Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee?
Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?
Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?
Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?
Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?