Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
1655130493228.png

Tanzania imefikia makubaliano na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) katika mpango wa muda wa kupata Tsh. 2,400,000,000,000 unaolenga kuendeleza Uchumi wa nchi uliodumazwa na Janga la COVID-19.

Kulingana na taarifa kutoka Shirika hilo, mkopo huo ambao ni kupitia Kitengo cha Mikopo ya Dharura unakusudiwa kuboresha mazingira ya Biashara na ushindani na kuimarisha ukuaji wa kifedha.

=======

Tanzania has reached an agreement with International Monetary Fund (IMF) in a medium term program to secure Sh2.4 trillion, the lender has announced.

In a statement released by IMF, it was revealed that the finalization of this agreement came from meetings between Tanzanian authorities and IMF that were held from May to June 2022 in Dodoma, Dar es Salaam and Zanzibar.

According to the IMF’s statement, this program is set to develop Tanzania’s economy.

“Tanzania’s economy is gradually recovering from the negative effects of COVID-19 pandemic but spillovers from the war in Ukraine are stalling the recovery. IMF emergency assistance under the Rapid Credit Facility (RCF), and additional support from other development partners, supported the authorities’ efforts to step-up the pandemic response, address fiscal pressures engendered by the pandemic response, and close financing needs,” the statement details.

It further disclosed that the medium term program aims at mobilizing domestic revenue and creating space for much needed investment in the country.

According to the communique, the investment will be in human and physical capital increased social spending, advancing the authorities’ structural reform agenda, including to improve the business environment and competitiveness, and strengthening financial deepening and stability.
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la JMT..

Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano na IMF ya kupatiwa mkopo mwingine wa masharti nafuu wa shilingi Tilioni 2.4..

Hizi ndio zile pesa Rais Samia awaliwaambia kule Tabora waharakishe kumalizia zile za awali maana nyingine nyingi zinakuja..

Nitoe wito kwa Serikali Kuhusu matumizi ya hizi pesa..kwamba this time around bil.400 ziende Zanzibar na Til.2 zibakie Bara..

Huku bara naomba Serikali iangalie uwezekano wa kujenga japo mradi mmja wa Barabara walau km 500 ambapo tunaweza kutumia bil.800 hivi na zitakazosalia zikafanye Kazi kama zilizofanya kwenye mkopo wa awamu ya kwanza..

Tunahitaji Sana Barabara Kati ya Makongolosi-Tabora/Singia via Rungwa,Ifakara-Songea na Njombe-Ifakara..Hizi ni barabara za muhimu sana kufungua fursa za Kiuchumi
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-132015.png
    Screenshot_20220612-132015.png
    97.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220613-112556.png
    Screenshot_20220613-112556.png
    227.8 KB · Views: 5
Agreement is subject to IMF management approval and IMF Executive Board consideration.

9 June 2022

IMF Agreement on an Extended Credit Facility Arrangement with Tanzania


Washington, DC: A staff team from the International Monetary Fund (IMF) led by Charalambos Tsangarides held meetings in Dar es Salaam, Dodoma, and Zanzibar during May 4–19, 2022, and virtually during May 22–June 6, 2022, to discuss a forty-month program under the Extended Credit Facility (ECF) arrangement.

At the conclusion of the mission, Mr. Tsangarides issued the following statement:

“IMF staff reached agreement with the Tanzanian authorities on a medium-term program that could be supported by IMF resources of about $1.071 billion under the ECF. The staff-level agreement is subject to IMF management approval and Executive Board consideration.

“Tanzania’s economy is gradually recovering from the negative effects of the COVID-19 pandemic but spillovers from the war in Ukraine are stalling the recovery. After decelerating to 4.8 percent in 2020, growth reached 4.9 percent in 2021 supported by the recovery in tourism, a pickup in public infrastructure spending, and strong performance of the agriculture sector. The fiscal situation has been affected through a large reduction of tax revenue, turning the overall balance to a deficit of about 3.9 percent of GDP in FY2020/21, while the current account deficit widened to 3 percent in 2021.

Monetary policy accommodation, which has supported the economy and helped private sector credit growth recover, has started to be reduced in response to rising domestic prices. IMF emergency assistance under the Rapid Credit Facility (RCF), and additional support from other development partners, supported the authorities efforts to step-up the pandemic response, address fiscal pressures engendered by the pandemic response, and close financing needs.

“The authorities’ medium-term program is centered on supporting the economic recovery from the scarring effects of COVID-19 and coping with spillovers from the war in Ukraine, preserving macroeconomic stability, and advancing the structural reform agenda toward sustainable and inclusive growth, drawing from the key priorities of the Five-Year Development Plan.

In this context, the program aims at mobilizing domestic revenue and creating fiscal space for much-needed investment in human and physical capital and increased social spending, advancing the authorities’ structural reform agenda, including to improve the business environment and competitiveness, and strengthening financial deepening and stability. IMF financial support is also expected to help stimulate private sector investment and catalyze financial support from development partners.

“The program’s fiscal policy will focus on enhancing growth while maintaining fiscal and debt sustainability. Key priorities include increasing domestic revenues to create fiscal space through credible medium-term revenue mobilization plans and a comprehensive revenue strategy.

Efforts will continue to redress the decline in priority social spending and help address increasing demands for public services in education and health, as well as improve the quality of spending, including by reducing fiscal risks and improving public investment management... READ MORE : Source : IMF Staff Reaches Staff-Level Agreement on an Extended Credit Facility Arrangement with Tanzania
 
Duuuh! jambo jema,ila zisimamiwe vizuri hizo pesa,zinapoliwa hovyohovyo sisi wananchi wa chini,ambao hatuna access ya hizo pesa,tunasikitika.Mama awe mkali kama mtangulizi wake,asisubirie eti nidhamu ya kutoka moyoni,atatajirisha watu na atafukarisha watu.
 
Duuuh! jambo jema,ila zisimamiwe vizuri hizo pesa,zinapoliwa hovyohovyo sisi wananchi wa chini,ambao hatuna access ya hizo pesa,tunasikitika.Mama awe mkali kama mtangulizi wake,asisubirie eti nidhamu ya kutoka moyoni,atatajirisha watu na atafukarisha watu.
Zile za mwanzo walijotahidi Sana kuzisimamia kiukweli madarasa tumeona,maji, masoko ya machinga,majengo ya huduma za dharura, kwenye utalii na Sasa tunasubiria vifaa tiba viingie Nchini tayari kugawanywa.

Sio sawa kuleta maelezo ya Mwalimu maana alikuwa hajui chochote Kuhusu Uchumi.
 
Tuambiwe mapema, Zenj itavuta bilioni ngapi? Hawa waswahili wa zenj hawatakuwa na haja tena ya kufanya kazi!! Zinaingia za bwelele walipaji wat*ng*nyik*!
 
Pesa zote hizo, hakuna hata cha maana kitakachofanyika, si miradi ya maendeleo wala si nini, utasikia yote imeishia kwenye kuboresha uwezo wa watendaji halmashauri za Zanzibar.., sasa sijui ndio mradi gani huo. Kikubwa tusubiro kupigwa mnada tu, Ndugai tutamkumbuka sana
 
Back
Top Bottom