Mnaotaka Katiba Mpya nawapa hoja

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,502
2,046
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.

Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.

Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Kumbe binadamu unaweza kutembea na fikra zilizokufa?
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Mwanaccm toka lini akapenda harakati za katiba mpya??

Mlikataa hakuna corona, mkakataa Chanjo leo yako wapi?? Na katiba Mpya mtakubali tu.

Huu moto hatupoi.
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Primitive thinking..
 
Sijui una umri gani lkn nadhani ukoo wenu mna laana si bure yani we mbuzi huoni umuhimu wa katiba mpya kwa hali tuliyo nayo kwl!!!!? Unaelewa kbs watz ni wanyonge kama alivowaita Magufuli yani hawawezi kujijitea,, sasa wanatokea watu wa kuona mbali wanadai katiba ni mbovu we unakinzana nao.

Ebu fikiria jamii za kusini na hata kanda ya ziwa(sukuma) wanajua nini juu ya Rais kuwa kila kitu hapa nchini( mungu mtu) hapana shaka jamii kama hizi lazima wawepo watu ambao watatenda kwa ajili yao hasa kuhusu mambo ambayo kwao wala hawajui chochote zaidi ya kula,kulala na kusubiri kufa.Na ccm ndio furaha yao kuwa na watu short sighted kama hao.
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu san
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Haya ndiyo madhara ya kuvutia bhange chooni
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Mwambie shangazi yako na wajomba zako kuwa kwa sasa watanzania wameshatoka kwenye zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama.
 
Sijui una umri gani lkn nadhani ukoo wenu mna laana si bure yani we mbuzi huoni umuhimu wa katiba mpya kwa hali tuliyo nayo kwl!!!!? Unaelewa kbs watz ni wanyonge kama alivowaita Magufuli yani hawawezi kujijitea,, sasa wanatokea watu wa kuona mbali wanadai katiba ni mbovu we unakinzana nao,,,Ebu fikiria jamii za kusini na hata kanda ya ziwa(sukuma) wanajua nini juu ya Rais kuwa kila kitu hapa nchini( mungu mtu) hapana shaka jamii kama hizi lazima wawepo watu ambao watatenda kwa ajili yao hasa kuhusu mambo ambayo kwao wala hawajui chochote zaidi ya kula,kulala na kusubiri kufa.Na ccm ndio furaha yao kuwa na watu short sighted kama hao.
Ubarikiwe sana kwa comment yenye uweledi.
 
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
Umevimbiwa na manumbu ya kwenu izendalyanyiko
 
Mwanaccm toka lini akapenda harakati za katiba mpya??

Mlikataa hakuna corona, mkakataa Chanjo leo yako wapi?? Na katiba Mpya mtakubali tu.

Huu moto hatupoi.
Mkoloni wetu muingereza katiba yake ina miaka 120+ na sisi katiba yetu hii tunataka ifike miaka 150,chadomo nyie fanyeni ugaidi tu
 
Mkoloni wetu muingereza katiba yake ina miaka 120+ na sisi katiba yetu hii tunataka ifike miaka 150,chadomo nyie fanyeni ugaidi tu
Inaweza ikawa na miaka hata 500 but inakidhi mahitaji ya msingi kwa kiasi gani kwa mfano haki,utu ,uwajibikaji na mamlaka...wenzetu haya mambo waliyaona mapema sana na ndio maana tawala zao zinaheshimu katiba kwa sababu mamlaka yao yana mipaka stahiki
 
Uongo mtupu, mkoloni wetu Uingereza hana katiba moja iliyoandikiwa na kuwekwa pamoja.
Mkoloni wetu muingereza katiba yake ina miaka 120+ na sisi katiba yetu hii tunataka ifike miaka 150,chadomo nyie fanyeni ugaidi tu
 
Siku ukielewa kila hatua yako hapa duniani huwezi kuitenga na siasa utajiona mpumbavu sana kwa uzi huu.
Katiba mpya ni dai linalotokana na utashi wa kisiasa kwa kiwango kikubwa lakini pia ni zao la mwamko mkubwa wa wananchi kuchoshwa na namna wanavyoongozwa.
Na mara nyingi kuchoshwa huku lazima kutokane na kukata tamaa ya maisha kwa walio wengi lakini pia kupata mwamko mkubwa wa elimu ya uraia.
Bahati mbaya ni kwamba wapigania katiba wa sasa wanataka katiba iwasaidie kwenye mapambano ya kisiasa, ndio maana hii ajenda ni ngumu sana.
 
Inaweza ikawa na miaka hata 500 but inakidhi mahitaji ya msingi kwa kiasi gani kwa mfano haki,utu ,uwajibikaji na mamlaka...wenzetu haya mambo waliyaona mapema sana na ndio maana tawala zao zinaheshimu katiba kwa sababu mamlaka yao yana mipaka stahiki
Ya kwetu Ina kidhi yote hayo na ndio maana hatuna mpango na kitu mnachoita katiba mpya
 
Back
Top Bottom