Kuna watu wana ugonjwa wa ukosefu wa ubunifu kiasi cha kugeuzwa wadudu. Watu, sorry, wadudu hawa wana silaha moja tena ya hovyo.
Nayo ni kujikomba, kusifia hata ujinga, kujigongagonga, kutabiri upuuzi, kuimba pambio na mashairi tena wamuimbiaye akiwa kipofu na taahira. Je, hapa tatizo ni nini...