Idugunde JF-Expert Member May 21, 2020 6,273 6,637 May 28, 2020 #1 Nimetafakali sana hali ya maisha jinsi ilivyo. Nimepata jibu hapa ni kuchapa kazi tu. Kilimo,kuingia kwenye uvuvi,kuchimba madini na biashara. Maana kwa hii serikali ambayo imedhibiti wizi na rushwa huwezi kutoboa kwa shortcut.
Nimetafakali sana hali ya maisha jinsi ilivyo. Nimepata jibu hapa ni kuchapa kazi tu. Kilimo,kuingia kwenye uvuvi,kuchimba madini na biashara. Maana kwa hii serikali ambayo imedhibiti wizi na rushwa huwezi kutoboa kwa shortcut.
Pain killer JF-Expert Member Aug 15, 2017 14,162 21,295 May 28, 2020 #2 Kwani muda wote ulikuwa hujajua tu