Habari wakuu..!
Natafuta kazi ya uandishi/uhariri wa kazi mbalimbali za maandishi kwa lugha ya Kiswahili na kiingereza kama vile makala, hotuba n.k
Kwa yeyote mwenye mchongo tafadhali tuwasiliane.
-Nina utaalam na masuala ya computer (Word, PowerPoint, SPSS na Excel including VBA n.k)
-Ni...