuendelea kupata ulaji ndani ya serikali ya awamu ya tano kwa kuwa kule upinzani hawana uhakika nako, utagundua kuwa wamekuwa wengi na huenda wakazidi kuongezeka kadiri siku...
  2. Kaniacha baada ya kukosa kazi

    Dah! Kama utani hivi, jana kani-text "Vipi kuhusu interview uliyoenda kufanya?" nikamjibu "hapana sikufanikiwa", akanitakia usiku mwema wakati si kawaida yake. Asubuhi kanichunia, nikamtafuta kajibu text moja tu na kunipotezea. Sasa hapokei simu wala hajibu text naona ndio nishaachwa mimi...
  3. Ili RPC afukuzwe kazi au ahamishiwe Makao Makuu inahitajika matukio mangapi ya kihalifu yatokee kwenye Mkoa wake?

    Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee? Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani? Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi...
  4. Mjue tapeli aliyewatapeli graduates wengi kwa kuwahadaa nafasi za kazi NMB

    Jamaa Facebook anajiita Venance Mbike akitaka kukutapeli anakuanzia mbali kidogo kwenye kipengele cha kukuomba urafiki. Kisha anajifanya mlisoma wote aidha chuo kikuu au sekondari lakini yeye alikutangulia kidogo but anakufahamu sana. Kama unapenda siasa atakupeleka huko, kama u mpenzi wa mpira...
  5. T

    Baada ya Naibu Waziri wa Zimbabwe kumdhihaki Rais Magufuli, ZANU PF ya Zimbabwe yaiomba radhi CCM na Watanzania

    Chama tawala Zimbabwe cha ZANU PF kimeiomba radhi CCM kutokana na matamshi ya kashfa ya aliekua naibu waziri wa habari wa nchi hiyo aliyoyaandika kwenye mtandao wa twitter mwezi uliopita. Naibu waziri huyo Bwana Mutodi aliandika kwenye mtandao wake wa twitter kua Magufuri kwa maombi bila zuio...
  6. Kwa mwenye kuhitaji dereva mwenye sifa nzuri, napatikana

    Habari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari. Kwa sasa fani yangu ni udereva ambao nimeanza tokea 2014, na nimefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu, kitu ambacho...
  7. M

    Hivi kazi ya Reservation kwenye mbuga za wanyama zinafanyika kwenye maeneo gani?

    Naomba kufahamu mtu akiwa anafanya upande wa Reservation ndani ya mbuga za wanyama anafanya upande wa Serikalini au Ni kwenye hotel za kitalii tu zilizoko ndani ya mbuga za wanyama? Majibu tafadhali
  8. T

    Manyanyaso ya awamu hii yalinifanya nikaacha kazi. Wenzangu vipi mnaendeleaje na utumishi wa Umma? Mie siwapi kura CCM

    Na kilichoniumiza zaidi ni pale Mkuchika aliposaini kurekebisha Kanuni za Utumishi wa Umma - Januari 2018 ile iliyofuta Kanuni ya 107(2) iliyofuta baadhi ya haki muhimu za watumishi wa Umma. Ukweli kura siwapigii CCM! Labda wajirekebishe sana kwa muda huu mfupi uliobakia. Nyie wenzangu...
  9. Content Writer at NileMart Group Company Ltd

    Company: NileMart Group Company Ltd Location: Tanzania State: Zanzibar Jobs Job type: Full-Time Job category: IT/Telecom Jobs in Tanzania NileMart Group Company Ltd The ideal candidates possesses a passion for writing and an innovative ability to create successful marketing campaigns and aid in...
  10. Trafiki wanafanya kazi kubwa, wapongezwe

    Katika hali isiyo ya kawaida na ambayo haijawa kutokea toka tupate Uhuru Tanganyika na baadae Tanzania , Polisi wa Usalama Barabarani toka mwaka 2015 wamefanya kazi zao kwa weledi wa hali ya juu. Mwaka 2017 Mpwendwa Wetu Rais JPM aliona mateso yao na kuruhusu kuchukua shekheli ya ku-futia...
  11. M

    Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  12. Nafasi za Kazi Tanganyika Instant Coffee PLC

    1. POSITION: PROCUREMENT OFFICER Tanganyika Instant Coffee PLC Duties and Responsibilities Responsible and or reports directly to Procurement & Logistic Manager Responsible for determining the item to be stocked: programming stock, control and storage system related to procedures. To give...
  13. Fursa ya kazi ya kuchuma matunda Uingereza kiangazi cha 2020

    Berry farm vacancies 2020 Thank you for showing an interest in working on one of our fruit farms this summer. As a result of the business impact of COVID-19, we know many people are looking for work and we have numerous seasonal vacancies available on our farms up and down the country. From...
  14. R

    Graphic Designer Natafuta Kazi

    Kwa mwenye uhitaji wa Graphic Designer, natafuta kazi: Ninao uzoefu wa kutosha kwenye Designing na Printing katikaViwanda. Ninauzoefu wa miaka kumi (10) katika Designing na Printing, nikitumia Programs za:- Adobe Photoshop, Illustrator, InDesign, Coral Draw, Quick Express na Microsoft Office...
  15. Marekani: Afisa wa polisi aliyefutwa kazi Derek Chauvin ashitakiwa kwa mauaji ya George Floyd. Mkewe ataka talaka

    Afisa wa polisi aliyefutwa kazi Minneapolis Derek Chauvin amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya mauaji juu ya kifo cha George Floyd, mwendesha mashitaka wa kaunti ya Hennepin Mike Freeman alisema. Afisa huyo wa zamani alionekana katika video akiikandamiza kwa goti lake shingo ya Floyd kwa...
  16. Kutana na Mabior Garang De Mabior, Waziri wa Maji wa Sudani Kusini, Waziri "msela" aliyefukuzwa kikaoni sababu ya mavazi

    Huyu bwana mdogo ni mtoto wa Garang,Juzi kati amefukuzwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri la Sudan Kusini baada ya kuingia akiwa amevaa swag zisizo na hadhi ya Uwaziri.Rais akamtimua toka kwenye kikao,dogo alivyotoka nje akawambia waandishi kuwa "badala Rais azingatie ukosefu wa mafuta Sudan...
  17. Marekani tena kazi ipo

    Taifa la Marekani limetoa taarifa ifuatayo, kumbuka kaimu balozi wa Marekani aliitwa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa kimataifa kuhojiwa, one does not have to be a genius to understand this.
  18. L

    Kama taarifa ya janga la korona haina umuhimu Tanzania kwanini vyombo vyetu vya habari viendelee kutoa taarifa za mataifa mengine?

    Baadhi ya vyombo vya habari kama ITV na UTV hapa nchini kila baada ya taarifa ya habari hutoa summary ya mwenendo wa maambukizi ya korona duniani. Je kuna faida au madhara gani kwa wananchi kusikia taarifa ya mwenendo wa Korona kwa mataifa ya nje tu bila kujua kinachoendelea nchini? Je...
  19. Hakuna namna tuwe wavumilivu tuchape kazi

    Nimetafakali sana hali ya maisha jinsi ilivyo. Nimepata jibu hapa ni kuchapa kazi tu. Kilimo,kuingia kwenye uvuvi,kuchimba madini na biashara. Maana kwa hii serikali ambayo imedhibiti wizi na rushwa huwezi kutoboa kwa shortcut.
  20. Wanawake mnaofanya Kazi katika 'Madawati ya Jinsia' msipokuwa makini na aina ya 'Maswali' yenu kwa Wanaume mtakuja 'Kupigwa' siku moja

    Viswali swali vya Kipuuzi kama hivi msivyovibadilisha Watu wengine kama akina GENTAMYCINE tusio na Uvumilivu mtakuja Kupigwa! 1. Mkeo umefanya naye Mapenzi lini? 2. Huwa una tabia ya Kumkuna hasa Mkeo? 3. Kwa kawaida Mkeo huwa unampiga Bao ngapi? 4. Mara yako ya mwisho Kumkatia Mkeo Viuno...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…