Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,120
Jamaa Facebook anajiita Venance Mbike akitaka kukutapeli anakuanzia mbali kidogo kwenye kipengele cha kukuomba urafiki. Kisha anajifanya mlisoma wote aidha chuo kikuu au sekondari lakini yeye alikutangulia kidogo but anakufahamu sana.
Kama unapenda siasa atakupeleka huko, kama u mpenzi wa mpira hatakuwa nyuma pia.
Atakwambia kuwa yeye ni muajiriwa NMB mkoa fulani mbali na wewe. Sasa kuna siku atakwambia kuwa job wametangaza nafasi nyingi kama una ndugu hana kazi aombe.
Hapo kwenye mchakato wa kuomba kazi ndipo utakapoibiwa. Atakupiga ya certify vyeti, atakupiga ya hongo kwa meneja wa kanda au tawi, atakupiga ya vikorombwezo vingi mdogomdogo.
Kawapiga wengi.
Anatumia picha hii Facebook sijui kaitoa wapi. Kuna picha nyingine inafanana na hii kimavazi pia anaitumia kuwaibia vijana wenye njaa na ajira.
Mimi hajaniibia niliuruka mtego wake.
Vijana tuwe makini, ni aibu msomi kutepeliwa kirahisi.
Kama unapenda siasa atakupeleka huko, kama u mpenzi wa mpira hatakuwa nyuma pia.
Atakwambia kuwa yeye ni muajiriwa NMB mkoa fulani mbali na wewe. Sasa kuna siku atakwambia kuwa job wametangaza nafasi nyingi kama una ndugu hana kazi aombe.
Hapo kwenye mchakato wa kuomba kazi ndipo utakapoibiwa. Atakupiga ya certify vyeti, atakupiga ya hongo kwa meneja wa kanda au tawi, atakupiga ya vikorombwezo vingi mdogomdogo.
Kawapiga wengi.
Anatumia picha hii Facebook sijui kaitoa wapi. Kuna picha nyingine inafanana na hii kimavazi pia anaitumia kuwaibia vijana wenye njaa na ajira.
Mimi hajaniibia niliuruka mtego wake.
Vijana tuwe makini, ni aibu msomi kutepeliwa kirahisi.