LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,111
- 27,096
Is it a coincidence? Programmed by the Heavens or it was planned?
Kama ilikuwa planned basi jamaa alie plan atakuwa genius wa PR, Alastair arudi shule akasome.
Wameweka matangazo Dar nzima sasa hivi watanzania kwenye social networks wanafanya free publicity bila kujua kama wanasaidia kupromote event ya wahusika.
Habari za huu mkutano zimefika hadi Nigeria kwenye blog ya LindaIkeji.
Ni mkutano utakaofuatiliwa na mamilioni ya watu.
Mwanzoni nilikuwa nikipishana na haya mabandiko nilikuwa nachukulia poa tu kama mkutano wa kawaida. Lakini Sasa hivi naanza kuhisi huenda huyu mtumishi atakaye hudumu kwenye huu mkutano ana nguvu na kusudi la Mungu ndani yake.
Watakao pata bahati ya kuhudhuria mkutano wa huyu Mtumishi Kuna kitu fulani kutoka kwa Mungu watakipata
Big up Sana kwenu.
Kama ilikuwa planned basi jamaa alie plan atakuwa genius wa PR, Alastair arudi shule akasome.
Wameweka matangazo Dar nzima sasa hivi watanzania kwenye social networks wanafanya free publicity bila kujua kama wanasaidia kupromote event ya wahusika.
Habari za huu mkutano zimefika hadi Nigeria kwenye blog ya LindaIkeji.
Ni mkutano utakaofuatiliwa na mamilioni ya watu.
Mwanzoni nilikuwa nikipishana na haya mabandiko nilikuwa nachukulia poa tu kama mkutano wa kawaida. Lakini Sasa hivi naanza kuhisi huenda huyu mtumishi atakaye hudumu kwenye huu mkutano ana nguvu na kusudi la Mungu ndani yake.
Watakao pata bahati ya kuhudhuria mkutano wa huyu Mtumishi Kuna kitu fulani kutoka kwa Mungu watakipata
Big up Sana kwenu.