jamaa

Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ‎) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa aliterend kwa design yake ya nguo

    ‎ Huyu Jamaa anaitwa Chibu. Chibu alikuwa tayari ameshinda tuzo nyingi sana za muziki, mpaka akawa mshindi wa tuzo za mwimbaji bora Afrika Mashariki. Sasa baada ya mafanikio hayo, akaamua kufanya sherehe kubwa ya kusherehekea ushindi wake. ‎ ‎Lakini Chibu hakuwa mtu wa kufanya mambo ya kawaida...
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Je, Putin anajifunza kitu kutoka kwa Marekani na Israel? Hawa jamaa wanatoa Elimu kwa Vitendo

    Miaka mingi tumekuwa tukiaminishwa 1. Russia wapo vizuri sana ni Taifa la kutisha sana. Tumeona washirika wake wote wakitendewa uhanithi. 1. Assad 2. Maduro 3. Khamenei Yeye anahangaika na yule mchekeshaji wa Ukraine mpaka leo na anatumia mpaka mamluki wa...
  3. Foffana

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa hatari sana humu

    Wanamuita Steven Joel Ntamusano Huyu jamaa kweli anastahili kuitwa Great thinker nimemuona kwenye mijadala mingi anayoshiriki yeye ndo huwa anaibuka kidedea bila matusi, bila kashfa yaani unaeleweshwa na unatoka umeelewa kongole sana Mkuu endelea kutupa Elimu
  4. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Jamaa yangu anaefanya kazi bank kubwa Tanzania kaniibia siri

    Huyu ni jamaa yangu wa mda sana, anafanya kazi bank kubwa hapa nchini, pia ana washkaji zake kwenye bank zingine. Leo kanishaningaa sana nilipopigwa na butwaa baada ya kuona mtumishi wa serikali anapush Bentley kwenye shughuli zake za kikazi, akaniambia broo "kwasasa watumishi wa gavoo wana...
  5. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Kuna yeyote humu amewahi kumfunga huyu jamaa

    Wasalam. Huyu jamaa Kila nikigusa naambulia kichapo Ushindi wangu sare. Kuna yeyote mwenye ujuzi atupe mbinu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ikitokea jamaa yako katekwa, unamchagua nani kati ya hawa kwenda kumuokoa?

    Ikitokea jamaa yako katekwa na una nafasi ya kumtuma mtu mmoja tu kwenda kumuokoa… unamchagua nani? 😄 Arnold Schwarzenegger Sylvester Stallone Bruce Willis Chuck Norris Chagua mmoja na utupe sababu yako
  7. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mungu na jamaa yake Shetani wanazidi kupoteza umaarufu waliojizolea

    Wakuu, dalili za Mungu na swahiba wake Shetani kupoteza umaarufu waliokuwa nao imeanza kuonekana wazi wazi. Kitendo Cha watu kumchana live mwenyezi Mungu kinathibitisha kuwa viumbe hawa wawili dhahania sasa muda wao wa kutamba unakaribia kwisha hapa duniani. Naishia hapa Kwa sasa.
  8. Magical power

    JamiiForums Tanzania Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu.

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabidi amuulize...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya majiji na watu walioyashikilia kiuchumi,

    DAR - Watu wa Kilimanjaro, Pemba, Njombe, Kigoma, Mara, Mwanza, n.k. MWANZA - Watu wa Simiyu na Mara. ARUSHA - watu wa Kilimanjaro wamedominate sana Mbeya - Watu wa Njombe Dodoma na Tanga sijajua
  10. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ustadh: Makaburini maiti wanatembeleana

    Ni rahisi sana kucheza na akili ya mwafrika.
  11. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Kumbe jamaa alipishana na mpwa wa malkia

    Ndio chanzo cha kupigwa chini ubunge! Ndio hivyo, wewe unapishanaje na Mpwa wa Mungu wa wana kijani! Huyo mtu huko kijani ndio mungu wao wanamuabudu! Kwahiyo hiyo B3 sijui ataitoa wapi na majirani zake ndio wanadai jamaa kawa chapombe mbayaa 👇👇 Mbwembwe alizifanya akiwa na cheo sasa deni...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Jose mla Vichwa - Kuna kipi huyu jamaa hawezi kula kama kafikia huku ?

  13. R

    JamiiForums Tanzania Hii video ya jamaa anatishia polisi,ni mkakati mpya wa destabilization ya serikali ya awamu hii!!?

    Vuta picha maiti za polisi wameuawa barabarani au kambini mwao ziki trend Kwa mitandao zikifuatiwa na matamko kama hayo ya black mask huko mtandaoni! Hali itakuaje Kwa viongozi wetu ambao wamekua wakiwatumia polisi kama shielding ya matamko na power walizobeba kimamlaka dhidi ya wananchi...
  14. MK254

    JamiiForums Tanzania Jamaa ajilipua kwa bomu kwenye harusi huko Pakistan

    Kuwaelewa makobaz kunahitaji elimu isiyo ya kawaida. DERA ISMAIL KHAN, Pakistan – The death toll from a suicide bombing at a wedding near the Afghan border rose to seven on Jan 24, police said, as Pakistan struggles to deal with a rising wave of militant attacks The bombing tore through a...
  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye kumbukumbu yule jamaa anapendaga sana kupiga ama kudaka watu Jumamosi/Jumapili

    Mwamba wa dunia naambiwa yuko middleeast hukooo kumbukumbu zangu jamaa anapenda sana kudaka ama.kupiga wenzie Ijumaa Jmosi Jpili Ijumaa imepita jmosi ndio hii Yetu machoooo
  16. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Nicknames maarufu za wana JF

    HAYA LAND HOV manyaunyau GENTAMYCINE popoma Binti wa zamani bibi kizee cha tulin min -me bwashee ELI COHEN myahudi Lucas Mwashambwa chawa Mshana Jr mtaalam Shusha nyingine😁
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Wamama wakikristu wakilia kwa uchungu baada ya ndugu na jamaa zao 177 kutekwa na kikundi cha itikadi kali huko kaskazini mwa nigeria

  18. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa alisemaga humu eti ukifuha ng'ombe mmoja wa maziwa mwajiriwa wa serikali hakufikii😂 ila JF bana isifutwe aisee

    Hii ndio zile ahadi za kiujamaa tukaishia kula vumbi hadi leo
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ile video kuwa wairan 1.2m waliandamana kuunga mkono serikali ni AI, uthibitisho huu hapa

    👇 Ritz you are a fraud Soma Tehran, Wairani milioni 1.2 waliandamana kuiunga mkono serikali yao
  20. K

    JamiiForums Tanzania Jamaa kaelezea vizuri chaguzi

    https://youtu.be/vyZooTgyRao?si=UfxyEouEVGPktzNi
Back
Top Bottom