Hatimaye Aggrey Mwanri awa Mchungaji rasmi. Sasa ukisikia soma hiyoo! Ujue ni somo la Injili

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,398
Hakika shambani kwa bwana mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache.

Heri wamchaao bwana maana ufalme wa mbinguni ni wao.

Agrey mwaniri sasa ni mpakwa mafuta.

Ni mchungaji aliyeamua kuacha kondoo 99 na kumtafta yule mmoja aliyepotea ili asishambuliwe na mbwa mwitu.

2733786_Ally_Bananga_on_Instagram_Salamu_toka_Siha22_.jpg
2733705_IMG_20210405_163512.jpg
 
Kabla hujamdhihaki mtu kasome maandiko matakatifu ujifunze vizuri. Mfano kaangalie wale mitume walikotokea. Pia mtazame mtu Kama Paulo alikotokea. Kwangu sioni ajabu kwani Mungu ana njia zake ambazo wewe mwanadamu huwezi muelewa Kama hupo karibu naye. Pia utumishi kwa Mungu upo wa namna nyingi sana hata huko serikalini unaweza ukakuta aliwekwa na Mungu kumtumikia kwenye nafasi hiyo. Nimeshuhudia kwangu mwenyewe hata kwa mke wangu Kuna taasisi alituweka kwa maelekezo yake mwenyewe akitutaka tufanye kazi Fulani kwenye ile taasisi.
 
Huyu mzee ana stress za kustaafu
Wale waliopo siha wana mengi ya kusema huu ya hili
Teuzi hakuna tena god father is no more
Aseew ana stress vibaya mno...hivi huwa hawatoshekwi?

Mavyeo yote ambayo alishapata ila bado tuu anasumbua

Nakumbuka alivyostaafishwa uRC aliamua kuwapigia CCM wenzake kampeni akidhani mzee Baba atampa tena teuzi..kumbe Holla
 
Back
Top Bottom