JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Katika visa vilivyobainika duniani vya #CoronaVirus, asilimia 15 tu huambatana na dalili ya ugonjwa hatari wa mapafu “pneumonia”, kushindwa kupumua, oksijeni kupungua kwenye damu na matatizo mengine ya mapafu
Asilimia takribani 5 huambatana na dalili hatarishi zaidi zinazoweza pelekea kifo kama kufeli kwa mfumo wa upumuaji au kufeli kwa viungo kadhaa vya mwili
Asilimia takribani 80 ya visa vyote viliambatana na dalili za wastani kama homa, kikohozi na mafua
Wakati hii ikiwa ni habari njema kwani dalili husika ni rahisi kutibiwa, ni habari mbaya kwani kuna wengi wasio na dalili za kutilia shaka ambao ni rahisi kuambukiza wengine
Wasio na dalili kali ni rahisi kuendelea na shughuli zao za kila siku, kwenda kwenye mikusanyiko wakihisi wako salama
Kumbuka kuendelea kuchukua tahadhari hususani kipindi hiki ambapo shughuli zinaelekea kurejea katika hali ya awali
===
From WHO Website:
For COVID-19, data to date suggest that 80% of infections are mild or asymptomatic, 15% are severe infection, requiring oxygen and 5% are critical infections, requiring ventilation.
Asilimia takribani 5 huambatana na dalili hatarishi zaidi zinazoweza pelekea kifo kama kufeli kwa mfumo wa upumuaji au kufeli kwa viungo kadhaa vya mwili
Asilimia takribani 80 ya visa vyote viliambatana na dalili za wastani kama homa, kikohozi na mafua
Wakati hii ikiwa ni habari njema kwani dalili husika ni rahisi kutibiwa, ni habari mbaya kwani kuna wengi wasio na dalili za kutilia shaka ambao ni rahisi kuambukiza wengine
Wasio na dalili kali ni rahisi kuendelea na shughuli zao za kila siku, kwenda kwenye mikusanyiko wakihisi wako salama
Kumbuka kuendelea kuchukua tahadhari hususani kipindi hiki ambapo shughuli zinaelekea kurejea katika hali ya awali
===
From WHO Website:
For COVID-19, data to date suggest that 80% of infections are mild or asymptomatic, 15% are severe infection, requiring oxygen and 5% are critical infections, requiring ventilation.