Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.
Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.
Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.
Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.