Huyu mwimbaji nguli wa Muziki wa Injili anakuja wiki hii kutoka Afrika Kusini

Kumbe? Mimi siku zote huwa nadhani ni M-South Afrika. Hivi Zimbabwe nao ni mahiri kwa kuimba? Sikujua hilo
Kwani hujui kuwa Zimbabwe ndiko alikokuwa akitoka mmoja wa magwiji wa muziki barani Afrika, Oliver Mtukudzi?...

Oliver Mtukudzi.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom