MAISHA:
Neno hili MAISHA ni mfumo wa namna binadamu duniani, atende kama alivyo agana na Muumba wake Mungu.
Lakini kuishi kivingine, hiyo namna nyingine sio maisha. Huwenda tukaiita Unyama, Upuuzi n.k.
Maisha safi, ni vitu vitatu KUVISHIKA. Navyo ni~
1) Uaminifu,
2) Heshimu na
3) Utii...