iran

  1. M

    Wairan wanafurahia msaada wanaopewa, Wanafurahia viongozi wao kuuawa, Ina maana sisi wengine ndio tunaijua Iran kuliko raia wa Irani ?

    Nimebaini kuwa kuna kundi kubwa la watu wanaoegemea upande wa serikali ya Iran, huku wakipuuza au kutozingatia kwa kina matakwa ya sehemu kubwa ya raia wa Iran wenyewe. Serikali imenyanyasa sana wairan ikiwemo tukio la kikatili la kuzima internet na kuua wairan zaidi ya elf 40, huku baadhi ya...
  2. 50% ya senta za kurusha makombola zimeharibiwa, meli vita 11 zote zimezamishwa, uongozi wa wenye mamlaka makuu umesambaratishwa, iran waombe pooh tu.

    Hapo bado nchi za guba hazijaanza kurudisha mashambulizi. Ni wakati saahihi sasa waajemi waangushe mamlaka ya kigaidi.
  3. R

    Msemaji Wizara Mambo ya nje Iran, Esmaeil Baghaei: Tunamshambulia shetani, lazima wasitishe vita hatukuanzisha sisi

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema serikali imejikita katika “ulinzi” kufuatia jitihada za mazungumzo zilizofanyika awali. Msemaji wa wizara hiyo, Esmaeil Baghaei, amesema: “Aibu ya milele itabaki kwa wale waliodai kufuata diplomasia lakini, walipokutana na hoja za Iran, wakapiga magoti na...
  4. Rais Samia: Tumuombe Mungu Marekani na Iran wazungumze misukosuko iishe, dunia irudi katika hali ya kawaida

    Rais Samia, ameiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya kimkakati ya mafuta ya taifa ili kuilinda nchi dhidi ya misukosuko ya siasa za kidunia na kupanda kwa bei ya nishati. Akizungumza leo, Machi 3, 2026, jijini Dar es Salaam wakati wa kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa matanki ya...
  5. A

    USA na Israel wanaomba nchi nyingine ziwasaidie kupigana na Iran

    Kutokana na ripoti za mapema Machi 2026, Marekani na Israel zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa makombora ya kuzuia ulinzi wa anga impamoja na mifumo ya Arrow na THAAD . Kuna hatari sana kupigana kwa mda mrefu na Iran. Wachambuzi na maafisa wanaonya kwamba mashambulio yakiendelea kwa nguvu ya juu...
  6. R

    Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu: Vita na Iran haitadumu kwa miaka, inaweza kufanyiwa maamuzi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema anatarajia vita dhidi ya Iran “haitaendelea kwa miaka mingi,” wakati mzozo huo ukiendelea huku Israel akilenga zaidi kushambulia Hezbollah wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon, na Iran nayo ikishambulia nchi za Ghuba zinazohifadhi kambi za...
  7. R

    Maneno ya Askofu Suguye kuhusu vita ya Marekani, Israel na Iran asisitiza siyo vita ya Kidini

    Haya sasa wale wachambuzi wa hii vita wanaodai ni ya kidini kati ya wayahudi-Israel na Waislam upande wa Iran, Kwa upande wangu naunga kauli hii ya askofu. Hii vita tuache kabisa kuihusisha na masuala ya dini, hawa jamaa issue yao kubwa ni nani ana nguvu na ana nini ambacho ni tishio kwetu...
  8. Makosa makubwa ya Iran ni kuasisi tukio la Oktoba 7, 2023 kupitia Hamas

    Mauaji ya Oktoba 7: Kosa Kubwa la Kijeshi 1. Mkakati wa Mhimili wa Upinzani Mashambulizi yalipangwa kulazimisha Israel kuingia Gaza kwa uvamizi wa ardhini. Lengo lilikuwa kuchochea hasira za Waarabu na kuanzisha mashambulizi ya pande nyingi kutoka washirika wa Iran. Iran iliwekeza zaidi ya...
  9. Uganda Government successfully evacuates 43 students from Iran

    The Government of Uganda has successfully evacuated 43 students from Tehran in Iran to Turkey following the continued instabilities in the Middle East. Vincent Bagiira Waiswa, permanent secretary at the ministry of foreign affairs stated that the embassy too the students by road to the Turkish...
  10. R

    SI KWELI Video: Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah na Makamanda 24 walivyoshamabliwa hadi kifo

    Hii hapa video ikionyeshanamna Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei na Makamanda wake 24 walivyoshambuliwa na Majeshi ya ushirika ya Israel na Mareani
  11. Vita Mashariki ya Kati. US-Israel-Washirika dhidi ya Waajemi (Iran)

    Mashariki ya Kati yawaka moto Tulijadili suala la vita mashariki katika nyuzi tofauti. Kwa umuhimu wa tukio linaloendelea uzi huu utajadili kwa kina nini kimetokea, kinatokea na kitakachotokea siku za usoni Upo upotoshaji katika mitandao ya kijamii kwa makusudi au kutoelewa au kuelewa nusu...
  12. Israeli Ilifanikiwaje kuwaua viongozi wa Iran?

    Katika saa za mapema za Jumamosi asubuhi wakati wa mfungo wa Ramadhani, huku sehemu kubwa ya Tehran ikiwa bado kimya, makombora ya Israeli na Amerika yalikuwa tayari yamerushwa angani. Ndani ya dakika moja, mashambulizi matatu yaligonga maeneo matatu tofauti katika mji mkuu wa Iran. Kufikia...
  13. Simjui huyu Privaldinho wa Yanga, kaumia shambulio la watoto 60 Iran, kasahau Oktoba 29, watoto wa academy

    Naomba niongee, kistarabu kwa heshima ya mwezi mtukufu wa ramadhani, nimejikuta nikichukia baada ya kupita insta, ninekutana na huyu jamaa ambaye sijui anacheo gani hapo klabuni yanga labda kwa vile sio mfuatiliaji sana wa soka la bongo. Huyu kijana kaonesha kusikitishwa na kile kilichotokea...
  14. Ni kweli Iran imeonewa lakini kushambulia nchi ambazo hazipo katika vita nae ni kuongeza maadui

    Toka Iran ipoteze kiongozi wake mkuu wa nchi, imekuwa ikishambulia kambi za kijeshi za Marekani zilizo katika nchi za kiarabu kama vile Kuwait, Falme za Kiarabu na nchi zingine. -Iran imeenda mbali na kushambulia kambi ya Uingereza iliyopo Cyprus, ambayo ipo mbali kabisa na mgogoro wa Iran...
  15. EWURA mnasubiri nini kupandisha bei ya mafuta, hamuoni vita huko Iran?

    Najua ndani ya week hii EWURA hamtaniangusha Irani Kuna vita, Iran imeshbuliwa na Israel na USA, uchumi wa Dunia unayumba EWURA mna sababu za msingi za kupandisha bei ya petroleum na diesel fuel ⛽ Nitafurahi mno
  16. R

    Balozi wa Iran: Hatuna Mpango wa Kuishambulia Kenya...

    Iran has allayed fears of alleged plans to target Kenya amid an escalating war with the United States and Israel. During a press briefing in Nairobi on Monday, Iranian Ambassador to Kenya Dr Ali Gholampour noted that Kenya does not provide a US military facility with the capability to attack...
  17. Hawa ndio marubani wetu wanaoachilia makombora huko Iran, wape 5 zao

    Hizo fighter jets za USA mnaona ziki paa Kwa kasi huko Iran kumbe zinaendeshwa na madame,uneeza fikiria zinaendeshwa na majamaa wazito wenye nguvu, kumbe ni these young ladies ambao wako na very high skills!
  18. Yanayoendelea Iran ni Ushahidi kuwa Urusi na China siyo wa kuaminika kama marafiki

    Maduro; waliekuwa wanampa matumaini kuwa watamlinda na kumpelekea silaha za kujilinda ambazo hazikufanya kazi alichukuliwa kwa mabavu bila wao kufanya lolote kumlinda. Khamenei: waliyekuwa wanampa maumaini kuwa watamalinda nakumpelekea silaha za kujilinda ambazo hazikufanya kazi ameuwawa...
  19. Uganda urges its Citizens in Iran to stay safe until situation normalizes for evacuation

    Following the recent attacks and instabilities between USA, Israel and Iran, Uganda has urged its Citizens to keep safe and leave the country through any possible means since its nolonger safe to stay in the country. Permanent Secretary to the ministry of Foreign affairs Vincent Bagiire warned...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…