imf

The International Monetary Fund (IMF) is an international financial institution, headquartered in Washington, D.C., consisting of 190 countries working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world while periodically depending on the World Bank for its resources. Formed in 1944, started in 27 November 1945, at the Bretton Woods Conference primarily by the ideas of Harry Dexter White and John Maynard Keynes, it came into formal existence in 1945 with 29 member countries and the goal of reconstructing the international monetary system. It now plays a central role in the management of balance of payments difficulties and international financial crises. Countries contribute funds to a pool through a quota system from which countries experiencing balance of payments problems can borrow money. As of 2016, the fund had XDR 477 billion (about US$667 billion).Through the fund and other activities such as the gathering of statistics and analysis, surveillance of its members' economies, and the demand for particular policies, the IMF works to improve the economies of its member countries. The organization's objectives stated in the Articles of Agreement are: to promote international monetary co-operation, international trade, high employment, exchange-rate stability, sustainable economic growth, and making resources available to member countries in financial difficulty. IMF funds come from two major sources: quotas and loans. Quotas, which are pooled funds of member nations, generate most IMF funds. The size of a member's quota depends on its economic and financial importance in the world. Nations with greater economic significance have larger quotas. The quotas are increased periodically as a means of boosting the IMF's resources in the form of special drawing rights.The current Managing Director (MD) and Chairwoman of the IMF is Bulgarian economist Kristalina Georgieva, who has held the post since October 1, 2019. Gita Gopinath was appointed as Chief Economist of IMF from 1 October 2018. Prior to her appointment at the IMF, Gopinath served as the economic adviser to the Chief Minister of Kerala, India.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Ripoti IMF: Uchumi wa dunia utashuka hadi 3.2% mwaka 2022 na 2.7% 2023

    Uchumi wa dunia unaendelea kukabiliwa na changamoto kubwa, zikichangiwa na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, mzozo wa gharama za maisha unaosababishwa na shinikizo la kuendelea na linalozidi kupanuka la mfumuko wa bei, na kushuka kwa kasi nchini China. Utabiri uliofanywa na Shirika la Fedha la...
  2. Midimay

    Ghana wamefikia default; IMF wamesema watawadhamini. Je, tupo salama kiuchumi huko tuendako?

    Habari za jioni wakuu. Miaka miwili nyuma, Ghana ilikuwa nchi ya mfano katika ukuaji wa uchumi barani Afrika. Bin Vuu, 2022 Ghana ipo katika mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Ghana inaelekea kwenye default. Ghana ipo katika njia ya Sri Lanka. Inaelekea kushindwa kulipa madeni yake inayodaiwa katika...
  3. Rashda Zunde

    Kwani IMF imetoa trilioni 2.4 kwa Tanzania ?

    Jibu ni wazi kabisa wkamba, kutokana na kutambua rekodi ya Tanzania katika utekelezaji wa mageuzi na pia utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu ambapo fedha hizo zitatumika katika kutekeleza miradi ya maendeleo pamoja na kuleta nafuu kwenye mfumuko wa bei kwa kushusha bei ya mafuta na uchumi...
  4. wanzagitalewa

    Watanzania watakavyonufaika na mkopo wa TZS trilioni 2.4 kutoka IMF

    Kabla sijaanza kueleza ni kwa namna gani Watanzania watanufaika na mkopo wa shilingi trilioni 2.4 kutoka Shirika la Fedha Duniani, kwanza ifahamike kwamba hakuna nchi duniani ambayo haikopi, nchi zinatofautiana kiwango na sababu za kukopa. Baada ya hilo, nielekeza kwamba mkopo ambao Tanzania...
  5. Getrude Mollel

    Rais Samia Suluhu Sh. Trilioni 2/- za IMF anaweza kuzitumia wapi?

    Bodi ya Shirika la Fedha Duniain (IMF) hapo jana iliidhinisha mkopo wa dola za Kimarekani Bilioni 1.046 ambazo ni sawa na shiliingi Trilini 2.4/- za kitanzania katika kipindi cha miezi 40 ili kusaidia katika kupambana na athari za viizotokana na vita ya Urusi na Ukraine. Huu mkopo Tanzania...
  6. kavulata

    Kwanini IMF itupe sisi hela ya mkopo Sasa?

    Wazungu mitaala Yao yote Inafundisha elimu kuhusu critical thinking, problem solving na assertiveness. Elimu hii inawapatia wazungu wote uwezo wa kujihoji na kujiuliza wenyewe maswali kama why me (kwanini Mimi, kwanini sisi na kwanini wao?), Elimu hii inawawezesha pia kumwambia mtu NO au YES...
  7. M

    Kwanini mkopo wa IMF kwa TZ wa Trilioni 2.4 umebadilishiwa sababu?

    Mwanzoni tuliambiwa ni kwa ajili ya kuondokana na athari za covid 19, na sasa tunaambiwa ni kwa ajili ya kuondokana na athari za vita ya urusi na ukraine! Tanzania has reached an agreement with International Monetary Fund (IMF) in a medium term program to secure Sh2.4 trillion, the lender has...
  8. beth

    IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4

    Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja. Taarifa...
  9. Mpwayungu Village

    Serikali irudishe pesa za IMF trilioni 2.4, ni nyingi sana - zote hizi za nini?

    Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha? Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko...
  10. Analogia Malenga

    Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

    Tanzania imefikia makubaliano na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika mpango wa muda wa kupata Tsh. 2,400,000,000,000 unaolenga kuendeleza Uchumi wa nchi uliodumazwa na Janga la COVID-19. Kulingana na taarifa kutoka Shirika hilo, mkopo huo ambao ni kupitia Kitengo cha Mikopo ya Dharura...
  11. Kijakazi

    Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

    Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi! Markets IMF Mission in Tanzania for Talks on $1...
  12. The Sunk Cost Fallacy

    Hili la kukopa pesa IMF/ WB kwa ajili ya Ruzuku ya Mafuta hapana

    Pamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai. Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo. Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea...
  13. Miki123

    IMF 2022: Tanzania ipo Nafasi ya Nane kwa uchumi Mkubwa Afrika

    Makadirio ya shirika la fedha la kimataifa yaani IMF unaonyesha uchumi WA Tanzania umekuwa na kufikia $77 billion katika robo ya Kwanza ya 2022. Hilo ni ongezeko la Dola billion 12 kutoka GDP ya $65 bilioni, Tangy hakunawahi kuwa na ongezeko la bilioni 12 ndani ya mwaka mmoja. Ila tofauti ya...
  14. Econometrician

    Vita vya Ukraine vyautikisa uchumi wa dunia - IMF

    Shirika la Fedha la Kimataifa, IMF, limeshusha makisio ya ukuwaji wa uchumi wa dunia mwaka huu, likisema uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine umechangia kwenye kuichafuwa biashara ulimwenguni na kupandisha bei za bidhaa. Siku ya Jumanne (Aprili 19), IMF, ambayo ni mkopeshaji mkubwa kwa zaidi ya...
  15. Lady Whistledown

    Sri Lanka imeomba Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) usaidizi wa dharura wa kifedha

    Sri Lanka imeomba Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa usaidizi wa haraka wa kifedha na mkopeshaji wa kimataifa anaweza kuzingatia hilo baada ya kusita kwa awali, msaidizi wa waziri wa fedha wa nchi hiyo alisema. Maandamano yamezuka katika taifa hilo huku likipambana na mzozo mbaya wa...
  16. Lady Whistledown

    Taasis ya Kimataifa ya Fedha (IMF): Mfumuko wa bei unaweka nchi maskini katika hatari ya kushindwa kulipa madeni

    Taasisi ya Fedha ya Kimataifa inasema mbinu bora zaidi zinahitajika ili kukabiliana na dhiki kuu ya deni. IMF imeonya kuwa bei ya juu ya chakula na nishati duniani kutokana na vita vya Ukraine inaathiri zaidi nchi masikini Bei ya juu sana ya chakula na nishati duniani kutokana na vita nchini...
  17. A

    IMF warns trade sanctions against Rssia threatens Dollar

    by IMF Warns Russia Sanctions Threaten to Undermine US Dollar Dominance New Currency Blocs May Emerge Amid Mounting Restrictions on Russia, IMF Says Russia’s decision to invade Ukraine has been met with waves of Western sanctions that have limited Moscow’s access to its foreign currency...
  18. beth

    Canada yawataka raia wake kuondoka Urusi

    Taifa hilo limewashauri raia wake kuondoka Nchini Russia wakati huu ambapo fursa za kufanya hivyo bado zipo, likisema hali ya usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla. Aidha, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeonya kuwa athari mbaya za kiuchumi kimataifa kutokana na vita kati ya...
  19. K

    Yanayoendelea kwenye ujenzi wa Shule na Zahanati wa pesa za mkopo wa IMF

    Habarini wapenda maendeleo. Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa ufupi tu mimi ni mdau katika maendeleo ya nchi yetu na nimekuwa ziarani katika mikoa mbali mbali ya tanzania nakuona muamko wa wadau mbali mbali katika ujenzi wa vituo vya afya na ujenzi wa madarasa...
  20. peno hasegawa

    Baada ya miaka 60 ya uhuru tunakopa IMF kujenga Madarasa?

    Ni mshangao mkubwa TZ baada ya miaka 60 tunakopa tena kwa riba fedha za kujenga madarasa ya shule Za sekondari.? Kama Taifa tujiulize tumekosea wapi au tumelogwa na nani? Nilitarajia mikopo iombwe kwa ajili ya miradi mikubwa mfano SGR . Next year kuna uwezekano kuomba tena mkopo kutoka WB...
Back
Top Bottom