jamaa

Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ‎) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.

View More On Wikipedia.org
  1. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania JF MIND GAMES: Hii ni picha ya nini.?

    Tafadhari usitumie AI, chekecha bongo
  2. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    HABARI BOSS! 🌟 Leo kuna ofa maalum kwa ajili yako ~13,000/=~ LIPIA LEO 6,500/= TU! UPATE: GB 40 za intaneti isiyo na kikomo! 🌐 DAKIKA 3,100 za kupiga simu mitandao yote! SMS BILA KIKOMO kwa marafiki na familia! 💬 MIEZI 2 ya huduma bora na ya uhakika! MTANDAO WOWOTE nakunganisha...
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Zimebaki siku chache yule jamaa aanze kuwaambia kuwa mnaharibu pesa kupeleka watoto wenu english mediums

    "mimi watoto wangu wote wanasoma asante mkapa., hizi EMs ni utapeli."
  4. Think2

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa asipuuzwe huenda ni Nabii

    Achana na kina mwamposa janjajanja ya mjini hakuna lofoten ila huyu LEMA huenda akawa Nabii asilimia 75% ya mambo ambayo alikwisha sema au atakayosema kuhusu mtu fulani basi bila shaka hutokea. Akifungua kanisa atajaza watu kama kumbikumbi .
  5. O

    JamiiForums Tanzania Huyu Gentamycine ni wale jamaa tulikua tunawakimbiza class halafu hawataki kukubali

    Ni almost miaka kadhaa, nimekua nikimsoma huyu jamaa, lakini nimekuja kugundua kwa sisi vipanga wala kodi za wajinga kama huyu GENTAMYCINE, ni kweli huyu mtu ni wale wapenda sifa wa darasa wasiokua na uwezo, nimemkumbuka jamaa yangu mmoja special school miaka ya 2003s tukiwa Olevel, ilitokea...
  6. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa (Sheikh) ameichambua vizuri sana hotuba ya Samia kwa Wazee wa Dar.

  7. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Tiktok bunge la wananchi Kuna jamaa anaitwa summer ni mjinga sana

    Huyu Jamaa nasikilizaga live za bunge la wananchi TikTok Kila siku kuanzia saa mbili usiku kusema kweli hastahili kuongoza live sababu anakejeli hasira za ajabu yaani anajiona kama mungu mtu Kisa lipo ulaya halafu likataka kuendesha watu ambao watakua ground Cha ajabu anajiita gen z halafu...
  8. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama haujapata wasaa wa kumsikiliza jamaa anaitwa Habili aise unapitwa sana. Baada ya Polepole kupotezwa huyu jamaa ni substitute Matata sana

    Mwanzo nilimsikia kwenye clip fupi nikampuuzia kwa kua alikua na lafudhi ya kiswahili kibovu, lakini nimekuja kumsikiliza aiseeee jamaa ana nondo Humphrey Polepile akasome. Yani jamaa ana maarifa Kila pande analysis zake hakuna janja janja unaweza kujivunia kwamba Tanzania tuna watu smart...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hawa jamaa wanatuona kama vile watanzania “hamnazo”

    Kuna mambo mengine yanatia hasira sana. Wauwe wenyewe halafu waonyeshe wao ndio wana uchungu sana kuliko wafiwa na wanaopost hayo mauaji mtandaoni. Just imagine wao ndio wafanye mauji ila wao ndio iwaumize na kuwasikitisha zaidi ya wafiwa. This arrogance is unacceptable guys, we need to do...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha Genius Prof Kabudi kuwa Chawa wa hawa jamaa! Dah

    Nasikitisha Genius Prof Kabudi kuwa Chawa wa hawa jamaa! Dah
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa mchambuzi wa Azam na ana youtube channeli yake IBRAHIM RAHBY uchambuzi wake ni wachumbuzi wa mpira wenye mahaba na timu zao.

    Kutaja wachambuzi list hapa tz niwengi sana yani unaona kabisa uchambuzi wao ubalance yani kuonesha hisia zao zipo wapi kwenye saisa,mlengo gani,kuwa upande gani. Katika siku ambayo nilimuona huyu mchambuzi ni shabiki wa waarabu fatilia uchambuzi wa sudani kule kwa bashiri RSF.Fatilia uchambuzi...
  12. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Huyu jamaa anatafuta umaarufu au yeye haishi Tanzania?

    Wakuu hamjakutana na huyu jamaa anajiita mkaka wa Taifa sijui, huyu jamaa anatafuta umaarufu au haishi Tanzania? So anajali ajira za wachache kuliko vifo vya maelfu ya Watanzania ambao kila siku vinazidi kushika namba. Huyo Mange mnaemshutumu hatekwi huyo, huyo haishi maisha magumu, hata akisema...
  13. Desierto

    JamiiForums Tanzania vp kama jamaa anaamua kulichukua limoja chap na kulichomoa fyuse

    au haya ni ya kutoa tu machozi? hapa ni sawa umkamate mhalifu halafu umuache aendelee kukaa na slaha yake uliyomkamata nayo au inachukua sekunde ngapi jamaa kulifikia hilo bomu akitaka kujitoa sadaka.
  14. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa aliona mbali sana juu ya kinachoendelea sasa Tanzania

    Appreciation post to you brother Lwiva Lwiva Anaandika Lwiva 13/11/2024 kwenye thread ya Abdul NONDO ( hapa hapa JF ) Namnukuu Chadema hadi mjambe cheche. Nilipo waambia watu humu kuwa genge la Rostam Azizi ni hatari ni raia feki waliokuwa na agenda ya kukamata serikali na taifa, wengi...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Nimeiona hii kwenye Instagram jamaa anamjibu Irene Kilango

    Huyu binti analalamika anasema; Nawaza sana… je, sisi Gen Z tutafika kweli? 🥹 Kuna wakati nahisi dunia ilikosea kutupokea. Maana kama ingekuwa ni Afrika tu, ningedhani labda ni changamoto ya bara letu — lakini la, ni dunia nzima. 😔 Sisi ndiyo kizazi kinacholelewa na wazazi badala ya sisi...
  16. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Mnaotetea mkidhani mpo salama jifunzeni kwa huyu jamaa

    Huyu mwamba pamoja na kuandika taarifa za kampeni za CCM wakati wa kipindi cha kampeni amefunguliwa mashtaka ya uhaini. Kwa mnaotetea mfumo wa ukandamizaji mkidhani haitawakuta, siku yenu itafika. Utakamatwa ukiendesha bodaboda yako kwa kosa kidogo tu la barabarani, na utapigwa na kutupwa huko...
  17. MK254

    JamiiForums Tanzania Jamaa yangu huko Bongo ni CCM kindakindaki ila kwa Kenya husifia sana upinzani

    Huwa siwaelewi baadhi ya Watanzania, kuna huyu mshikaji huwa namuona anavyosifia CCM na ni mwanachama kindaki ndaki wa chama tawala, ila humkosi kwenye ufuatiliaji wa kila kinachofanywa na wapinzani Kenya, husifia sana na kushabikia matukio yote ya upinzani ikiwemo ukosoaji wa serikali na hata...
  18. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini jamaa ameiangalia picha kwa uchungu?

    Akiwa ameketi kimya, macho yake yamekazia picha ya kiongozi anayezua mijadala mingi. Uso wake umejawa na fikra nzito, kana kwamba anapima tofauti kati ya maneno na matendo. Ni ukimya wenye ujumbe, ishara ya hasira iliyofika ukomo. Vijana tunatoka na hakuna wakuzui Oktoba 29 tuleta mabadiliko...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Wanaompenda vilivyo jamaa, wamwambie kuwa hapendwi wala hapendezi

    Kuna watu wana ugonjwa wa ukosefu wa ubunifu kiasi cha kugeuzwa wadudu. Watu, sorry, wadudu hawa wana silaha moja tena ya hovyo. Nayo ni kujikomba, kusifia hata ujinga, kujigongagonga, kutabiri upuuzi, kuimba pambio na mashairi tena wamuimbiaye akiwa kipofu na taahira. Je, hapa tatizo ni nini...
  20. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jamaa kajichokea kaona kama noma na iwe noma, kajiondokea zake na bango la mama

    Kazini kuna kazi! Kijana kaona asepe na bango Ila watanzania kama kuchoka tumechoka! Sijui hili genge la watekaji na wauaji wanaelewa?
Back
Top Bottom