kali

  1. GIRITA

    Nyongo ya mamba ni sumu kali inayouwa kwa haraka zaidi

    Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine. Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya...
  2. J

    Chadema na ACT Wazalendo wanaweza kutumika na wabobezi wa siasa kali

    Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa. Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia. Nawashauri...
  3. masai dada

    Naomba mbinu bora ya kumuachisha mwanangu kunyonya

    Ana miaka 2 sasa kasoro siku kadhaa, ila kila nachojaribu kufanya naona namuumiza analia sana nikisema nimkazie siku hiyo asiguse nyonyo. Ananikondesha sasa hivi maana spidi ya kunyonya imekuwa kubwa. Nipeni mbinu rafiki za kumuachisha ziwa mwanangu bila kumuumiza.
  4. GENTAMYCINE

    Kwahiyo PhD ya Mwenyekiti wa Yanga Msolla ilikuwa inasubiri hadi Waumbuliwe na Wachezaji ndipo wakiri Njaa Kali Jangwani?

    Kwa mujibu wake mwenyewe amesema kwamba hali ya Kiuchumi ya Yanga SC ni mbaya kutokana na sababu hizi zifuatazo: Yanga SC inadaiwa na TRA Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wa Kigeni Yanga SC inadaiwa na Makocha ( walioondoka na waliopo ) Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wao walioondoka ndani ya...
  5. Analogia Malenga

    Dhoruba Kali inatarajiwa kupita Ufilipino

    The typhoon is expected to pass near the capital, Manila, on Tuesday. === The Philippines evacuated 200,000 people in coastal and mountainous areas amid fears of flooding and landslides, and closed the country's main international airport, as a powerful typhoon hit the Southeast Asian nation...
  6. Suley2019

    Afisa wa Polisi wa Kisauni akutwa amefariki Baa baada ya kunywa pombe kali

    Kiongozi Mkuu wa Polisi Mombasa Bw. William Chepkwony amekutwa amefariki leo jumanne katika Baa aliyoingia kwa ajili ya kunywa pombe. Ripoti zinaeleza kuwa mwili wa Polisi huyo umekutwa katika kiti cha Baa maeneo ya Bombalulu. Aidha, inaelezwa kuwa chanzo cha kifo hicho hakikufahamika awali...
  7. The only

    Uzi wa kupeana connection za pamba kali

    Kuna pamba unaziona mtu kavaa town unajiuliza hivi wanazitoa wapi? Mfano mimi natafuta full jeans nyeusi nimeulizia nimeshindwa ukiingia ebay manguo mabayaaaa, huwa naopti mtumba grade 1 nawapa madogo wa pale Karume ofa nzuri wapambane. Pia natafuta leather trouser nyeusi na brown na mapigo...
  8. B

    James Mbatia: Mtume Muhammad (SAW) anatuusia "Ukiona uovu zuia, kemea au onesha chuki"

    November 8, 2019 Dodoma, Tanzania Katika kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. James Mbatia mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi aelezea hali ya kisiasa na kujamii inayoendelea nchini chini ya serikali ya CCM awamu ya tano kulinganisha na falsafa ya Muasisi...
  9. GENTAMYCINE

    Msijifanye / Msijidai hamjaisikia hii ' Kali ya Funga mwaka ' tafadhalini!

    “ Wasichana msiolewe na wanaume mnaowazidi umri au mnaolingana, maana wanaume huoa baada ya kuwachoka mama zao, hivyo akirudi nyumbani akakukuta unafanana na mama yake lazima ahame tu ” Bw.Alfred Luvanda - Makamu wa Rais wa shirikisho la vyama vya wachimba madini Tanzania. Chanzo Habari: ITV...
  10. GENTAMYCINE

    Zimebaki siku chache tu Taifa la Tanzania liingizwe katika aibu kali ya kufungia huu mwaka wa 2019 huko Misri

    Na tarehe husika ya hiyo ‘ Aibu ‘ ni ama tarehe 1 Novemba au tarehe 3 Novemba huko nchini Misri. Na labda mapema tu hii tuanze Kuiomba Serikali kupitia Wizara husika ya Michezo ianze Kuwaandaa Watanzania ‘ Kisaikolojia ‘ na ikiwezekana hao ‘ Mabalozi ‘ wetu watakasafiti kututia ‘ Aibu ‘ huko...
  11. BASIASI

    Ushauri kwa Mwamposa; Kwa jua hili kali sasa ni muda wa kununua maturubai ya kujikinga na jua

    Pengine wasimamizi hawatakwambia hili baba kinachoendelea huko nje ni hatari si kwa watoto hata kwa wakubwa Jua linapiga kila kona baba mpendwa wasimamizi wako wote wako ndani hawaji kwenye jua mpaka muda wa kugawa mafuta Natoa wazo tu hata enzi za Gwajima waliamua kununua maturubai kwa ajili...
  12. GENTAMYCINE

    Njaa kali klabuni na kutoheshimu 'utaalam wa kiufundi' wasababisha wachezaji muhimu wa Yanga SC kupata majeraha makubwa

    Tukiwa tunawaambieni kuwa mna njaa halafu hamna 'wataalam' wa mpira katika klabu yenu ya Yanga muwe mnatuelewa kwani ni aina yenu ya 'ubishi' ndiyo ambayo imekuwa 'ikiwagharimu' na hatimaye mnajikuta mnafanya vibaya katika mechi zenu mbalimbali kisha mnadai Simba SC inabebwa wakati si kweli...
  13. Miss Zomboko

    Mwili wa kijana wakutwa vichakani huku ukiwa na majeraha ya kitu chenye ncha kali

    MWILI wa kijana mmoja alietambulikana kwa jina la Noel Jengeni Mlilo (27), mkazi wa Wawi wilaya ya Chake Chake ambae ni mwenyeji wa mkoa wa Songwe Tanzania Bara, umepatikana umetelekezwa vichakani katika kijiji cha Mtuhaliwa, wilaya ya Mkoani. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, kaka wa...
  14. Bellami

    Nightdress, pajama kali za kulalia

    Pata pajama na night dress kali za kulalia, Dar es Salaam utaletewa popote , mikoani tunatuma 0752976792
Back
Top Bottom