Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.
HABARI BOSS! 🌟
Leo kuna ofa maalum kwa ajili yako
~13,000/=~
LIPIA LEO 6,500/= TU!
UPATE:
GB 40 za intaneti isiyo na kikomo! 🌐
DAKIKA 3,100 za kupiga simu mitandao yote!
SMS BILA KIKOMO kwa marafiki na familia! 💬
MIEZI 2 ya huduma bora na ya uhakika!
MTANDAO WOWOTE nakunganisha...
Achana na kina mwamposa janjajanja ya mjini hakuna lofoten ila huyu LEMA huenda akawa Nabii asilimia 75% ya mambo ambayo alikwisha sema au atakayosema kuhusu mtu fulani basi bila shaka hutokea.
Akifungua kanisa atajaza watu kama kumbikumbi .
Ni almost miaka kadhaa, nimekua nikimsoma huyu jamaa, lakini nimekuja kugundua kwa sisi vipanga wala kodi za wajinga kama huyu GENTAMYCINE, ni kweli huyu mtu ni wale wapenda sifa wa darasa wasiokua na uwezo,
nimemkumbuka jamaa yangu mmoja special school miaka ya 2003s tukiwa Olevel, ilitokea...
Huyu Jamaa nasikilizaga live za bunge la wananchi TikTok Kila siku kuanzia saa mbili usiku kusema kweli hastahili kuongoza live sababu anakejeli hasira za ajabu yaani anajiona kama mungu mtu Kisa lipo ulaya halafu likataka kuendesha watu ambao watakua ground Cha ajabu anajiita gen z halafu...
Mwanzo nilimsikia kwenye clip fupi nikampuuzia kwa kua alikua na lafudhi ya kiswahili kibovu, lakini nimekuja kumsikiliza aiseeee jamaa ana nondo Humphrey Polepile akasome.
Yani jamaa ana maarifa Kila pande analysis zake hakuna janja janja unaweza kujivunia kwamba Tanzania tuna watu smart...
Kuna mambo mengine yanatia hasira sana. Wauwe wenyewe halafu waonyeshe wao ndio wana uchungu sana kuliko wafiwa na wanaopost hayo mauaji mtandaoni.
Just imagine wao ndio wafanye mauji ila wao ndio iwaumize na kuwasikitisha zaidi ya wafiwa. This arrogance is unacceptable guys, we need to do...
Kutaja wachambuzi list hapa tz niwengi sana yani unaona kabisa uchambuzi wao ubalance yani kuonesha hisia zao zipo wapi kwenye saisa,mlengo gani,kuwa upande gani.
Katika siku ambayo nilimuona huyu mchambuzi ni shabiki wa waarabu fatilia uchambuzi wa sudani kule kwa bashiri RSF.Fatilia uchambuzi...
Wakuu hamjakutana na huyu jamaa anajiita mkaka wa Taifa sijui, huyu jamaa anatafuta umaarufu au haishi Tanzania? So anajali ajira za wachache kuliko vifo vya maelfu ya Watanzania ambao kila siku vinazidi kushika namba. Huyo Mange mnaemshutumu hatekwi huyo, huyo haishi maisha magumu, hata akisema...
au haya ni ya kutoa tu machozi?
hapa ni sawa umkamate mhalifu halafu umuache aendelee kukaa na slaha yake uliyomkamata nayo
au inachukua sekunde ngapi jamaa kulifikia hilo bomu akitaka kujitoa sadaka.
Appreciation post to you brother Lwiva Lwiva
Anaandika Lwiva 13/11/2024 kwenye thread ya Abdul NONDO ( hapa hapa JF )
Namnukuu
Chadema hadi mjambe cheche. Nilipo waambia watu humu kuwa genge la Rostam Azizi ni hatari ni raia feki waliokuwa na agenda ya kukamata serikali na taifa, wengi...
Huyu binti analalamika anasema;
Nawaza sana… je, sisi Gen Z tutafika kweli? 🥹
Kuna wakati nahisi dunia ilikosea kutupokea. Maana kama ingekuwa ni Afrika tu, ningedhani labda ni changamoto ya bara letu — lakini la, ni dunia nzima. 😔
Sisi ndiyo kizazi kinacholelewa na wazazi badala ya sisi...
Huyu mwamba pamoja na kuandika taarifa za kampeni za CCM wakati wa kipindi cha kampeni amefunguliwa mashtaka ya uhaini.
Kwa mnaotetea mfumo wa ukandamizaji mkidhani haitawakuta, siku yenu itafika. Utakamatwa ukiendesha bodaboda yako kwa kosa kidogo tu la barabarani, na utapigwa na kutupwa huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.