Haya sasa wale wachambuzi wa hii vita wanaodai ni ya kidini kati ya wayahudi-Israel na Waislam upande wa Iran,
Kwa upande wangu naunga kauli hii ya askofu. Hii vita tuache kabisa kuihusisha na masuala ya dini, hawa jamaa issue yao kubwa ni nani ana nguvu na ana nini ambacho ni tishio kwetu.
Marekani amekuwa akivutana sana na Iran kwenye issue ya Nuclear ambayo ni silaha hatari sana na tishio kubwa kwa adui, na kwa upande wa Israel ni issue ya ushawishi wa Kikanda, ambapo Iran alikuwa na missile capabilities kubwa.
Lakini kwa sasa wanajificha kwenye mgongo kwa kauli kwamba wanawasaidia wananchi wa Iran kupambania mabadiliko ya taifa lao
Kwa upande wangu naunga kauli hii ya askofu. Hii vita tuache kabisa kuihusisha na masuala ya dini, hawa jamaa issue yao kubwa ni nani ana nguvu na ana nini ambacho ni tishio kwetu.
Marekani amekuwa akivutana sana na Iran kwenye issue ya Nuclear ambayo ni silaha hatari sana na tishio kubwa kwa adui, na kwa upande wa Israel ni issue ya ushawishi wa Kikanda, ambapo Iran alikuwa na missile capabilities kubwa.
Lakini kwa sasa wanajificha kwenye mgongo kwa kauli kwamba wanawasaidia wananchi wa Iran kupambania mabadiliko ya taifa lao