Kwani hujui kuwa Zimbabwe ndiko alikokuwa akitoka mmoja wa magwiji wa muziki barani Afrika, Oliver Mtukudzi?...Kumbe? Mimi siku zote huwa nadhani ni M-South Afrika. Hivi Zimbabwe nao ni mahiri kwa kuimba? Sikujua hilo
Yes lakini anaishi Africa ya kusiniMkhululi Bhebhe. Ni mzimbabwe
Ananibariki sana huyu muimbaji