Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,924
Reaction score
9,373
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
 
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kufungwa akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
Unaandika kama wote tupo humo kwenye ubongo wako...
 
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
Hebu tulia kwanza..usiandike as if tunashare wote ubongo...
 
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
Kesi ya zombe hiyo. Bageni?
 
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
Na Mimi nimesikia wiki iliyopita ila sina uhakika.
 
Inadaiwa aliyehukumiwa kwenye ile kesi maarufu ya wafanyabiashara ya madini yupo Uraia kitambo tu.

Je, alikata rufaa tena baada ya rufaa ya kwanza kushindwa!? Jinsi ile kesi ilivyokamata vichwa vya Habari inawezekana aliyekutwa na hatia na kuhukumiwa "kunyongwa mpka kufa" akatoka jela bila taarifa kuvifikia vyombo vya Habari!?

Na kama alitoka Kwa msamaha mbona haijawahi semwa!?
ulitaka nani aseme au akwambie gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom