February 17, 2020
Katazo la kupiga picha mbugani
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana atoa tamko kali la onyo huku akigonga mimbari ya press conference wakati akijibu maoni ya Mh. Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kuhusu picha za barabara mbovu za mbuga zilizopo nchini...
Juzi nilikuwa mtandaoni, nikastumble upon uzi unaolinganisha Alibaba na Amazon. Nikaona jinsi ambavyo wanaendana bega kwa bega kwa vitu vingi tu.
Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea Mashariki china dubai nk kununua vitu.
Lakini swali linabaki, kati ya hawa magwiji wawili, nani...
Katika maisha ya mapenzi ya Diamond amekuwa akiimba nyimbo kali na za hisia hasa anapokuwa katika mahusiano. Kati ya wapenzi wake wawili tu ndo wameimbiwa nyimbo nyingi, yaani wema na zari.
Sasa kwa kucheki ni collection ipi Ina nyimbo kali tunaweza jua nani alikuwa anapendwa zaidi akatungiwa...
Mvua kali zilizonyesha nchini Brazil zimepelekea maporomoko ya ardhi ambayo yamesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu.
Watu 46 wafariki katika maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kali zilizonyesha nchini Brazil.
Kiongozi wa kitengo kinachohusikana na usalama wa rais katika eneo la...
Namaanisha mwanafunzi mwenye division one kutoka shule ya kata ni hazina ya taifa kama ataendelezwa kikamilifu.
Hii ni kwa sababu anaweza kutumia mazingira magumu kama changamoto na changamoto hiyo anaitatua kikamilifu na kwa usahihi sana hivyo IQ yake ni kubwa mno tofauti na wa mazingira...
Singapore ndio nchi yenye speed kali ya internet ina wastani wa 60.39Mbps. Taarifa hizi zilikusanya na M-Lab, ikiwa ni ushikiano wa New America's Open Technology Institute, Google Open Source Research, Princeton University's PlanetLab na wabia wengine,
Kumi bora ya Nchi kumi zenye speed ni:
1...
The secret behind this song is that it's Big.. Biiig!
Wimbo huu nilimsikilizisha my girl back in 2006. Hakuwa shabiki wa muziki kihivyyo, kama mnavyokumbuka miaka hiyo.
Niliandika hizo lyrics nikamtumia kwa karatasi. Nitaendelea kuwapa what happened.
Story hii ni ndefu ila nashukuru wimbo...
Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha mziki
1.kutengeneza wasanii wakubwa from scratch kupitia label yake ya WCB Kama vile Rayvanny...
Kwa uzoefu wangu na hali ya maisha ilivyo kwa sasa 95% ya mademu/wadada wanaendekeeza njaa kali kuanzia kuomba kodi , ada,hela ya kusuka, simu , sare za sherehe nk nk....sasa miezi kama minne iliyopita nilikuwa naishi na kademu kanaonekana kanajitambua hakana tamaa....akajtahidi miezi miwili...
Hii ni sumu Kali inayotokana na nyongo inayopatikana katika mwili Wa mamba ambae ni mnyama hatari sana kwa binaadamu na wanyama wengine.
Kama tunavyojua ukali na nguvu aliyonayo mamba awapo ndani ya maji basi hata nyongo yake ni hatari kwa maisha ya binaadamu.sumu hii hupatikana baada ya...
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.
Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.
Nawashauri...
Ana miaka 2 sasa kasoro siku kadhaa, ila kila nachojaribu kufanya naona namuumiza analia sana nikisema nimkazie siku hiyo asiguse nyonyo.
Ananikondesha sasa hivi maana spidi ya kunyonya imekuwa kubwa.
Nipeni mbinu rafiki za kumuachisha ziwa mwanangu bila kumuumiza.
Kwa mujibu wake mwenyewe amesema kwamba hali ya Kiuchumi ya Yanga SC ni mbaya kutokana na sababu hizi zifuatazo:
Yanga SC inadaiwa na TRA
Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wa Kigeni
Yanga SC inadaiwa na Makocha ( walioondoka na waliopo )
Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wao walioondoka ndani ya...
The typhoon is expected to pass near the capital, Manila, on Tuesday.
===
The Philippines evacuated 200,000 people in coastal and mountainous areas amid fears of flooding and landslides, and closed the country's main international airport, as a powerful typhoon hit the Southeast Asian nation...
Kiongozi Mkuu wa Polisi Mombasa Bw. William Chepkwony amekutwa amefariki leo jumanne katika Baa aliyoingia kwa ajili ya kunywa pombe.
Ripoti zinaeleza kuwa mwili wa Polisi huyo umekutwa katika kiti cha Baa maeneo ya Bombalulu. Aidha, inaelezwa kuwa chanzo cha kifo hicho hakikufahamika awali...
Kuna pamba unaziona mtu kavaa town unajiuliza hivi wanazitoa wapi? Mfano mimi natafuta full jeans nyeusi nimeulizia nimeshindwa ukiingia ebay manguo mabayaaaa, huwa naopti mtumba grade 1 nawapa madogo wa pale Karume ofa nzuri wapambane.
Pia natafuta leather trouser nyeusi na brown na mapigo...
November 8, 2019
Dodoma, Tanzania
Katika kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. James Mbatia mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi aelezea hali ya kisiasa na kujamii inayoendelea nchini chini ya serikali ya CCM awamu ya tano kulinganisha na falsafa ya Muasisi...
“ Wasichana msiolewe na wanaume mnaowazidi umri au mnaolingana, maana wanaume huoa baada ya kuwachoka mama zao, hivyo akirudi nyumbani akakukuta unafanana na mama yake lazima ahame tu ” Bw.Alfred Luvanda - Makamu wa Rais wa shirikisho la vyama vya wachimba madini Tanzania.
Chanzo Habari: ITV...
Na tarehe husika ya hiyo ‘ Aibu ‘ ni ama tarehe 1 Novemba au tarehe 3 Novemba huko nchini Misri. Na labda mapema tu hii tuanze Kuiomba Serikali kupitia Wizara husika ya Michezo ianze Kuwaandaa Watanzania ‘ Kisaikolojia ‘ na ikiwezekana hao ‘ Mabalozi ‘ wetu watakasafiti kututia ‘ Aibu ‘ huko...
Pengine wasimamizi hawatakwambia hili baba kinachoendelea huko nje ni hatari si kwa watoto hata kwa wakubwa
Jua linapiga kila kona baba mpendwa wasimamizi wako wote wako ndani hawaji kwenye jua mpaka muda wa kugawa mafuta
Natoa wazo tu hata enzi za Gwajima waliamua kununua maturubai kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.