Miki123
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 288
- 502
Makadirio ya shirika la fedha la kimataifa yaani IMF unaonyesha uchumi WA Tanzania umekuwa na kufikia $77 billion katika robo ya Kwanza ya 2022.
Hilo ni ongezeko la Dola billion 12 kutoka GDP ya $65 bilioni, Tangy hakunawahi kuwa na ongezeko la bilioni 12 ndani ya mwaka mmoja.
Ila tofauti ya kiuchumi Kati ya TZ na Kenya imeendelea kuongezeka kutoka 38 bil mpaka 46 bilioni
Orodha ya nchi zenye uchumi Mkubwa zaidi Africa (GDP Kwa USD billions)
1. Nigeria 441
2. Afrika kusini 418
3. Misri 402
4. Algeria 164
5. Morocco 131
6. Kenya 123
7. Ethiopia 99
8. Tanzania 77
9. Ghana 76
10. Angola
Chanzo: List of African countries by GDP (nominal) - Wikipedia
Hilo ni ongezeko la Dola billion 12 kutoka GDP ya $65 bilioni, Tangy hakunawahi kuwa na ongezeko la bilioni 12 ndani ya mwaka mmoja.
Ila tofauti ya kiuchumi Kati ya TZ na Kenya imeendelea kuongezeka kutoka 38 bil mpaka 46 bilioni
Orodha ya nchi zenye uchumi Mkubwa zaidi Africa (GDP Kwa USD billions)
1. Nigeria 441
2. Afrika kusini 418
3. Misri 402
4. Algeria 164
5. Morocco 131
6. Kenya 123
7. Ethiopia 99
8. Tanzania 77
9. Ghana 76
10. Angola
Chanzo: List of African countries by GDP (nominal) - Wikipedia