kali

  1. SteveMollel

    JamiiForums Tanzania Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

    Habari zenu wandugu? Ni kitambo kidogo sasa hatujakutana kwenye hiki kijiwe chetu cha movies kutokana na mambo ya hapa na pale lakini natumai kila kitu kipo poa! Pasipo kupoteza muda, leo tutazamia ‘session ya 04’ kwenye huu mfululizo wetu wa kuhamasishana kutazama filamu mbalimbali kwa...
  2. macho_mdiliko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania VIDEO: Fumanizi na kipigo kikali sana

    NEWS UPDATE: Mwanaharakati wa Haki za Wanawake hapa nchini Joyce Kiria the super woman pamoja na Juma Raibu diwani wa boma Mbuzi Manispaa Moshi wamsaidia mwanamke aliye daiwa kufumaniwa na mume wa mtu kupata matibabu Akizungumza Mara baada kutembelewa nyumbani kwake Msaranga wilani Moshi Mkoani...
  3. kidadari

    JamiiForums Tanzania Hii Movie kali sana !! Ntapata wapi mwendelezo wake?

    Hii movie imenifurahisha sana... Natamani kuona mwendelezo wake... Plz plz mwenyenayo jamani
  4. R

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima Atoa Kali, Aomba Kibali Serikalini Kuponya Wagonjwa wa Corona Mahospitalini, kwa Kutumia Miujiza ya Nguvu za Mungu!

    .
  5. Mdaiwa-Sugu

    JamiiForums Tanzania Nimeugua homa kali na mafua juu, mdomoni pachungu. Nifanyeje?

    Wakuu toka juzi nimepatwa na homa kali iliyoambatana na mafua na kikohozi kwa mbali. Nimeogopa kwenda hospitali nisijekuambiwa nina corona nikafa kwa presha. Nilichokifanya nimeenda duka la madawa nikajichukulia zangu dose ya mseto mpaka sasa ndio natumia na hali yangu inaendelea kuimarika Japo...
  6. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua kiwanda kidogo cha pombe kali. Utaratibu ukoje?

    Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie. Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara ya pombe kali kama K-Vant na Konyagi anakaribishwa kumwaga madini, shida yangu nahitaji kujua...
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania Juma Nature : Club wisk maji na Bia Ukizubaa wanakuchanganyia, ilikuwa Track moja kali sana

    Hapo sasa
  8. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Naomba tupate maelezo ya kina ya kisayansi, hivi inakuwaje mtu anashangilia na kupata furaha kali pale nchi yake au wenzake wanapopata matatizo?

    Mfano hai kabisa ambao nimeshuhudia kwa macho yangu mitaani na pia katika mitandao, ni ile hamu na shauku waliyokuwa nayo baadhi ya waTz kuona ugonjwa wa Corona ukiingia Tz, na unamuona kabisa mtu huyo anaumia kila walipoambiwa kuwa ugonjwa bado haujafika. Ile siku yule dada wa huko Kaskazini...
  9. beth

    JamiiForums Tanzania Ummy Mwalimu: Watoa huduma za afya wasikimbie wagonjwa, sio kila homa kali ni Corona

    Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema watoa huduma wa sekta ya afya hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa na badala yake, wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Udhibiti wa Maambukizi katika kutoa Huduma (IPC). Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma...
  10. technically

    JamiiForums Tanzania Ukiutazama Utawala wa Rais Magufuli kwa upande mwingine unatoa somo kali sana

    Mwigulu Nchemba wakati ni Waziri wa Mambo ya Ndani nilitoka nikamshutumu waziwazi kupotea kwa Ben Saanane, Mauaji Soweto na kuuawa kwa Police wetu kule Mbagala ila alianzisha uzi humu kunishambulia kwamba hakuna ninachokijua ila kama angejiongeza angejiuzulu kuliko kungoja kutimuliwa kama mbwa...
  11. Superbug

    JamiiForums Tanzania Getamycine aja na kali (mrithi mwandamizi wa upumbavu Tanzania)

    Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA) Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA Mfano Serikali inapiga kelele kuhusu korona wewe hujali as if HAKUNA kitu ukiwa hivyo ujue wewe ni...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nimeamka na homa kali

    Nimejaa na wasiwasi wakuu, Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
  13. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Ipi Filamu/Tamthilia Kali?

    Habari za time hii wanabidi Naombeni kujuzwa zipi filam au series Kali za 1/kibongo 2/kifilipino 3/kihindi Mm sinaga time na hii mambo sema kuna demu namzimia kila time anataka nimtaftie muviie Kali naombeni msaada
  14. H

    JamiiForums Tanzania Prison break vs 24 ipi kali?

    Tuambie Kati ya hizo series ipi kwako ni Kali na sababu zipi kwako unaona moja yapo ni Kali zaidi nyingine?
  15. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Nadhani watu wanaotaka kuleta taharuki ya tetesi za Lockdown nchi nzima wakamatwe na kuchukuliwa hatua kali za kisheria

    Yaani jitu kisa limeweza kuafford kununua smartphone na kuweka bando basi linatiririka tu tetesi za ajabu ajabu anazojitungia kichwani kwake bila kufikiria Impact yake, eti kwamba kuna total lockdown hivyo kila mtu ajaze mahitaji yake ndani! Jamani, hivi hayo mahitaji ya mwezi mzima huko...
  16. Mkaruka

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Mkali wa "Imekaa Vibaya" Msanii Kali P?

  17. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mali: Wapiganaji wa itikadi kali wawaua wanajeshi 29

    Wanamgambo wanaosemekana kuwa ni waisalamu wenye itikadi kali wamewauwa wanajeshi 29 na kuwajeruhi 5 huko Mali, walipoivamia kambi ya jeshi iliyoko kaskazini mashariki, Machi 19, 2020 Jeshi la Mali limekuwa likipata mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa waislamu wenye itikadi kali ambao wana...
  18. Hero

    JamiiForums Tanzania Hebu tujuane tuliokumbwa na homa kali ilioambatana ni kikohozi na hata kushindwa kupumua katika mwezi 1 uliopita na tuelezane tulifanyaje

    Wiki 2 zilizopita yalinikuta hayo, nilipata homa kali sana iliambatana na kikohozi na koo kuuma. Pia kushindwa kupumua vizuri ikiambatana na kuchoka! Kwa mara ya kwanza katika miaka zaidi ya 15 nililala kitandani siku mbili, pumu si pumu, mafua si mafua, joto mpaka wife alikuwa ananipoza kwa...
  19. uran

    JamiiForums Tanzania Samsung A30s na Tecno Camon 12 pro. Simu ipi kali?

    Wakuu kati ya hayo matoleo mawili hapo, simu gani ni kali zaidi?
  20. S

    JamiiForums Tanzania Upepo mkali jijini Dar usiku wa kuamkia Machi 1, 2020

    Wana bodi usiku huu huku maeneo ya Bunju kuna upepo mkali sana unavuma, labda pengine utakuja na mvua unavuma sana kiasi cha kuhamisha hadi vitu kama vikombe vya plastiki, vyombo vya udongo, viti vya plastiki! Upepo ni mkali.
Back
Top Bottom