PUTIN ASIFIA UHUSIANO WA KARIBU WA URUSI, CHINA
Rais wa Urusi, Vladmir Putin, leo ameyasifu mahusiano ya karibu ya nchi yake na China, katika mkutano na mwenzake wa China, Xi Jinping, kabla ya kufunguliwa kwa Michezo ya Olimpiki ya majira ya Baridi mjini Beijing.
Viongozi hao wawili...