Jamaa wa karibu sana na Putin aibuka kwenye TV na manundu usoni na hataki kusema nini kimemsibu

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,724
48,542
Ni dhahiri kachezea kichapo, ngumi za kwenye uso, ila alipohojiwa nani kampiga akagoma kutoa jibu.

Kwa hasira alizo nazo Putin sasa hivi inabidi kukaa mbali naye, hata kama una urafiki naye wa karibu kiasi gani, utachezea za uso muda wowote...

Ukraine inamuuma kichwa sana kwa kweli.

=============

Chief Russian propagandist Vladimir Soloviev appeared on air with bruises all over his face. He sound sad and refused to explain where he got bruises. "not your damn deal!" He said to fellow Russian propagandists. You versions, guys?

FcHPZCSWQAAKpxj


 
wahudumu wa putin wanaweka mbali vifaa vyote vyenye ncha kali. au vitu vyenye mwonekano kama wa silaha.
kwani wanahofia Putin anaweza kuvitumia kudhuru watu wanao pishana nae njiani.

wanasema maranyingine hungata watu na meno yake yalio imara.
pia hua hapendi kuangaliwa usoni mara kwa mara.

sambamba na hilo pia putin huwa hafurahii kuona watu wakiwa wananongonezana huku wanamwangalia kwa jicho la wizi.

kwani akikuona anaweza kukurukia usoni na kukukwangua na makucha au vidole vyake vilivyo jengeka kimazoezi.
 
wahudumu wa putin wanaweka mbali vifaa vyote vyenye ncha kali. au vitu vyenye mwonekano kama wa silaha.
kwani wanahofia Putin anaweza kuvitumia kudhuru watu wanao pishana nae njiani.

wanasema maranyingine hungata watu na meno yake yalio imara.
pia hua hapendi kuangaliwa usoni mara kwa mara.

sambamba na hilo pia putin huwa hafurahii kuona watu wakiwa wananongonezana huku wanamwangalia kwa jicho la wizi.

kwani akikuona anaweza kukurukia usoni na kukukwangua na makucha au vidole vyake vilivyo jengeka kimazoezi.
Wayao,wangindo, wamwera, wamatumbwi, wafipa, wasafa, wanyantuzu na wamakonde washatupa majini yao kwa Putin dictator
 
wahudumu wa putin wanaweka mbali vifaa vyote vyenye ncha kali. au vitu vyenye mwonekano kama wa silaha.
kwani wanahofia Putin anaweza kuvitumia kudhuru watu wanao pishana nae njiani.

wanasema maranyingine hungata watu na meno yake yalio imara.
pia hua hapendi kuangaliwa usoni mara kwa mara.

sambamba na hilo pia putin huwa hafurahii kuona watu wakiwa wananongonezana huku wanamwangalia kwa jicho la wizi.

kwani akikuona anaweza kukurukia usoni na kukukwangua na makucha au vidole vyake vilivyo jengeka kimazoezi.
:D :D
 
wahudumu wa putin wanaweka mbali vifaa vyote vyenye ncha kali. au vitu vyenye mwonekano kama wa silaha.
kwani wanahofia Putin anaweza kuvitumia kudhuru watu wanao pishana nae njiani.

wanasema maranyingine hungata watu na meno yake yalio imara.
pia hua hapendi kuangaliwa usoni mara kwa mara.

sambamba na hilo pia putin huwa hafurahii kuona watu wakiwa wananongonezana huku wanamwangalia kwa jicho la wizi.

kwani akikuona anaweza kukurukia usoni na kukukwangua na makucha au vidole vyake vilivyo jengeka kimazoezi.
Yamemkuta bwana Putingo....ayakoge tu.
 
Ni dhahiri kachezea kichapo, ngumi za kwenye uso, ila alipohojiwa nani kampiga akagoma kutoa jibu.

Kwa hasira alizo nazo Putin sasa hivi inabidi kukaa mbali naye, hata kama una urafiki naye wa karibu kiasi gani, utachezea za uso muda wowote...

Ukraine inamuuma kichwa sana kwa kweli.

=============

Chief Russian propagandist Vladimir Soloviev appeared on air with bruises all over his face. He sound sad and refused to explain where he got bruises. "not your damn deal!" He said to fellow Russian propagandists. You versions, guys?

FcHPZCSWQAAKpxj



Hahahaaa
 
Back
Top Bottom