The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.