Hivi mvua kunyesha ni muujiza, hao wenye muujiza ili tuone muujiza waiombe nchi, barabara zote ambazo hazina lami tumka tukute zina lami bila ushiriki wa mtu kujenga.Hivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Inanyesha wapi?Mvua tayari imeanza kunyesha, maombi ya Nini tena?
Kipimo cha kupima dini sahihi sio miujiza bali itikadi ya dini husika nb hata wachawi pia wanafanya mambo yasiyo ya kawaida(miujiza)Miujiza anatenda Mungu acha uzembe
Zaburi :14:1Maombi kwa Mungu hayasaidii chochote!
kumuomba Mungu ni kujilisha upepo.
unaomba asiyekuwepo?
Hahahaha yule mshamba aliidharau barakoa ikamla kichwa angekua anatufokea tu saa hii.Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Wewe ukiamini nadhani inatosha.Samia mwenyewe hataki hayo maombi,tangia apate madaraka sijawai kusikia anatamka neno Mungu au mtume mwamadi, Yeye anaamini mzungu kutatua matatizo yetu,na kupata msaada,hata salamu anasema kazi iendelee,tutapigwa sana ukame maana hata Rais wetu aamini uwepo wa Mungu
Mungu huangalia kiongozi kwanza, ndio maana ktk biblical kiongozi alipokuwa akikosea Taifa zima linaadhibiwaWewe ukiamini nadhani inatosha.
Ni kweli hata mimi nakubaliana na wewe huyo mtu lazima awe mpumbavu kwasababu katumia organ (moyo) isiyo sahihiZaburi :14:1
Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu.” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema!
Nimeipenda hii commentHivi mvua kunyesha ni muujiza, hao wenye muujiza ili tuone muujiza waiombe nchi, barabara zote ambazo hazina lami tumka tukute zina lami bila ushiriki wa mtu kujenga.
Ila kuomba kitu ambacho kinatokea kikitokea ni kawaida tu.
Kweli kabisa, lakini hapa nlikuwa nampa tu maelezo mepesi maana alisema mtume hakutenda miujiza ndio nikampatia jibu hiloKipimo cha kupima dini sahihi sio miujiza bali itikadi ya dini husika nb hata wachawi pia wanafanya mambo yasiyo ya kawaida(miujiza)
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Kwani siku anakula kiapo alikuwa kashika kitabu gani?Kuamini kuwa Mungu yupo inahitaji awe kila siku anasema tumtangulize Mungu mbele ndio utafaurahi sio?Samia mwenyewe hataki hayo maombi,tangia apate madaraka sijawai kusikia anatamka neno Mungu au mtume mwamadi, Yeye anaamini mzungu kutatua matatizo yetu,na kupata msaada,hata salamu anasema kazi iendelee,tutapigwa sana ukame maana hata Rais wetu aamini uwepo wa Mungu
Sio Waislamu tu acha uboya, hata babu zako kule kijijini waliishi na mila za kuomba mvua, acha ujuaji na chukiHivi waisilamu wanaweza kuomba hadi muujiza ukatokea?
mtume wao aliwahi kufanya muujiza gani?
Waache unafiki tawi la CCM kama wana nguvu waombe mvua dodoma kipindi cha kiangazi. Kama kwao mtume jangwani aliishi watashindwa vipi kuishi bila mvua wafuasi.Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Its called science..biologia hiyo.Unadhani baba yako na mama yako na walipofanya mapenzi ndo wewe ukatoka kimiujiza?