Mimi ni Mfanyakazi wa Kampuni ya ulinzi inayoitwa G4S, Serikali ilitangaza kuwa kima cha chini ni 299k na ukijumulisha na overtime na sikukuu inatakiwa kiwe kuanzia 489k - 520k kwa normal guard lakini sasa tumeingiziwa mshahara wa mwezi Januari 2026 hata hatuelewi.
Tumewekewa chini ya 480k na...
Anonymous
Thread
kampunikampuni ya ulinzi
mambo
maslahi
maslahi ya wafanyakazi
sawa
ulinzi
uongozi
wafanyakazi
Madereva kadhaa wa Bolt walifanya maandamano hadi makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo Kinondoni, Dar es Salaam, siku ya Jumatatu, Februari 2, 2026, kupinga tozo kubwa na ongezeko la punguzo kwa wateja.
Madereva hao walifika nje ya ofisi hizo majira ya saa 4:00 asubuhi, lakini walitawanywa na...
Mimi ni Mkazi wa Zanzibar katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Wilaya ya Mjini.
Kero yangu ni kwa Shirika la umeme Zanzibar (ZECO).
Wamekuwa na muendelezo wa kukata umeme mara kwa mara maeneo ya Kwahani, ikizingatiwa sehemu hiyo kuna Kituo cha Afya, Ziwani Police Health Center kinachotoa Huduma za...
Anonymous (9bb1)
Thread
dhuluma
kampuni
kazi
kero
kero ya umeme
sheria
shirika
shirika la umeme
stahiki
umeme
umeme zanzibar
unyanyasaji
zanzibar
Leo katika pitapita zangu Tiktok nimekuta advertisement ya magari ya umeme ya AION SUV kutoka GAC
Actually najua naweza kuoata information Google kama nikitaka lakini nimeona pia nije kushare na humu
Hii kampuni ofisi zao zipo wapi hapa Tanzania, I know it must be Dar but where specifically...
Kampuni ya airtel sio kampuni ya kisiasa tunajua kilichotokea ni shinikizo na hii haifanyi kampuni imuunge mkono bali amejiongezea kesi madaraka yanaisha haya mtaona airtel ikimfungulia kesi hii baadae.
Washauri wa samia ni akina kingwendu kila kitu ni sifuri wanachochea moto zaidi tunaongozwa...
Januari 16, 2026
WASHINGTON, D.C. — Ikikabiliwa na uangalizi wa kimataifa kufuatia matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025 ulioharibu sifa yake, Serikali ya Rais Samia imezindua operesheni kabambe ya kujenga ushawishi nchini Marekani. Tanzania imekodi kampuni inayoongozwa na Mbunge...
Habari mjasiriamali,
Kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unategemea kuanzisha Kampuni siku za usoni hapa nimekuandalia list ya taarifa 9 Unazoweza kuzibadilisha baada ya Kusajili Kampuni yako.
1. Mtaji wa Kampuni
Mfano ulisajili Kampuni ukaweka share capital 10M badae mtaji ukakua unaweza ku...
Habari mjasiriamali,
Kwema thread iliyopota niliongelea namna ya kujisajili Brela, kwenye thread hii nitaelezea documents 6 unazohitaji ili Kuisajili Kampuni Yako TRA baada ya kumalizana na BRELA.
1. Copy ya TIN certificates za directors
Utatakiwa kuwasilisha printed copies za TIN directors...
Kampuni ya Sea bus express inayofanya route ya Mwanza to Tabora, wanapakia abiria wa kwenda Mbeya badala ya kuwafaulishia Nzega ili wapite njia ya Dodoma Iringa kama walivyokubaliana wao wanawafaulishia Tabora na kupitia njia ya Chunya ambayo ni Barbara ya vumbi.
Nauli ya kutoka Mwanza hadi...
Habari mjasiriamali, najua pengine hujawahi kusikia kuhusu beneficial ownership.
Kwa kifupi Beneficial Ownership ni taarifa za umiliki wa Kampuni ambazo zinaonesha nani haswa ni mnufaika Kampuni hata kama hayupo kwenye list ya shareholders.
Mfano, mtoto wako anaweza asiwepo kwenye list ya...
Narudia kama wapo humu wasome
SIJAWAHI KUONA KAMPUNI MBOVU KAMA STARTIMES
Mwaka Mpya nafungua na DSTV...hio taka taka nyingine ya startimes naenda kutupa jalalani.
🚮
Uhusiano kati ya China na Tanzania umekuwa ni wa muda mrefu tangu Tanzania ipate Uhuru
China imekuwa mstari wa mbele kusahihisha makosa yake ya Kibiashara yanayotokea Tanzania
Kampuni ya ByteDance imeamua kuchutama ili kuondolewa zuio la TikTok lililodumu kwa muda mrefu
Makosa ya TikTok...
Habari Tanzania !
Napenda kuleta wazo hasa kwa Serikali Tanzania na Vijana wa Tanzania endapo ikiwapendeza.
Tuanzishe taasisi ya Vijana Ujenzi Taifa; waajiriwe vijana wenye nia na kutumika kwenye sekta ya ujenzi Taifa.
Itungwe Sheria ya usimamizi miundombinu na ujenzi majengo Taifa. Pia...
Serikali imetangaza mpango wa kuanzisha Youth Special Economic Zones (YSEZ) utakaotekelezwa ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo, kwa lengo la kuwawezesha vijana kuingia kwenye uchumi wa uzalishaji na utengenezaji badala ya uchumi wa usambazaji na uuzaji pekee.
Akizungumza kuhusu mpango huo...
Pale mawasiliano tower sio wageni ila hii sehemu ndio unaambiwa kama vitafungwa vifaa vya mawasiliano juu kama huduma za internet za majumbani au vifaa vyengine.
Hapa mpaka aliye morogoro,kibaha,znz na bagamoyo anaweza kupata signal safi.
ila kwa nini wamekataa kampuni nyingi
Mimi ni Mfanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi wa miundombinu yenye makazi yake Madale Midizin Jijini Dar es Salaam.
Changamoto ni kwamba mpaka sasa nina Mwaka wa nne kazini ila sijawahi pewa mkataba, nakosa haki zangu muhimu, bado najulikana ni kibarua tu wa hii kampuni.
Tabia hiyo imekuwa ikitokea...
Anonymous (ce9a)
Thread
changamoto
kampuni
madale
mikataba
ujenzi
wafanyakazi
wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.