Vitu Vinavyohitajika Kumiliki Kampuni
1. Jina la Kampuni
Kuchagua jina sahihi la kampuni ni hatua ya kwanza muhimu. Jina lako linapaswa kuwa huru kufanya biashara nyingi tofauti chini yake bila kujifunga kwenye sekta moja. Unapochagua jina lisilopendelea biashara fulani, kama ABC Company Limited...
Kwanini ni Muhimu kufanya Biashara kama kampuni?
Pia inaonyesha jinsi kampuni inaweza kufanya biashara nyingi chini ya jina moja na kufaidika na masharti ya kodi yanayoruhusu kutoa gharama halisi kabla ya kulipa kodi.
Nafasi Kubwa ya Kupata Kazi na Tenda
Kufanya biashara kama kampuni...
Habari wana JF
Jobless hapa wa muda mrefu. Hata hivyo nimekua niki-develop various skills ikiwemo audio production na beat making.
Hivi karibuni nimeandaa project (AUDIO) ya dakika 1 ambayo nimejiridhisha kuwa itafaa kama Tangazo la mtandao wa simu wa YAS.
Sijui utaratibu na sifahamu...
Umiliki wa Kampuni unatakiwa kua very transparent, sababu una deal na serikali, una deal na Wafanyabiashara wenzio, una deal na wakopeshaji, una deal na wateja, na wafanyakazi pia.
Sasa Hii ni checklist ya mambo muhimu ya kuangalia kabla hujafungua Kampuni;
1. Malengo ya Kampuni
Inabidi ujue...
Wiki ya mwisho wa mwezi wa Saba nilikua namsaidia mteja wangu kufanya process za kuuza Kampuni yake, haya ni mambo ya kuzingatia ukitaka Kuuza Kampuni;
1. Elewa unauza Nini
Kuna mambo kadhaa yanawezwa kuuzwa kwenye Kampuni
1.1 hisa za Kampuni
1.2 Assets au Mali za Kampuni
1.3 Kampuni yote...
Habari mdau wa kilimo!
Je, umewahi kuskia semi maarufu ya "ukiitiwa fursa basi wewe ndio fursa" ama " dili limekua dirisha"? Semi hizi na zinginezo zimekua maarufu kutokana na tapeli mbalimbali walizo/wanazofanyiwa wakulima na wafugaji. Hapa chini tutakupa mifano hai kwa uzoefu toka mkoani...
Katika hatua ya kusimamia Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi za watu nchini, Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeiamuru Kampuni ya MI CASA kumlipa Wakili Abdul Naumanga Milioni 20 kama fidia kwa kutumia picha na ‘video’ zake katika akaunti yao ya mtandao wa kijamii wa Instagram...
Habari za mda huu wadau.
Naomba kama kuna mtu humu aliewahi kununua Gari Prestige Auto Export anisaidie kuhakiki kama hizi taarifa na account ni sahihi.
Nauliza kwa Niagara ya jirani anaogopa kupigwa.
Huu ulikua ni ushauri wangu wa mwisho kumpa AISHA juzi mchana.
Kwenye thread hii nitakuonesha faida za kufungua Kampuni badala ya Jina la Biashara kama nilivyomwambia AISHA.
1. Limited liability
Kampuni ni legal person na inajitegemea kutoka kwa Mmiliki wake, hivyo kwenye event kama ya kulipa...
INTRODUCTION:-
Salam sanaaa?
HUU NI UKWELI WA MAISHA YANGU, KUHUSU MAHUSIANO NA MALI.
Naitwa Mr. Liverpool ni kijana wa kiume mwenye Diploma, Degree, Masters, na PhD Candidate dropout (Nilipata Scholarship ila biashara ikanipenda zaidi kuliko shule..!!)
Ni mtumishi wa umma mwenye miaka 35...
Dada wa Taifa amepost abiria wakiwa katika basi la Katarama wakiangalia hotuba ya Balozi mstaafu Polepole.
Uzi huu umekuja na swali la angalizo, je kupitia video ile, kampuni ya Katarama inaweza kushughulikiwa na mamlaka?
Muda ni mwalimu mzuri…
Kuna wakati unafika kwa sababu fulani unaona ubadili Jina la Biashara Yako au Kampuni yako, kwa sababu zozote zile hizi ni hatua za kufuata;
1. Sababu za kubadili Jina la Biashara
Either unafanya
-Rebranding
-unataka jina linaloendana na huduma zako za sasa
Etc
2. Angalia kama jina...
Kampuni kubwa zaidi ya uchimbaji madini duniani, BHP Group (BHP.AX), imeamua kuuza hisa zake kwenye mradi wa nikeli wa Kabanga uliopo nchini Tanzania kwa mshirika wake, Lifezone Metals (LZM.N). Mradi huo una thamani ya takribani dola bilioni 2.5, na Lifezone imethibitisha kuwa itanunua hisa hizo...
Umofia kwenu wanajamvi.
Ninatafuta kampuni inayouzwa na inayojihusisha na maswala ya usafiri wa Anga (Abiria na Mizigo). Sharti iwe na usajili na iwe na umri wa at least miaka mitano (5). Kampuni hiyo iwe au isiwe na vyombo hivyo vya usafiri sio hoja kubwa, ni kuwa na leseni (5 years on...
Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) haifuatilii michango ya wanayokatwa Wafanyakazi kwenye kampuni, wanafanya kazi kwa mazoea au wanaziogopa baadhi ya taasisi.
Hali hiyo inatukuta Wafanyakazi wa Kampuni ya IRIS inayohusika na masuala ya ujenzi wa barabara mbalimbali Zanzibar na...
Anonymous
Thread
fedha
kampuni
nyingi
usingizini
wafanyakazi
zanzibar
zssf
Alizaliwa kwenye familia ambayo haikuamini katika mazungumzo, haikuamini katika kuelewana, haikuamini katika maoni mbadala. Bali heshima ni utii usiohoji, na upendo ni zawadi inayotolewa tu kwa wale wanaofuata mstari. Baba alikuwa mwepesi wa hasira, mzito wa kusikiliza. Kosa dogo lilimaanisha...
Mambo ya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Kusajili Kampuni
Kabla hujaanza mchakato wa usajili, ni muhimu kuwa na maandalizi ya kutosha. Kwanza, hakikisha unaelewa sheria na kanuni zinazoongoza usajili wa kampuni. Ikiwa hauna uelewa wa kutosha, wasiliana na mtaalamu mwenye uzoefu. Pili, fahamu gharama...
Kwa mtazamo mkubwa watu wengi wenye Makampuni, au watengeneza ajira hasa zinazo hitaji ubunifu kwasasa hawaajiri watu wenye alama kubwa za kiakademiki/darasani 85-100%. Bali Hupenda kuwaajiri watu wenye 60-80%.
Hii ni kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.