Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha?
Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.
Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.
Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.
Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF
Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.
Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.
Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.
Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.
Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF
Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.